OMOYOGWANE JF-Expert Member Joined Dec 30, 2016 Posts 4,701 Reaction score 11,920 Apr 1, 2024 Thread starter #21 fimboyaasali said: huna unachojua,mokwena hawezi kufukuzwa hata mamelodi wakifungwa Click to expand... unamjua MANGOBA MANGITH? huyu alikuwa kocha mkuu na msaidizi wake alikuwa ni MOKWENA kutokana na perfomance mbovu unajua kilichomkuta? nakupa assignment. pia unajua kuwa GAMOND naye yalimkuta ya kumkuta akiwa kama kocha mkuu wa mamelod?
fimboyaasali said: huna unachojua,mokwena hawezi kufukuzwa hata mamelodi wakifungwa Click to expand... unamjua MANGOBA MANGITH? huyu alikuwa kocha mkuu na msaidizi wake alikuwa ni MOKWENA kutokana na perfomance mbovu unajua kilichomkuta? nakupa assignment. pia unajua kuwa GAMOND naye yalimkuta ya kumkuta akiwa kama kocha mkuu wa mamelod?
OMOYOGWANE JF-Expert Member Joined Dec 30, 2016 Posts 4,701 Reaction score 11,920 Apr 27, 2024 Thread starter #22 Watu tulifanya uchambuzi mapema, haya sasa mamelod kakutana na wanaojua kupaki bus na kushambulia kapigwa nje ndani, kifuatacho ni kocha kifukuzwa
Watu tulifanya uchambuzi mapema, haya sasa mamelod kakutana na wanaojua kupaki bus na kushambulia kapigwa nje ndani, kifuatacho ni kocha kifukuzwa