Si kila kitolewacho bure ni kweli ni bure...someone somewhere is paying for it.
Kuna pharmaceutical industry duniani inayogawa dawa bure???? Hata za HIV si za bure someone is paying. And paying very high price kwani hivi ni kati ya viwanda tajiri sana duniani.
Kwa hiyo matangazo ni muhimu ili watumiaji watumie na mwenye dawa aendelee kulipwa.