ndukulusudicho
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 501
- 768
Salute sana BM X6Yani we acha tu...
Yeah labda hapo mkuu sikuweka sentesi yangu vizuriUkisema hauna mwisho unakosea, nikifa je?
[emoji2][emoji2][emoji2] hapana mkuu ila unapopata wasaa basi utukumbuke na sisi ndugu zakoAu sio, mnafurahi wenyewe. Haya tukutane December tarehe kama leo
Huyo alivyo labda ajilengeshe mwenyewe lkn ukileta ujuaji inakula kwakoYani we acha tu...
Huyo kijana anaweza kuwa mtoto wa mzee. Tusubiri season 2EPISODE 01, SEASON 01
Wakuu nahitaji ushauri wenu ili niweze kufaulu katika huu mtihani, nimepewa kazi kubwa ambayo nikifaulu basi milango mingi itafunguka huko mbeleni.
Kuna Mzee flani huwa tunashirikiana kikazi na mara nyingi mizigo yake huwa anaiagiza kupitia Kampuni yetu, ni Mfanyabiashara na ameanza Biashara miaka ya 90s alivyomaliza tu O level, Sasa huyu Mzee kijana (1971) huwa
6. Muendelezo Soma Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni
Hii siyo bongo movie mkuu ambayo ukiona trailler umeshajua hadi mwisho kitatokea nini.Huyo kijana anaweza kuwa mtoto wa mzee. Tusubiri season 2
Kuish na Caryn ni rahis Sana na ukimpatia utafurah sana kikubwa huyo dogo snapenda u boss sasa kuwa mpole flan HV mjumbe ndio akikwambia umekosea kubsli sema I sorry na hata skikusgiza wap kubsli Tu hata kama sio siku ya kazi,ila kiukweli kutompa taarifa umebugi boss wako ni Caryn sio Mzee usichsnganye ma file,huyo dogo snapenda ukubwa nenda nae kiivyo mbona easy mkuu..Ukisema hauna mwisho unakosea, nikifa je?
Dah! na nilimaindi kweli bila kujua kuwa ndio naharibuKwa Mara nyingine Caryn yko sahihi kabisa... Ulipaswa kutoa taarifa na ulitegemewa wewe kama mtu wa karibu kuelewa umekosea na sio kuonesha unammind kwa alichoamua...
Leo umetupa package inayokidhi kiu...big up na shukran
Wewe pungasese, unajiona unajua sana. Hii na yenyewe ni ya kuipa attention? Endelea nayo basi.Hii siyo bongo movie mkuu ambayo ukiona trailler umeshajua hadi mwisho kitatokea nini.
Yeah, dats true nilikosea ila katika hayo makosa ndio nilipata chance ya kumjua zaidiKuish na Caryn ni rahis Sana na ukimpatia utafurah sana kikubwa huyo dogo snapenda u boss sasa kuwa mpole flan HV mjumbe ndio akikwambia umekosea kubsli sema I sorry na hata skikusgiza wap kubsli Tu hata kama sio siku ya kazi,ila kiukweli kutompa taarifa umebugi boss wako ni Caryn sio Mzee usichsnganye ma file,huyo dogo snapenda ukubwa nenda nae kiivyo mbona easy mkuu..