- Thread starter
- #21
not good at all,though sijawahi kutumia ila naona wanavyohangaika watumiaji,ni heri kutumia njia za jadi kama kuhesabu kalenda n.k
hamasiha wenzio wasitumie,jana nimskiza bbc nimehuzunika sana,,,,wanawake wanaumia sana kwakweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
not good at all,though sijawahi kutumia ila naona wanavyohangaika watumiaji,ni heri kutumia njia za jadi kama kuhesabu kalenda n.k
Wengi wetu hapa tunatoa ushuhuda wa ATHARI ZA HII KITU,KWANINI SERIKALI INAHAMSISHA KUTUMIA,?NA KWANINI BADO WATU WANATUMIA????@WADAU
Hapo red sikubaliani na wewe manake huwa zinatolewa bure!
Katika kipindi cha dira ya dunia cha BBC nimewasikia baadhi ya wanawake wa Dar es salaam wakilalamikia mbinu za uzaz wa mpango kuwa zina madhara kwao,,,,wengi wameonesha kusikitika na kujutia madhara wanayoyapata na wanailaum serikali kwanin inahamasisha????
Mmoja nimemsikia akisema alikosa kuona siku zake(kupata hedhi)na akawa anapata maumivu ya KIUNO,yupo aliyesema ingawa ameacha kutumia hadi sasa hajapata mtoto tena na haish kuhisi kichefichefu,
Swali kwa wataalam(madaktar)naomba sana mtuambie JE NJIA ZA UZAZ WA MPANGO KWA WANAWAKE KIAFYA ZIKOJE????
bure sio? umeshalipiwa wewe!!!! wana kusudi nazo
Ni bure kwa maana ipi? Hivi unajua kwamba hakuna kitu duniani cha bure? Hizo dawa inakuwa tayari zimelipiwa na serikali na watumiaji ndiyo wanapewa bila kununua. Na kwa taarifa yako. Vitu hivyo unavyoita vya bure ndivyo vinavyoifilisi nchi kwa sana kwani ufisadi mkubwa unafanyika wakati serikali inaponunua kutoka nje.
Kusema kweli madhara ni makubwa tu, mpango wa uzazi umetufanya tuhangaike hospitali kibao mpaka muhimbili kupima sperms na mifumo ya uzazi kuona kama tuko sawa kwa miaka 3 tukitafuta mtoto hatimaye tukafanikiwa.
Kiukweli hizi nyia zina madhara sana, zaidi ya hapo wife ameota kitambi ambacho kukitoa imekuwa kazi kwelikweli
Na kwa taarifa yako kama serikali inakuwa imezilipia huko mie sijui ila kwenye clinic za kina mama huwa wanatoa bure kwa anaehitaji.......mie pia najua hakuna kitu cha bure duniani.
kuweka njiti ni shilingi 1000, nazungumzia miaka ya 2000, sijui sasa hivi imefika ngapi. Nimeamua kukomaa kwenye kuhesabu.
Hahaha huku kwetu ni bure ila kuna siku wanakuambia dawa hamna hivyo changia kidogo ndio unatoa hiyo 1000.....komaa tu mpendwa manake hizi dawa sio mpango kabisa.....madhara yake ni makubwa mno.....kama sio sasa huko mbeleni....
Nje ya mada: habari za masiku tele?......umejificha wapi na mie nikuje?
wenyewe wanaita MAUDHI MADOGO MADOGOhussein mwiny alipohojiwa amesema kuna athar ndogondogo tu
Sijambo mpendwa wangu, karibu sana labda nitachelekelea mpaka jino la mwisho. Niko bongo, baridi linaendelea kupuliza tu nyakati za asubuhi, nahisi kurudi kuweka njiti maana mimba nje nje! lol
Hahahaahha eti mimba nje nje lol.....haina tatizo ikitokea mie naleta nepi.....ahsante mwaya .....ngoja nikusanye nauli ikijaa tu nakufuata!
Ukumbuke kopo sijui la nido au la cowbell! lol jioni njema.
Hapo red sikubaliani na wewe manake huwa zinatolewa bure!