Mkuu kuhusu yule kijana Sina wasiwasi nae sana, na nishaanza kulifanyia kazi swala lake, ila mtiti unakuja kwa huyo Caryn, inaonekana kama yupo mbele yangu Kuni challenge, unajua nilijiuliza kwanini Mzee asini connect na mwanae Mkubwa ambaye ni Michelle,
Na kuhusu vipimo, una zungumzia vile vitatu ambavyo ni Njaa Tamaa na Upuuzi au?
Mkuu unajua kuishinda tamaa kunahitaji nidhamu ya hali ya juu
Na Ili uwe na nidhamu inapimwa kwenye vitu vidogovidogo sana,
Imagine Kuna mahala alikupima kubaini kama wewe ni mwaminifu pale aliposahau ufunguo wa gari na akakuelekeza ulipo unadhani alikua hajui kama Kuna vitu vya thamani alikua ameviacha? Lakini ulishinda mtihani ule
Tukija kwenye swala la njaa
Mwenye njaa ni lazima atafute chakula kilipo,mwenye njaa hawezi kuvumilia ni lazima atafute namna ya kupata chakula lakini unakipataje chakula wakati huna pesa ya kukinunua
Hapo Mzee anakufunza kuwa mvumilivu Incase you involve in my patnership are you ready to overcome obstacles
Pia upuuzi wa kudhani Kila kitu ni rahisi kukiovercome mambo mengine yanahitaji ushauri,pia kua na self determination
That's why nkasema upo kwenye kipimo na kipimo hiki muangalizi mkubwa ni huyo calyn na baba anampenda huyo Kwa kua yeye ni real actress hapepesi macho kwenye kubainisha ukweli ni upi na uovu ni upi tofauti na huyo dada ake Michelle
Besides both of them they are smart but the young one is smarter than the elder one
Na ishu ya kukuchallenge ndo mtihani wenyewe Sasa usitumie kigezo cha kukuchallenge kufanya upuuzi I told you, you gonna fail
Ila pia asishushe your manhood yako eti Kwa sababu ana kuchallenge ovyo ovyo kwenye YES sema YES kwenye NO sema NO
Mwisho wa siku if this exam end fight for your love Annie she is the one napenda namna anavyokubali madhaifu yako na kumove on wachache sana wa hivi
REMEMBER NO MATTER WHAT IT TAKES FIGHT FOR YOUR LOVE
ANNIE SHE IS THE BEST EVER