Hatimaye Wema akubali posa ya rubani

Mwanaume handsome, Wema hongera
dada huyo jamaa atamlaaaaaa wemaaa mpaka akome halafu ndoa ataisikia kwa wenzie tu shida hakuna mwanaume anayeweza kukaa na binti aliye tumia ujana wake kuuwa watoto wameisha sasa anataka akakae na nani bila kuwa na familia?kuna external force atakumbana nazo ataondoka mwenyewe bila kufukuzwa
 
Kuchumbia na kuoa ni tofauti tu. Rubani mzima anakosaje maamuzi ya kiume hivi, ngoja tuone kama yatatimia

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Yani huyo jamaa ningekua ni mzazi wake, ningemlaani.

Mwanamke uchi wake unafahahamika kila kitongoji, eti unaoa.
 
hako ka mme kake kama kashoga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…