Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Yap wana kabinti kazuri kweli kweli na jina lake ni ZURI.Ukimkosa Mama nenda kwa Mtoto,namsubiri mtoto wao I hope atakuwa binti na huo mchanganyiko lazima katakuwa kazuri hakuna mfano.
Ya kwangu itakuhusu eddy_mhandohii ilikuwa hainiusu kabisaaaaaa
enh ukinialika nikakuchangia nikahudhuria hiyo itakuwa imenihusu kwa asilimia kubwa lakini ukifanya kinyume na hayo itakuwa hainiusuYa kwangu itakuhusu eddy_mhando
Kumbe ule wimbo jamaa alimuimnia nancy.?Masikini MB DOGY kafukuzia eeeh lakini wapi, kamwimbia eeeh lakini wapi
Mama Aminaaaa.....smh ,kwa hiyo muda wote huu huyu Nancy alikuwa ananidanganya, damn these girls they re not loyal
Huyo Nancy mbona wa kawaida tuUkiwa na pesa nyingi utang'oa dem mkali zaidi.
The more the money the beuty the bride.