Kushushia mzigo Airport ya Dar ni Gharama kubwa sana, na Ukiachana na Gharama kwa upande wa Zanzibar kukagulia haichukui muda sana kama Dar, Mzigo ukishukia Dar unaweza kuchukua hata siku 2, ukaguzi wao wana complicatisha sana, Yani kitu kimoja kimoja wanakinyambua ili kupiga Ushuru vizuri na wakikuambia Ushuru ni milioni 15 basi Jua ni milioni 15 net, hakuna ku bargain. Lakini Zanzibar unaweza ku bargain,Kwamba una wasiwasi kama mm ni Mzee[emoji2] (hapana) but it's okay, nitatumia Kampuni nyingine ila naomba kuuliza tena, Mzigo nitakaosafirishiwa ni lazima upitie Zanzibar? Siwezi kuupokea Airport ya Dar? Sababu kwenye hii story yako hakuna siku umesema umeenda JKIA kupokea mzigo, ni mwendo wa Zanzibar tu Zanzibar na wewe
Huwa ninakukubali hatariNipo tayari kusoma
Na ukiwa unakagua hapo bandarini kutoka zanzibar declaration yake inakuwaje?? IM4,IM5,IM6 au M8??? or inakuwaje yan??Kushushia mzigo Airport ya Dar ni Gharama kubwa sana, na Ukiachana na Gharama kwa upande wa Zanzibar kukagulia haichukui muda sana kama Dar, Mzigo ukishukia Dar unaweza kuchukua hata siku 2, ukaguzi wao wana complicatisha sana, Yani kitu kimoja kimoja wanakinyambua ili kupiga Ushuru vizuri na wakikuambia Ushuru ni milioni 15 basi Jua ni milioni 15 net, hakuna ku bargain. Lakini Zanzibar unaweza ku bargain,
Lakini kumbuka ukishushia Mzigo Zanzibar basi jua uta deal na TRA mara 2, Yani Zanzibar mzigo ukishuka kwenye Ndege na Dar Mzigo ukifika Bandarini, lakini pamoja na mzunguko wote huo Bado ni cheap mzigo kushukia Airport ya Zanzibar kuliko ya JKIA, kwanza Zanzibar ni mara chache sana kukagua mizigo yote ndio maana inakuwa cheap kupitisha mizigo kule na haichukui time mingi
Pamoja mkuuHuwa ninakukubali hatari
Shughuli ambayo haitawasumbua hao watoto, ni ama awanunulie au awajengee nyumba, ikodishwe na sehemu iwe makazi yao. Iwasaidie wote kielimu na kimaisha.Machaguzi ameniachia mm Mkuu
Acha utani basi mkuu,tumeshakupa mawazo ni ni cha kufanya,ila ww naona ubinafsi unakusumbua....[emoji848] unaonaje ukanipa ya kwako nimpatie yeye akutafute mwenyewe
Una wivu wa kishamba kwani akitupatia hizo no ni ww ndio unatongozwa ?Nimeona unawazo la kutoa namba ya Caryn...huku ukijua uaminifu ni moja ya kipimo katika mtihani uliopewa na Mzee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseèerUna wivu wa kishamba kwani akitupatia hizo no ni ww ndio unatongozwa ?
Nimekuelewa Mkuu, acha nifanye mchakato mzigo utue BongoKushushia mzigo Airport ya Dar ni Gharama kubwa sana, na Ukiachana na Gharama kwa upande wa Zanzibar kukagulia haichukui muda sana kama Dar, Mzigo ukishukia Dar unaweza kuchukua hata siku 2, ukaguzi wao wana complicatisha sana, Yani kitu kimoja kimoja wanakinyambua ili kupiga Ushuru vizuri na wakikuambia Ushuru ni milioni 15 basi Jua ni milioni 15 net, hakuna ku bargain. Lakini Zanzibar unaweza ku bargain,
Lakini kumbuka ukishushia Mzigo Zanzibar basi jua uta deal na TRA mara 2, Yani Zanzibar mzigo ukishuka kwenye Ndege na Dar Mzigo ukifika Bandarini, lakini pamoja na mzunguko wote huo Bado ni cheap mzigo kushukia Airport ya Zanzibar kuliko ya JKIA, kwanza Zanzibar ni mara chache sana kukagua mizigo yote ndio maana inakuwa cheap kupitisha mizigo kule na haichukui time mingi
Bibie wewe unaonaje hapo, si wivu tuu unamsumbua hamna kingine na kuna uwezekano hata yy ameshaomba no ya sim pm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseèer
Mbona anafanana na MaringoSaba
Mkuu vipi, kwa mujibu wa tarehe, juzi ulirepoti kazini baada ya likizo kuisha....vipi unaendelea na Kazi au ulifukuzwa???Likizo yangu inaisha August 9, na Mzee sijajua tarehe rasmi ila kuanzia September 20 maana ndio itakua imepita miezi miwili na nusu, Kuanzia hapo kama kutakuwa na jipya tutajuzana mkuu
Ila kwasasa matukio ni ya kawaida hayana changamoto, labda Kijana wa Buguruni alete miyeyusho
Kabisa mkuu nimejiuliza mara mbilimbili sipati jibu, hii chai ya moto sanaUsitarajie kuaminika na kila mtu.
Pili mtihani mdogo sana, zaidi unapaswa kuwa na msimamo.
Tatu...asikutoe mtu kwenye msimamo wa mapenzi.
Mke ni Annie
Annie
Annie
Ukikosea unachokitafuta hutakipata kamwe.
Note; japo stori ya kutunga lakini ina somo.
Kwanini ninasema ni ya kutunga?
Tittle/heading ya kijana wa Buguruni uliiweka mwanzo wa uzi lkn mtihani wenyewe umeweka juzi tu na Caryn alipomshauri babake awasaidie hao vijana.
Lakini wewe ulishamtaja kijana kwenye tittle/heading ya uzi
Mtunzi mzuri sana mbali na mapungufu madogo madogoKabisa mkuu nimejiuliza mara mbilimbili sipati jibu, hii chai ya moto sana