Hatma ya Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude bado Giza Totoro

Atawekwa ndani mpaka akubali kuwa chawa na kuanza kusifia na kumtukana Magufuli, akitoka huko atakuwa kama Tundu Lisu au Mbowe, hivyo chaguo litakuwa ni lake akae ndani milele au atoke awe kama Mbowe na Tundu Lisu afulululize Ikulu na kuanza kumtukana Magufuli.

Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini chadema tu na nilisahau na act ya zito ndiyo “wanaruhusiwa” kufanya kampeni na mikutano ya hadhara? Wengine kama NCCR wako wapi? Ohh NCCR walijaribu kilichomapata Mbatia wala hatujui.

Pure evil!
 
Mbowe ule ulikuwa pure mchongo huu wa Slaa ni yeye mwenyewe kajiingiza kingi

Your browser is not able to display this video.
 
Unachoandika hakina ukweli wowote
 
From Inside story: Issue ni kuwa wanabishana weyewe kwa wenyewe wengi wao kikataa kesi ya uhaini! from Twitter
 
Watu wenyewe sio wepesi, wajipange haswa, kama wanasheria wao ndio hao kazi wanayo
Ndio kigugumiz cha kuwapeleka mahakamani kinaanzia hapo. Pili upepo unavumaje nje. Yaani kungekuwa na usiri wa kuwapeleka mahakamani hawa jamaa wangefanya
 
Pamoja na kutamba kwao kote kumbe hamna kitu, shingo haipiti kichwa wangekumbuka hilo wasingekuwa hapo walipo sasa.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…