Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbeee hahahaaaKuoa mwanamke ambae vijana washamla saanaaa inataka moyo Sana maana walipoingia we ndio unaingia walipotapikia nyoka wao we ndio unatapikia
Bora kabisa coz mabaharia tumekula kimasihara hadi tumechoka
Hii habar nimeiona kwenye gazeti cjui juzi.......zikitoka tu hivi mziweke msisubir yapite masiku meeengi
Ninatafuta dera la harusi
Mwanaume unachamba kama Selemani Jafo!Namtakia kila la heri ila kwa nijuavyo huyu dada yetu ana shida moja. Hawezi kupumua bila social media attention. Hata hiki hafanyi for the sake of her destiny ila ni social media influence maana amepigiwa kelele sana na watu kuwa umri umekwenda na hana ndoa yake hajatulia.
Pia kuna swala la mama yake. Mama yake wema always hajui kukeep her nose where she belongz, hapo hakutakuwa na ndoa ya heshima maana mama mke si mama mkwe wa kuchunga mdomo......
Pia history huwa inakuja kumhukumu mtu no matter atajirekebisha vipi. Najua dada yetu anajaribu kutengeneza positive image kwenye media. But ile legacy ya matendo yake ambayo tumeyashuhudia ni ngumu sana kupotea na isimuhaunt......
Na jambo la ziada, huwa simuamini mwanaume mwenzangu anaesema anakwenda kuoa hawa mabinti vichaa wa mtandaoni kwasababu kwa nijuavyo, mtu ambae amekamilika haweza kumpa kiti cha enzi mwanamke ambae amekwisha tapanya na kuiburuta hadhi na heshima yake kiasi kwamba watu wakimuona hawana cha ajabu cha kushangaa tena....
Ngoja nikanunue popcorn then nirudi kuangalia hili series jipya la swahiliflix, maana najua season finale haipo mbali sana na hii season one....
Sent using Jamii Forums mobile app
Namtakia kila la heri ila kwa nijuavyo huyu dada yetu ana shida moja. Hawezi kupumua bila social media attention. Hata hiki hafanyi for the sake of her destiny ila ni social media influence maana amepigiwa kelele sana na watu kuwa umri umekwenda na hana ndoa yake hajatulia.
Pia kuna swala la mama yake. Mama yake wema always hajui kukeep her nose where she belongz, hapo hakutakuwa na ndoa ya heshima maana mama mke si mama mkwe wa kuchunga mdomo......
Pia history huwa inakuja kumhukumu mtu no matter atajirekebisha vipi. Najua dada yetu anajaribu kutengeneza positive image kwenye media. But ile legacy ya matendo yake ambayo tumeyashuhudia ni ngumu sana kupotea na isimuhaunt......
Na jambo la ziada, huwa simuamini mwanaume mwenzangu anaesema anakwenda kuoa hawa mabinti vichaa wa mtandaoni kwasababu kwa nijuavyo, mtu ambae amekamilika haweza kumpa kiti cha enzi mwanamke ambae amekwisha tapanya na kuiburuta hadhi na heshima yake kiasi kwamba watu wakimuona hawana cha ajabu cha kushangaa tena....
Ngoja nikanunue popcorn then nirudi kuangalia hili series jipya la swahiliflix, maana najua season finale haipo mbali sana na hii season one....
Sent using Jamii Forums mobile app
Najiuliza mtu anaekwenda kuoa huyo demu sijui anategemea kupata nini maana hata wazee hawana time naeBure kabisa,unaoa mwanamke ambaye idadi ya wanaume aliozini nao ni mtandao mpana,sehemu za siri si za siri tena zilishakuwa za wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume unachamba kama Selemani Jafo!
Wote wale wale..... Wanaiba wanaume za watu halafu wanajitamba mtandaoniNae atuletee sherehe za ndoa zisizoisha mfano wa isidingo kama mboni,tangu mwezi wa tisa hadi leo bado anasherehekea kuolewa
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume unachamba kama Selemani Jafo!