Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Ipo hivi, Ile siku Hotelini Mzee alivyonambia atanipa mtihani inaonekana alikuwa bado hajauandaa mtihani wenyewe kwasababu siku ambayo tunapata chakula na wale madogo, baada ya Caryn kutoa maoni yake Mzee alinambia "Nishapata idea ya mtihani wako" (labda kama sijasimulia hicho kipande, lakin ndio ilikuwa hvyo)
 
Mzee hajasafiri na jeraha, alikuwa kasha recover japo sio kivile, na ilibidi asafiri kwasababu alikuwa ameshafanya booking ya Kila Kitu, kuanzia ndege Hadi huko anakofikia, na kutokana na nature ya Biashara yake hiko ndio kipindi sahihi Cha yeye kusafiri


Halafu huyo Shigongo apite hapa kufanya nini mkuu?
 
Huu uzi naona unatrend sana ngoja siku na views nyingi ngoja siku nitulie nisome vizuri .
 
kitu ambacho n muhimu pia......kumbumka connection imeanzia kwa accountant.......bado nakushauri kaa na wote mbali......kuna misamiati mingi alikupa mzee baba.....ina vimelea vingi vya uhalisia....
Una maanisha nikae mbali na Annie pia? je nisipofanya hivyo itakuwaje mkuu, ebu nambie pengine sijapata point yako vizuri
 

Mkuu unajua kuishinda tamaa kunahitaji nidhamu ya hali ya juu
Na Ili uwe na nidhamu inapimwa kwenye vitu vidogovidogo sana,
Imagine Kuna mahala alikupima kubaini kama wewe ni mwaminifu pale aliposahau ufunguo wa gari na akakuelekeza ulipo unadhani alikua hajui kama Kuna vitu vya thamani alikua ameviacha? Lakini ulishinda mtihani ule

Tukija kwenye swala la njaa
Mwenye njaa ni lazima atafute chakula kilipo,mwenye njaa hawezi kuvumilia ni lazima atafute namna ya kupata chakula lakini unakipataje chakula wakati huna pesa ya kukinunua
Hapo Mzee anakufunza kuwa mvumilivu Incase you involve in my patnership are you ready to overcome obstacles

Pia upuuzi wa kudhani Kila kitu ni rahisi kukiovercome mambo mengine yanahitaji ushauri,pia kua na self determination
That's why nkasema upo kwenye kipimo na kipimo hiki muangalizi mkubwa ni huyo calyn na baba anampenda huyo Kwa kua yeye ni real actress hapepesi macho kwenye kubainisha ukweli ni upi na uovu ni upi tofauti na huyo dada ake Michelle
Besides both of them they are smart but the young one is smarter than the elder one

Na ishu ya kukuchallenge ndo mtihani wenyewe Sasa usitumie kigezo cha kukuchallenge kufanya upuuzi I told you, you gonna fail
Ila pia asishushe your manhood yako eti Kwa sababu ana kuchallenge ovyo ovyo kwenye YES sema YES kwenye NO sema NO

Mwisho wa siku if this exam end fight for your love Annie she is the one napenda namna anavyokubali madhaifu yako na kumove on wachache sana wa hivi

REMEMBER NO MATTER WHAT IT TAKES FIGHT FOR YOUR LOVE
ANNIE SHE IS THE BEST EVER
 
Nenda kijijini jisaulishe mambo yote ya mjini kama wiki hivi then utapata jibu
Sasa hiyo si ni sawa na kunywa pombe ili kupoteza mawazo, then nikirudi sober mawazo yana take place
 
Apite kuona uandishi wa story yako
Kiukweli ni muandishi mzuri sana wa story imagine hii ni really what if kama zingekua zile za Kutunga
Hongera sana mkuu

Ila swali ninalojiuliza I hope na wengine wanajiuliza hivyo hivyo unawezaje kukumbuka kila tukio na namna mlivyokua mkizungumza one point after another hata sehemu za utani na Yale maongezi ya kawaida ambayo sio rahisi kuyaweka manani?
 
Hayo uliyoyasoma siyo yote Mkuu, mengine nimeyasahau, mengine nayakumbuka ila sijayaweka makusudi ili Story isiwe ndefu maana watu walikuwa wananishambulia sana

Sehemu nilizozisahau sana sana ni zile tulizoongea na Mzee tukiwa wawili tu, kwenye hii story Kuna point nyingi sana za Mzee nimezisahau

Ukiongea na huyu Mzee mara moja utatamani uongee nae tena na tena, na mm huwa namfaidi tukiwa tumekaa wawili tu, tukiwa na familia yake yote huwa hatemi nondo sijui kwanini
 
Huu uzi naona unatrend sana ngoja siku na views nyingi ngoja siku nitulie nisome vizuri .
Ukifanikiwa kumaliza kuusoma wote usisahau kusema chochote
 
Nipe namba ya caryn mkuu ..nataka nimle, mademu wa kiswanglish hao Ni kuwala tu hamna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…