Sasa mkuu umeenda hospital moja tu na tayari umesha conclude kwamba NHIF haipokelewi private?Wana bodi,Kichwa cha habari kinajieleza
Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.Aisee!Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine.
Kwa hali hii,sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah!Tanzania nchi yangu[emoji24][emoji24]
Nenda na wewe ulete majibu.... Kama ndio miaka yote alikuwa anatibiwa hapo Leo wamekata ulitaka usemaje!??Sasa mkuu umeenda hospital moja tu na tayari umesha conclude kwamba NHIF haipokelewi private?
Mkuu mbona unajibu bila utafiti. Acha tupige simu tukjue ukweliNenda na wewe ulete majibu.... Kama ndio miaka yote alikuwa anatibiwa hapo Leo wamekata ulitaka usemaje!??
Si nimesema aende na yeye atuletee Majibu !?? FANYA na wewe utuletee majibu....Mkuu mbona unajibu bila utafiti. Acha tupige simu tukjue ukweli
Serkali inadharau wacha zikataliwe wanaleta uhuni kwa biashara za watu.Wana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
AbsolutelyMagufuli ndiye anapaswa kulaumiwa first maana ndani ya uongozi wake ndipo NHIF ilianza mauzauza rasmi.
Hii ni impact ya Magufuli.