Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Biashara sawa unaweza kumfungulia na akawa anaingiza faida, lakini icho kipengele cha kwamba mpaka aweze kujilipia kodi, icho ndo kinaongeza ugumu wa ni biashara gani dogo afunguliwe.

Kuhusu mtihani wa ofisini! Una option mbili tu, umwache Annie au uache kazi
 
Kwamba una wasiwasi kama mm ni Mzee[emoji2] (hapana) but it's okay, nitatumia Kampuni nyingine ila naomba kuuliza tena, Mzigo nitakaosafirishiwa ni lazima upitie Zanzibar? Siwezi kuupokea Airport ya Dar? Sababu kwenye hii story yako hakuna siku umesema umeenda JKIA kupokea mzigo, ni mwendo wa Zanzibar tu Zanzibar na wewe
Kushushia mzigo Airport ya Dar ni Gharama kubwa sana, na Ukiachana na Gharama kwa upande wa Zanzibar kukagulia haichukui muda sana kama Dar, Mzigo ukishukia Dar unaweza kuchukua hata siku 2, ukaguzi wao wana complicatisha sana, Yani kitu kimoja kimoja wanakinyambua ili kupiga Ushuru vizuri na wakikuambia Ushuru ni milioni 15 basi Jua ni milioni 15 net, hakuna ku bargain. Lakini Zanzibar unaweza ku bargain,

Lakini kumbuka ukishushia Mzigo Zanzibar basi jua uta deal na TRA mara 2, Yani Zanzibar mzigo ukishuka kwenye Ndege na Dar Mzigo ukifika Bandarini, lakini pamoja na mzunguko wote huo Bado ni cheap mzigo kushukia Airport ya Zanzibar kuliko ya JKIA, kwanza Zanzibar ni mara chache sana kukagua mizigo yote ndio maana inakuwa cheap kupitisha mizigo kule na haichukui time mingi
 
Kushushia mzigo Airport ya Dar ni Gharama kubwa sana, na Ukiachana na Gharama kwa upande wa Zanzibar kukagulia haichukui muda sana kama Dar, Mzigo ukishukia Dar unaweza kuchukua hata siku 2, ukaguzi wao wana complicatisha sana, Yani kitu kimoja kimoja wanakinyambua ili kupiga Ushuru vizuri na wakikuambia Ushuru ni milioni 15 basi Jua ni milioni 15 net, hakuna ku bargain. Lakini Zanzibar unaweza ku bargain,

Lakini kumbuka ukishushia Mzigo Zanzibar basi jua uta deal na TRA mara 2, Yani Zanzibar mzigo ukishuka kwenye Ndege na Dar Mzigo ukifika Bandarini, lakini pamoja na mzunguko wote huo Bado ni cheap mzigo kushukia Airport ya Zanzibar kuliko ya JKIA, kwanza Zanzibar ni mara chache sana kukagua mizigo yote ndio maana inakuwa cheap kupitisha mizigo kule na haichukui time mingi
Na ukiwa unakagua hapo bandarini kutoka zanzibar declaration yake inakuwaje?? IM4,IM5,IM6 au M8??? or inakuwaje yan??
 
Machaguzi ameniachia mm Mkuu
Shughuli ambayo haitawasumbua hao watoto, ni ama awanunulie au awajengee nyumba, ikodishwe na sehemu iwe makazi yao. Iwasaidie wote kielimu na kimaisha.
 
kama Caryn vile
images%20(1).jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Apangishiwe nyumba ya 50 elf kwa mwezi na biashara tafuta meza sehemu nzuri km temeke, g/mboto, kkoo , mbagara n.k kisha muongoze kwenye maduka ya jumla k/koo chukua viatu vya watoto na kike hasa simple za kichina kwa mtaji wa laki 8 ataweza kujilipia kodi.
 
Unahisi mzee hajasoma huu uzi bado? Anyways mfungulie biashara ya vinywaji laini jumla na rejareja
 
Kushushia mzigo Airport ya Dar ni Gharama kubwa sana, na Ukiachana na Gharama kwa upande wa Zanzibar kukagulia haichukui muda sana kama Dar, Mzigo ukishukia Dar unaweza kuchukua hata siku 2, ukaguzi wao wana complicatisha sana, Yani kitu kimoja kimoja wanakinyambua ili kupiga Ushuru vizuri na wakikuambia Ushuru ni milioni 15 basi Jua ni milioni 15 net, hakuna ku bargain. Lakini Zanzibar unaweza ku bargain,

Lakini kumbuka ukishushia Mzigo Zanzibar basi jua uta deal na TRA mara 2, Yani Zanzibar mzigo ukishuka kwenye Ndege na Dar Mzigo ukifika Bandarini, lakini pamoja na mzunguko wote huo Bado ni cheap mzigo kushukia Airport ya Zanzibar kuliko ya JKIA, kwanza Zanzibar ni mara chache sana kukagua mizigo yote ndio maana inakuwa cheap kupitisha mizigo kule na haichukui time mingi
Nimekuelewa Mkuu, acha nifanye mchakato mzigo utue Bongo
 
Likizo yangu inaisha August 9, na Mzee sijajua tarehe rasmi ila kuanzia September 20 maana ndio itakua imepita miezi miwili na nusu, Kuanzia hapo kama kutakuwa na jipya tutajuzana mkuu

Ila kwasasa matukio ni ya kawaida hayana changamoto, labda Kijana wa Buguruni alete miyeyusho
Mkuu vipi, kwa mujibu wa tarehe, juzi ulirepoti kazini baada ya likizo kuisha....vipi unaendelea na Kazi au ulifukuzwa???
 
Usitarajie kuaminika na kila mtu.
Pili mtihani mdogo sana, zaidi unapaswa kuwa na msimamo.
Tatu...asikutoe mtu kwenye msimamo wa mapenzi.
Mke ni Annie
Annie
Annie
Ukikosea unachokitafuta hutakipata kamwe.
Note; japo stori ya kutunga lakini ina somo.
Kwanini ninasema ni ya kutunga?
Tittle/heading ya kijana wa Buguruni uliiweka mwanzo wa uzi lkn mtihani wenyewe umeweka juzi tu na Caryn alipomshauri babake awasaidie hao vijana.

Lakini wewe ulishamtaja kijana kwenye tittle/heading ya uzi
Kabisa mkuu nimejiuliza mara mbilimbili sipati jibu, hii chai ya moto sana
 
Mkuu vipi, kwa mujibu wa tarehe, juzi ulirepoti kazini baada ya likizo kuisha....vipi unaendelea na Kazi au ulifukuzwa???
Nilireport, lakn[emoji22] acha tu mkuu
 
Back
Top Bottom