Katika kipindi cha dira ya dunia cha BBC nimewasikia baadhi ya wanawake wa Dar es salaam wakilalamikia mbinu za uzaz wa mpango kuwa zina madhara kwao,,,,wengi wameonesha kusikitika na kujutia madhara wanayoyapata na wanailaum serikali kwanin inahamasisha????
Mmoja nimemsikia akisema alikosa kuona siku zake(kupata hedhi)na akawa anapata maumivu ya KIUNO,yupo aliyesema ingawa ameacha kutumia hadi sasa hajapata mtoto tena na haish kuhisi kichefichefu,
Swali kwa wataalam(madaktar)naomba sana mtuambie JE NJIA ZA UZAZ WA MPANGO KWA WANAWAKE KIAFYA ZIKOJE????