Bm,stori imeisha?Hapana, ni ubize tu
Si alisema stori ikiisha? Kwani stori imeisha au bado inaendelea? Tajiri naona anachakazwa na banTajiri amekula Ban, acha atoke kifungoni yeye ndio ana majibu zaidi
BM X6 hii post usiichukulie poaAkubali kupelekwa vile Familia inataka....akiambiwa kaa nyumbani anakaa njoo kazini huyooo anaenda [emoji3][emoji3]
Namshauri atumie akili sana hapa la sivyo atarudi na uzi mpya hatima ya maisha yangu ipo mikononi mwa careen[emoji2]
Makaburi yenyedhahabu yafukuwe upesiMbona unafukua makaburi ππππ
Mods ndio wanajua aiseeHalafu Tajiri shida yake ni gani hadi anakula Ban? hizi ban atuachie sisi watu wa low class na middle class