Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Nimekuelewa, sasa nikupe hiyo kazi Mzee Baba
 
Story itakavyoendelea ni jamaa atakubali kuacha kazi kule kwenye kampuni anayofanya kazi then abaki na Annie lakini atajikuta kwenye mtihani mwingine wa kupendwa na Caryn.

Zingatia hapo aliposema amesisitizwa atembelee mara kwa mara kwa mzee..

na hii ndio next issue ataenda kukutana nayo baada ya kuacha / kuachishwa kazi ya kwanza.
 
Naomba Namba ya Michelle Mkuu
Pia usiwe Mchoyo, Unaweza kunipasia na Mimi Accountant

Natanguliza Shukrani
 
Wewe haupo makini na unaweza ku feli kila kitu ..unajua kwanini? Kwa sababu haujui unataka kufanya Nini...
 
Hampitishi mzigo kwa sea shiping?
 
Imekuwaje? Siku zote hizo tunakushauri hamna kilichoendelea?
 
Wewe haupo makini na unaweza ku feli kila kitu ..unajua kwanini? Kwa sababu haujui unataka kufanya Nini...
Hapana mkuu, unajua mipango hubadilika kutokana na opportunity inayopatikana
 
Umejibu kweli
 
Hahahaaaa ! Usikute mtihani wa ofisini ukamuachisha kazi kwa kutegemea mchongo wa mzee, ghafla tu akajikuta yuko disqualified kwa kutokumuoa caryn!
 
Mkuu huu Uzi unanikataza kufanya hivyo, ninaweza kudhani ni customer wa kawaida kumbe ni mtego. (Ila si kwa ubaya msee)
Kwamba una wasiwasi kama mm ni Mzee[emoji2] (hapana) but it's okay, nitatumia Kampuni nyingine ila naomba kuuliza tena, Mzigo nitakaosafirishiwa ni lazima upitie Zanzibar?

Siwezi kuupokea Airport ya Dar? Sababu kwenye hii story yako hakuna siku umesema umeenda JKIA kupokea mzigo, ni mwendo wa Zanzibar tu Zanzibar na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…