Hatimaye WANAWAKE walalamikia MBINU ZA UZAZ WA MPANGO

Mi nimekuwa hesitant kutumia hizi dawa...hivyo sijawahi kutumia maishani...na hizi shuhuda ndo kabisa zinaendelea kunitisha.

Na nimeweza kuwa na idadi ya watoto niwatakao (wawili) na ku enjoy sex life...maana nasikia hizo dawa zinaondoa hamu kabisa.
 

Nimeelewa , ila mie nilimaanisha kuwa zikifika huku zinatolewa bure kwa kina mama/dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…