kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Sio nafasi ya tatu, ni ya nne hukoBaada ya kuvinjari kileleni Kwa masaa kadhaa kwenye ligi Ya VPL hatimaye Yanga yaporomoka tena mpaka nafasi ya 3...
Sio nafasi ya tatu ni hadi ya nneBaada ya kuvinjari kileleni Kwa masaa kadhaa kwenye ligi Ya VPL hatimaye Yanga yaporomoka tena mpaka nafasi ya 3,....hii ni baada ya S.S.C kushinda 4G ,... hata hivyo pongezi kwake kocha mpya Zlatko krmpotic kwa kuwa Yanga Afrika haijawahi kugusa nafasi hiyo Kwa takribani miaka 2 nyuma. Kongole Yanga