Hatma ya binti Monica ni ipi?

Hatma ya binti Monica ni ipi?

Ghost boss

Member
Joined
May 3, 2019
Posts
33
Reaction score
57
Habarini ndugu zangu, jina langu naitwa Monica ni msichana mwenye umri wa miaka 25 sijaolewa bado.

Ni miezi mitatu tangu nimpate mtu ambaye niliona ni sahihi kwangu ni mtu ambaye alikuwa huru namm sana pia ni mtu ambaye naweza ishi nae kama rafiki na mume pia na nikiwa nae ananifanya niwe mtu mwenye furaha kiufupi n mtu ambaye ananipenda pamoja na mapungufu yangu mengi bila hata kuhesabu makosa yangu pamoja na kujua nina tatizo la hormone ni ngumu kupata mtoto lakini bado akakubari kunioa ivo ivo then tutalihangaikia pamoja kiufupi nimeona ni mwanaume wa tofauti kuliko wanaume wote ambayo nilishakua nao kabla ingawa umri wake ni miaka 26 kanizidi kidogo sana.

Ingawa ni muda mchache tangu tuanze mahusiano ambapo kuna muda nilikuwa nahisi ananiigizia ila kiufupi niliridhika nayeye

Shida imekuja mwezi huu akawa anataka anioe tuishi pamoja lakini nilikuwa nahisi kama bado hatujajuana vizuri ingawa tushashiriki tendo la ndoa mala nyingi nilikuwa natamani tusubiri kidogo, wakati bado nafikiria nikubali anioe saiz au nisubir kidogo kuna mwanamke alinipigia cimu na kunambia mimi bado msichana mdogo sana kuna kitu anataka kunambia nachotaka kuchukulia maamzi nilipomwambia aniambie akajibu siwezi kukwambia saiz kesho nitafte ndo nikwambie nikamjibu sawa. Nilipokutana na uyu mpenzi wangu nilimuliza akasema hamjui na nilivyojarbu kupiga kwenye cimu yake namba alikuwa hajaisave

Kesho yake nilimpuuzia sikumpgia cimu, kesho yake tena akanipgia akaniuliza mbona hujanitafta nikamjibu nilikuwa nasubiri unipgie mwenyewe, akanambia mtu fulani unamfahamu nikajibu ndio ni nani kwako nikamwambia unajua ni nani kwangu ndo maana umenipgia akanambia mwambie mkapime virusi vya ukimwi mulazimishe vyovyote vile adi akubari ukipuuzia utakufa nilipo muuliza wewe ni nani kwani hakutaka kunambia ila cha ajabu yeye adi jina langu halisi analijua ambalo hata huyu mpenzi wangu halitumii

Nilishtuka niliwaza vingi maamzi niliyo fanya ni kumpgia cimu uyo mpenzi wangu na kumwambia anifwate nilipo akanambia baada ya mda fulani atakuja na kweli alikuja

Nilimuliza tena na kumsikilizisha sauti ya yule dada lakini bado akawa hamtambui nayeye akaanza kuhisi mimi ndo namchezea tu mchezo nikamwambia nataka tukapime alikubali bila hata kukwepa, ila kwakuwa mda ulikuwa umeenda ilitubidi twende asubhi

Asubuh ilipofika tulienda hospital kupima tulipopima vipimo vyangu vilionyesha mimi ni mzima ila yeye ana maambukizi ya virusi ukimwi, alilia sana mbele ata ya doctor na alipoambiwa achague kituo cha kuanzisha kuchukua dawa alikataa na kusema doctor ampe mda afiklie ilibidi doctor akubari na doctor alinambia jukumu la kumfariji ni la kwangu

Muda huo akanipa nauli kwamba niondoke peke angu nayeye aondoke kivyake kwakuwa nilikuwa naelewa yupo katika wakati mgumu ilibidi niende nae adi nyumbani kwake

Ilibidi nilale kwake kwasababu nilikuwa nahofia nikiondoka anaweza chukua maamzi magumu kwa sababu nilimwona yupo kwenye hali mbaya alikuwa analia kama mtoto na alikuwa mda wote anasema anaumia kunipoteza kwasabu siwezi kuishi tena nayeye ilibidi nimwambie nitaishi nawewe sitokuacha kwa kumfariji ingawa akiri yangu ilikuwa ishavurugika sielewi nini cha kufanya

Baada ya kwamwambia ivo niliona kama ni mtu alianza kuweka tena tumaini tukaendelea kupanga kuoana tena ila akirini mwangu bado nilikuwa sijafanya maamzi kwa sababu anapokaa nilimwambia sijapapenda nilimuahidi kodi ikiisha tutahama pamoja, tukaenda hadi kuulizia vyombo ingawa moyoni mwangu naogopa sana kuishi nae pamoja na kwamba nampenda, ingawa doctor alinambia naweza ishi nae bila mimi kupata maambukizi wala watoto

Hadi leo hii hajafanya maamzi wapi atachukua dawa anatamani ahamie mbali kabisa au dawa akachukulie mbali, nilikubari kuolewa nae ili kumfarij ila kiukweli nimechanganyikiwa ata sielewi nifanye nini au niamue nini nawaza vingi sana nitawezaje kuishi nae bila kuambukizwa na vipi akiugua nitamuuguzaje na vipi ndugu zangu wakijua ni muathirika watamuheshimu kweli apa nimechanganyikiwa sijui 1 wala 2.

Tafadhari naombeni ushauri wenu, pia naomba unambie ungekuwa wewe ni Monica ungechukua maamuzi gani nitapitia kusoma ujumbe hapo chini.
 
Watu mara nyingi kwenye mapenzi hawatumii "Logic" wanatumia hisia zaidi.

Logic huja baada ya hisia kushindwa/kudondokea pua.

Wanasema mtu anaweza kuishi na mtu mwenye virusi, lakini pima je kwako ni faida kuwa na huyo au ni hasara ni nyingi zaidi. Maana kuishi na mtu kwa sababu tu unamuonea huruma ni tatizo sana huko mbele.
 
Pole Monica,unajua kila mtu anajilinda sana ila ni vile tu hata ukiwa ndani ya ndoa huwezi jua kama wote mnajilinda sawa ,Mungu atusaidie.

Kwa kesi yako ,angalia kama huyo m'baba anaweza kukulinda dhidi ya maambukizi kama we unavyohitaji kujilinda,inahitaji ufahamu kuling'amua hili hivyo usitumie hisia pekee.Ukijiridhisha katika hili basi mengine yaendelee.

Kama utakubali kuwa naye mjitahidi kufata ushauri wa kitabibu ili muweze kutimiza ndoto na malengo yenu.

Kingine amani ya moyo wako iamue.Maana kichwani mwa mtu kuna mawazo mengi ila kusudi la Mungu ndilo litakalo timia
 
Habarini ndugu zangu, jina langu naitwa Monica ni msichana mwenye umri wa miaka 25 sijaolewa bado.

Ni miezi mitatu tangu nimpate mtu ambaye niliona ni sahihi kwangu ni mtu ambaye alikuwa huru namm sana pia ni mtu ambaye naweza ishi nae kama rafiki na mume pia na nikiwa nae ananifanya niwe mtu mwenye furaha kiufupi n mtu ambaye ananipenda pamoja na mapungufu yangu mengi bila hata kuhesabu makosa yangu pamoja na kujua nina tatizo la hormone ni ngumu kupata mtoto lakini bado akakubari kunioa ivo ivo then tutalihangaikia pamoja kiufupi nimeona ni mwanaume wa tofauti kuliko wanaume wote ambayo nilishakua nao kabla ingawa umri wake ni miaka 26 kanizidi kidogo sana.

Ingawa ni muda mchache tangu tuanze mahusiano ambapo kuna muda nilikuwa nahisi ananiigizia ila kiufupi niliridhika nayeye

Shida imekuja mwezi huu akawa anataka anioe tuishi pamoja lakini nilikuwa nahisi kama bado hatujajuana vizuri ingawa tushashiriki tendo la ndoa mala nyingi nilikuwa natamani tusubiri kidogo, wakati bado nafikiria nikubali anioe saiz au nisubir kidogo kuna mwanamke alinipigia cimu na kunambia mimi bado msichana mdogo sana kuna kitu anataka kunambia nachotaka kuchukulia maamzi nilipomwambia aniambie akajibu siwezi kukwambia saiz kesho nitafte ndo nikwambie nikamjibu sawa. Nilipokutana na uyu mpenzi wangu nilimuliza akasema hamjui na nilivyojarbu kupiga kwenye cimu yake namba alikuwa hajaisave

Kesho yake nilimpuuzia sikumpgia cimu, kesho yake tena akanipgia akaniuliza mbona hujanitafta nikamjibu nilikuwa nasubiri unipgie mwenyewe, akanambia mtu fulani unamfahamu nikajibu ndio ni nani kwako nikamwambia unajua ni nani kwangu ndo maana umenipgia akanambia mwambie mkapime virusi vya ukimwi mulazimishe vyovyote vile adi akubari ukipuuzia utakufa nilipo muuliza wewe ni nani kwani hakutaka kunambia ila cha ajabu yeye adi jina langu halisi analijua ambalo hata huyu mpenzi wangu halitumii

Nilishtuka niliwaza vingi maamzi niliyo fanya ni kumpgia cimu uyo mpenzi wangu na kumwambia anifwate nilipo akanambia baada ya mda fulani atakuja na kweli alikuja

Nilimuliza tena na kumsikilizisha sauti ya yule dada lakini bado akawa hamtambui nayeye akaanza kuhisi mimi ndo namchezea tu mchezo nikamwambia nataka tukapime alikubali bila hata kukwepa, ila kwakuwa mda ulikuwa umeenda ilitubidi twende asubhi

Asubuh ilipofika tulienda hospital kupima tulipopima vipimo vyangu vilionyesha mimi ni mzima ila yeye ana maambukizi ya virusi ukimwi, alilia sana mbele ata ya doctor na alipoambiwa achague kituo cha kuanzisha kuchukua dawa alikataa na kusema doctor ampe mda afiklie ilibidi doctor akubari na doctor alinambia jukumu la kumfariji ni la kwangu

Muda huo akanipa nauli kwamba niondoke peke angu nayeye aondoke kivyake kwakuwa nilikuwa naelewa yupo katika wakati mgumu ilibidi niende nae adi nyumbani kwake

Ilibidi nilale kwake kwasababu nilikuwa nahofia nikiondoka anaweza chukua maamzi magumu kwa sababu nilimwona yupo kwenye hali mbaya alikuwa analia kama mtoto na alikuwa mda wote anasema anaumia kunipoteza kwasabu siwezi kuishi tena nayeye ilibidi nimwambie nitaishi nawewe sitokuacha kwa kumfariji ingawa akiri yangu ilikuwa ishavurugika sielewi nini cha kufanya

Baada ya kwamwambia ivo niliona kama ni mtu alianza kuweka tena tumaini tukaendelea kupanga kuoana tena ila akirini mwangu bado nilikuwa sijafanya maamzi kwa sababu anapokaa nilimwambia sijapapenda nilimuahidi kodi ikiisha tutahama pamoja, tukaenda hadi kuulizia vyombo ingawa moyoni mwangu naogopa sana kuishi nae pamoja na kwamba nampenda, ingawa doctor alinambia naweza ishi nae bila mimi kupata maambukizi wala watoto

Hadi leo hii hajafanya maamzi wapi atachukua dawa anatamani ahamie mbali kabisa au dawa akachukulie mbali, nilikubari kuolewa nae ili kumfarij ila kiukweli nimechanganyikiwa ata sielewi nifanye nini au niamue nini nawaza vingi sana nitawezaje kuishi nae bila kuambukizwa na vipi akiugua nitamuuguzaje na vipi ndugu zangu wakijua ni muathirika watamuheshimu kweli apa nimechanganyikiwa sijui 1 wala 2.

Tafadhari naombeni ushauri wenu, pia naomba unambie ungekuwa wewe ni Monica ungechukua maamuzi gani nitapitia kusoma ujumbe hapo chini.
Hivi kwa nn binadam hasa wa dunia ya tatu mmeamua kuwa watumwa wa fikra kirahisi namna hiyo? Akiri zetu zina nn jamani? Yaani yaani mtombane weee hata hukumbuki idadi yeye akiwa positive ww negative ila ww usiambukizwe, kweli inakuja akili?

Na et ukifuatilia kwa hao waganga wenu ni kwa nn watakwambia et mliishi kama discordant couple na ww unatoka hapo kichwa kimejaa na ukimshukuru Mungu kwa kukulinda usiambukizwe. Yani Mungu akulinde na uzinzi uliokuwa ukifanya. Haha haha ha

Mm nafikiri ww ndio ungekuwa barozi mzuri na mashuhuda wa kile kilichokutokea. Umeishi na mtu positive na haijawa kwako.

Kifupi UKIMWI ni biashara full stop. Fungua akiri kwa kile ulichokiona kwa macho yako utapata jibu.

Na huyo jamaa yako kinachoenda kumuua from now on ward ni mawazo na stress hakuna kingine. Na walioanzisha hii biashara walimaanisha hicho kilicho mtokea jamaa yako. Maskini, natamani ningemjua personally nimrudishe kwenye reli kabla hajaanza kuubwia ukimwi wenyewe. Ila kama hutojali ni pm namba yake nimpe nondo za kushiba arudi kwenye hali yake.

Pole kwako, pole kwa jamaa yako kwa kukubali kuwa fulsa ya akina Anthony Fucci

cc
Deception
(aione kwenye jarada)
 
Pole sana mkuu,subr muda upite ukapime tena kujirdhisha kuwa upo salama huku mmesitisha zoezi la ngono,kama utakuwa umeishapata endeleeni,lakini kama hauna maambukizi ACHANA NAE,samahan sio kwamba namnyanyapaa mkubwa hapana,ila hisia zetu haziwezi kutuongoza vizuri,hisia zetu hazijakamilika,hautakuwa huru kwake pia naona hasara inaweza kuwa kubwa kuliko faida
 
Hivi kwa nn binadam hasa wa dunia ya tatu mmeamua kuwa watumwa wa fikra kirahisi namna hiyo? Akiri zetu zina nn jamani? Yaani yaani mtombane weee hata hukumbuki idadi yeye akiwa positive ww negative ila ww usiambukizwe, kweli inakuja akili?

Na et ukifuatilia kwa hao waganga wenu ni kwa nn watakwambia et mliishi kama discordant couple na ww unatoka hapo kichwa kimejaa na ukimshukuru Mungu kwa kukulinda usiambukizwe. Yani Mungu akulinde na uzinzi uliokuwa ukifanya. Haha haha ha

Mm nafikiri ww ndio ungekuwa barozi mzuri na mashuhuda wa kile kilichokutokea. Umeishi na mtu positive na haijawa kwako.

Kifupi UKIMWI ni biashara full stop. Fungua akiri kwa kile ulichokiona kwa macho yako utapata jibu.

Na huyo jamaa yako kinachoenda kumuua from now on ward ni mawazo na stress hakuna kingine. Na walioanzisha hii biashara walimaanisha hicho kilicho mtokea jamaa yako. Maskini, natamani ningemjua personally nimrudishe kwenye reli kabla hajaanza kuubwia ukimwi wenyewe. Ila kama hutojali ni pm namba yake nimpe nondo za kushiba arudi kwenye hali yake.

Pole kwako, pole kwa jamaa yako kwa kukubali kuwa fulsa ya akina Anthony Fucci

cc
Deception
(aione kwenye jarada)

Cc. Deception
 
Subiri mieiz mitatu ipite ukapime tena uwe na uhakika kuwa huna maambukizi. Mengine utaamua wewe baada ya hiyo miezi mitatu. Vipi laiti muathirika angekuwa ni wewe unahisi angeendelea na mipango ya ndoa? Nauliza tu lakini
 
Pole Monica,unajua kila mtu anajilinda sana ila ni vile tu hata ukiwa ndani ya ndoa huwezi jua kama wote mnajilinda sawa ,Mungu atusaidie.

Kwa kesi yako ,angalia kama huyo m'baba anaweza kukulinda dhidi ya maambukizi kama we unavyohitaji kujilinda,inahitaji ufahamu kuling'amua hili hivyo usitumie hisia pekee.Ukijiridhisha katika hili basi mengine yaendelee.

Kama utakubali kuwa naye mjitahidi kufata ushauri wa kitabibu ili muweze kutimiza ndoto na malengo yenu.

Kingine amani ya moyo wako iamue.Maana kichwani mwa mtu kuna mawazo mengi ila kusudi la Mungu ndilo litakalo timia
Mkuu wewe ni mchungaji mtarajiwa?
Maana umetoa ushauri konki sana huu.
 
Hivi kwa nn binadam hasa wa dunia ya tatu mmeamua kuwa watumwa wa fikra kirahisi namna hiyo? Akiri zetu zina nn jamani? Yaani yaani mtombane weee hata hukumbuki idadi yeye akiwa positive ww negative ila ww usiambukizwe, kweli inakuja akili?

Na et ukifuatilia kwa hao waganga wenu ni kwa nn watakwambia et mliishi kama discordant couple na ww unatoka hapo kichwa kimejaa na ukimshukuru Mungu kwa kukulinda usiambukizwe. Yani Mungu akulinde na uzinzi uliokuwa ukifanya. Haha haha ha

Mm nafikiri ww ndio ungekuwa barozi mzuri na mashuhuda wa kile kilichokutokea. Umeishi na mtu positive na haijawa kwako.

Kifupi UKIMWI ni biashara full stop. Fungua akiri kwa kile ulichokiona kwa macho yako utapata jibu.

Na huyo jamaa yako kinachoenda kumuua from now on ward ni mawazo na stress hakuna kingine. Na walioanzisha hii biashara walimaanisha hicho kilicho mtokea jamaa yako. Maskini, natamani ningemjua personally nimrudishe kwenye reli kabla hajaanza kuubwia ukimwi wenyewe. Ila kama hutojali ni pm namba yake nimpe nondo za kushiba arudi kwenye hali yake.

Pole kwako, pole kwa jamaa yako kwa kukubali kuwa fulsa ya akina Anthony Fucci

cc
Deception
(aione kwenye jarada)
Umejikanganya sana kwenye comment yako hii.
Lipi unalolisimamia, kwamba haiwezekani kufanya mapenzi mara nyingi bila kuambukizana?
 
Back
Top Bottom