hatma ya Kibarua cha kocha Rhulani Mokwena kipo mikononi mwa Yanga SC.

hatma ya Kibarua cha kocha Rhulani Mokwena kipo mikononi mwa Yanga SC.

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Picha linaanza mashabiki wa Mamelod wakilaumu vikali na kulalamika kupangwa na timu wanayoiona ni underdog YANGA SC, huku wakidai kuwa wao ni wakubwa walimtaka mkubwa simba SC na wakajiona tayari washatinga nusu fainali kama mwaka jana... Wazungu wanasema "More expectation more disappointment", just imagine Yanga akamtoa mamelod, timu ambayo ina wachezaji wenye ubora kiwango cha AFCON, Fikiria reaction ya mashabiki, fikiria reaction ya MOTSEPE. Kivyovyote vile mtu wa kwanza kubebeshwa lawama ni kocha MOKWENA. INAENDELEA
 
MOKWENA ni muumini wa falsafa ya kumiliki mpira, mpira wa pasi fupi fupi mpira unaovutia mpira wenye burudani, shku zote hana wasi wasi na falsafa yake na hana tactics nyingine. swali la msingi ni je atabadiri mbinu ili aweze kupenya kirahisi ktk lango la mpinzani wake YANGA SC ambaye ameonyesha upinzani mkali kwa kuchalenge falsafa yake? kama ni ndio atatumia mbinu gani? kwa maoni yangu atalazimika kutumia mipira ya juu kutokea kati kati ya uwanja kuelekea ktk lango la yanga ili kupenya na kuuvuka ukuta wa viungo wakabaji waliojazwa kati kati. endapo atafanya hivyo itakua kosa kubwa sana. INAENDELEA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Endape atabaki na msimamo wake wa soka la kumiliki mpira na mambo yakawa magumu je wachezaji wake wataendelea kumtii ? Natural insticts za mchezaji mmoja mmoja zitafanya kazi yaani ni sawa na mtu aliyefundishwa karate akapigwa konde la uso mara nyingi hupanic na kusahau mbinu zote hujikuta akirusha ngumi hovyo hovyo huku akiacha uso wazi mwisho wa siku hupigwa na kuaibika, kwa mantiki hiyo wachezaji wa mamelod natural instics zao zitawaforce wapige mipira ya juu na watajikuta wanaingia kwenye mfumo wa yanga. SI MNAYAKUMBUKA YA BELOZDAD, Mnakumbuka tukio la kocha kutaka kuzichapa na mchezaji wake? kaeni kwa kutulia.
 
Picha linaanza mashabiki wa Mamelod wakilaumu vikali na kulalamika kupangwa na timu wanayoiona ni underdog YANGA SC, huku wakidai kuwa wao ni wakubwa walimtaka mkubwa simba SC na wakajiona tayari washatinga nusu fainali kama mwaka jana... Wazungu wanasema "More expectation more disappointment", just imagine Yanga akamtoa mamelod, timu ambayo ina wachezaji wenye ubora kiwango cha AFCON, Fikiria reaction ya mashabiki, fikiria reaction ya MOTSEPE. Kivyovyote vile mtu wa kwanza kubebeshwa lawama ni kocha MOKWENA. INAENDELEA
huna unachojua,mokwena hawezi kufukuzwa hata mamelodi wakifungwa
 
images (1)-1.jpeg
 
Picha linaanza mashabiki wa Mamelod wakilaumu vikali na kulalamika kupangwa na timu wanayoiona ni underdog YANGA SC, huku wakidai kuwa wao ni wakubwa walimtaka mkubwa simba SC na wakajiona tayari washatinga nusu fainali kama mwaka jana... Wazungu wanasema "More expectation more disappointment", just imagine Yanga akamtoa mamelod, timu ambayo ina wachezaji wenye ubora kiwango cha AFCON, Fikiria reaction ya mashabiki, fikiria reaction ya MOTSEPE. Kivyovyote vile mtu wa kwanza kubebeshwa lawama ni kocha MOKWENA. INAENDELEA
Siyo tu kuingia uwanjani kinyumenyume au kutumia lango lisilo rasimi,bali hata wakiingia uwanjani wakiwa UCHI kipigo kiko palepale kina wasubiri.
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Endape atabaki na msimamo wake wa soka la kumiliki mpira na mambo yakawa magumu je wachezaji wake wataendelea kumtii ? Natural insticts za mchezaji mmoja mmoja zitafanya kazi yaani ni sawa na mtu aliyefundishwa karate akapigwa konde la uso mara nyingi hupanic na kusahau mbinu zote hujikuta akirusha ngumi hovyo hovyo huku akiacha uso wazi mwisho wa siku hupigwa na kuaibika, kwa mantiki hiyo wachezaji wa mamelod natural instics zao zitawaforce wapige mipira ya juu na watajikuta wanaingia kwenye mfumo wa yanga. SI MNAYAKUMBUKA YA BELOZDAD, Mnakumbuka tukio la kocha kutaka kuzichapa na mchezaji wake? kaeni kwa kutulia.
Aaahaaaa

Mkuu umenikumbusha mbali sana see
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Hahahahaha umetokea kuchukia mpira siku hz...hahahaha
 
Mpira umevamiwa na Machizi soka.

Juzi Taifa watu wameuwawa
Wamepigwa virungu.
Wamepigwa Mabomu nk
Wengine wamepata Ajali hadi vifo nk.
Hahahahaha..nje ya uwanja hii kazi ya polisi..huko America ya kusini vurugu na purukushani kama hizo kawaida
 
Back
Top Bottom