TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Na huku mtaani mama edinaUkipiga picha
Zanzibar mwinyi
Bara kizimkazi
Makonda
Kule mwigulu
Kule makamba
Huku nape
Sidhqn kama utatoboa
Lqzima
Ukae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huku mtaani mama edinaUkipiga picha
Zanzibar mwinyi
Bara kizimkazi
Makonda
Kule mwigulu
Kule makamba
Huku nape
Sidhqn kama utatoboa
watu wataenda government, ajabu yake ni kwamba hospitali za private ndizo zina shida ya wateja na wanahitaji mno NHIF, sidhani kama ni busara serikali iendelee na ujinga wa kuibiwa kwa kigezo cha kuogopa wataacha kutoa huduma. ni wao ndio wamejipunguzia wateja.Wana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
Zinapokelewa.mie mtoto alilazwa toka jtatu.Wana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu[emoji24][emoji24]
Ccm mbere kwa mbereeee!!!Wana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
ngoja kila mmoja aguswe, then ukondoo utatutoka bladifaken watanzaniaInasikitisha sana hii ndo kizimkazi life tutapata tabu sana yaani sukari bei juuu huku napo afya imekuwa majanga tunapoelekea ni kubaya sana
Njooni Kawe, Kawe hakuna foleni na unakutana na mungu kabla ya kifo chako ila kumbuka kuja na mchango wako na hela ya maji na mafuta.Wana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
Mama anaupiga mwingiWana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
Akikujibu!!?Wamekwambia shida mini?[emoji1787]
Muangalieni na huyu!Magufuli ndiye anapaswa kulaumiwa first maana ndani ya uongozi wake ndipo NHIF ilianza mauzauza rasmi.
Hii ni impact ya Magufuli.
Ukiona ivyo bima wamegoma kulipa madai yaoWana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
Sidhani Kama matibabu ni Kama ununuzi wa bidhaa kwamba unafanya window shopping. Shida hapo ni why haikupokelewa? Je hosptali ndio yenye shida au NHIF ndio wenye shidaSasa mkuu umeenda hospital moja tu na tayari umesha conclude kwamba NHIF haipokelewi private?
Ni kweli mkuu,anashangaa tu hajui matatizo ya watanzaniaKIZIMKAZI hajui chochote kuhusu watanganyika na wala hajali. YY sio kiongozi ni Dalali tu
Bima ya NHIF wanapokea?Nimetoka aga Khan wamepokea
Na mwakani mitano tenaKIZIMKAZI hajui chochote kuhusu watanganyika na wala hajali. YY sio kiongozi ni Dalali tu
Nenda leo uoneZinapokelewa.mie mtoto alilazwa toka jtatu.