Hatimaye yule mgumu wa bongo amelegeza

Hatimaye yule mgumu wa bongo amelegeza

Mkuu umeanza kumjua fid Q lini??? Kwa sisi mashabiki zake kuntu hiyo sio issue ya kushangaza sana...

Unaikumbuka ngoma ya "usinikubali haraka " fid q ft Matonya Wa kwenye ubora wake...
 
Mimi kwa sasa hivi katika nyimbo za hiphop za mapenzi ninayoikubali ni hii ya Wale feat Usher, hebu tafuta time yako kidogo iangalie na uisikilize kwa makini na si mbaya ukileta mrejesho wako.
 
Nilichopenda sanaa katika wimbo huu ni Video na nimependa pia nguo simple na asili alizotupia Ngosha.
 
Back
Top Bottom