Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Duh! Haya bhana, hii kura imeharibika

ila nitajaribu kuchunguza kama kuna analojua Caryn kuhusu Annie
Hahahaha.

"Love is inversely proportional to distance"

Hata babu zetu walikua wanaletewa mke tu mwanzo anaweza mkataa Ila kwa sababu ya ule ukaribu tu wa kukaa pamoja anajikuta kashapenda.

Ushampenda caryn boss. Sema utaweza kummudu? Caryn amesema anaekubali yeye kua mnyonge kwa sababu yawezekana alishaambiwa kua sio submissive kwako au anahisi ndo kitu kilichokua kinafanya ujivutevute kumtongoza.

Kama una uhakika unaweza mfanya caryn awe submissive kwako pita na mamzi hiyooo boss
 
Dah! hapa kweli natakiwa kutuliza kichwa

Hii kura imeenda kwa Caryn bila ubishi [emoji294][emoji294]

Asante sana Mkuu[emoji1545]
 
Shukrani mkuu, naomba kujua kama wewe ni Team Annie au ni Team Caryn?
Mahusiano aimaanishi ndoa uhusiano ukiisha ata urafiki unapotea ukipotea utampoteza mzee kwakuwa atajua ulimumiza mwanae

Angalia miaka 10 mbele sio miez mbele ila kama unataka kusacrifice everything in a day best of luck..
 
Wow! finally kura yako imeenda kwa Caryn [emoji294][emoji294]

Lakini hii kura imesindikizwa na maneno mazito, sijui niihesabu mara 2[emoji848]
 
Mahusiano aimaanishi ndoa uhusiano ukiisha ata urafiki unapotea ukipotea utampoteza mzee kwakuwa atajua ulimumiza mwanae

Angalia miaka 10 mbele sio miez mbele ila kama unataka kusacrifice everything in a day best of luck..
Aysee, Nashukuru sana

Hii nayo imeenda kwa Caryn [emoji294][emoji294]
 
Nafanya hivi kwasababu mm mwenyewe nipo njia panda bro

Naimani mawazo ya wengi yatanisaidia kufanya maamuzi sahihi

Kwa kifupi hadi Dakika hii wote nimewapa nafasi sawa, hakuna aliye juu ya mwenzake
Mimi nampa Annie.. amekuvumilia sana ingawa hata Caryn inakua ngumu kumuacha hapa ndio utaona umuhimu wa sheria za ndoa za kiislam 😅 😅 halafu me sio bro
 
Mimi nampa Annie.. amekuvumilia sana ingawa hata Caryn inakua ngumu kumuacha hapa ndio utaona umuhimu wa sheria za ndoa za kiislam [emoji28] [emoji28] halafu me sio bro
Aah kumbe ni Madam, ndio maana Ile comment umeiandika kwa hisia sana

Anyway, hii tunampa Annie
 
Sasa Kwanini niachane na Annie halafu nifiche feelings kwa Caryn! Yani lengo la kuachana na Annie ni lipi hasa?
Uwepo wa Anie (kama utashindwa kuficha) utakunyima fursa kwa Caryn.
Feelings kwa Caryn zitakupunguzia ufanisi kazini na utashindwa ku-focus kwenye malengo yako!

Nb: Kwenye kura I go for Caryn!
 
Chukua bosslady ukianza kumkaza atakuheshimu huoni anataka uendeshe mradi wa familia ili uwe huru kutoka kwenye amri zake na yuko tiyari kushuka?!!
Waveja sana

Counted to Caryn
 
Uwepo wa Anie (kama utashindwa kuficha) utakunyima fursa kwa Caryn.
Feelings kwa Caryn zitakupunguzia ufanisi kazini na utashindwa ku-focus kwenye malengo yako!

Nb: Kwenye kura I go for Caryn!
Wow! Nilikuwa sijawaza hivi kabisa

Unaona sasa Uzuri wa kukaribisha maoni

Asante sana

Vote Counted to Caryn
 
Daah man umefikia patamu sana...daah haya mapenzi aaah😂😂
Ushauri wangu...
Piga ua hakikisha Caryn ni wako sio kwasababu anapesa bali ana AKILI KUBWA.

Mimi kwa mwanamke mwenye akili, mgumu na misimamo mikali huwa sijiwezi kabisa
 
Asante sana, na umetoa idea nzuri ya kupiga kura, itabidi tuitishe Uchaguzi, Binafsi nimewapitisha wote, so atakayepata kura nyingi ndio huyo huyo naruka nae

Annie kashajipatia kura ya kwanza


Wengine wataendelea...
Kura yangu Kwa Caryn ,huyo ndie kabeba hatma ya maisha Yako.
Huyo Annie ilikua starting point .
 
Daah man umefikia patamu sana...daah haya mapenzi aaah[emoji23][emoji23]
Kwa Upande wenu Patamu, ila kwa upande wangu nimefika Pachungu

Eniwei, Election inakusubiri huku
 
Kura yangu Kwa Caryn ,huyo ndie kabeba hatma ya maisha Yako.
Huyo Annie ilikua starting point .
Alooh!


Sina Cha kuongeza zaidi ya [emoji1542] Counted to Caryn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…