Unaweza fika huko hata kama hutamtukana rais.Kua mpore serikali ni mzazi wko, hata biblia imeandika itiini mamlaka ya nchi,sasa wewe unaeleta jeuli ni nani na tecno yko umeshiba makande unaanza kumtukana raisi ,sometime nahis humu wengi haziwatoshi kichwaniView attachment 1296677
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa umoja wa ulaya,hapa wanaangamia kwa mikono yaoIla lipo shinikizo la kumtaka balozi wa nchi fulani aitake serikali yake iingilie Uhuru wa mahakama ya nchi yake,si ndio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kua mpore serikali ni mzazi wko, hata biblia imeandika itiini mamlaka ya nchi,sasa wewe unaeleta jeuli ni nani na tecno yko umeshiba makande unaanza kumtukana raisi ,sometime nahis humu wengi haziwatoshi kichwaniView attachment 1296677
Sent using Jamii Forums mobile app
mwananyaso,
Usimshambulie mleta hoja , shambulia hoja yenyewe , mabalozi wametinga mahakamani kusikiliza kesi ya kabendera , hata ungekuwa mchawi huna uwezo wa kuzuia hilo