Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

mpwayungu village ni nouma na story zake. Kwenye safari ya lindi, na ile ya kaka yake kumbadilisha jinsia na hii hapa ya kijana wa buguruni. Na anakujaga tofauti tofauti.

JF person of the year 2022!
 
Atakayemuoa careen kazi anayo.
Atampata tu wakuendana nae. Smart people need smart people to couple out for living. Akiwa na mtu ambaye ni slow minded jua kampenda mwenyewe na kwa % kubwa anamcontrol mwenyewe..
 
Hii EPISODE umeiharibu mkuu, utamu wa story wote umepotelea hapo

Matukio umeya-mix mix mnooo

Kwingine kote umeenda vizuri ila hapo umepuyanga

Kila la Kheri

Chief Judge hii EPISODE YA 6 nakupa 0%

Ungekua ni kusahisha mtihani basi ningekupitishia mistari mistari mirefu mirefu tu pepa zima
 
Nimeiharibu aje tena? Mkuu Mimi nafloo na matukio yalivyotokea, si edit mahali zaidi ya Majina ya wahusika
 
Mkuu hizi drama ☝️ ulivyozi exaggerate/umejazajaza machumvi mengi, hizo ndio zimesababisha story yako kupoteza ladha na kukosa mvuto umekoleza wino mnooo huu ni utunzi tu sio story ya kweli km unavyojisifia kwamba ni story ya kweli sio kweli huu ni utunzi tu

UMUGHAKA na mpwayungu village watakueleza vizuri
Nimeiharibu aje tena? Mkuu Mimi nafloo na matukio yalivyotokea, si edit mahali zaidi ya Majina ya wahusika
 
Sijaona chumvi hapo, hayo yote ni Mambo ya kawaida, lakin ni sawa kwa mtazamo wako upo huru kuamini chochote, Kila mtu ana experience yake kwenye hasa maisha
 
Sijaona chumvi hapo, hayo yote ni Mambo ya kawaida, lakin ni sawa kwa mtazamo wako upo huru kuamini chochote, Kila mtu ana experience yake kwenye hasa maisha
Nasoma vitabu naandika vitabu kwa unaposahihishwa pahala usiwe kichwa ngumu, una uandishi mzuri ila punguza chumvi story ni km chakula ukijaza machumvi msomaji anakosa ladha

Story yako nzuri ila chumvi unaweka nyingi ladha inapotea
 
Nasoma vitabu naandika vitabu kwa unaposahihishwa pahala usiwe kichwa ngumu, una uandishi mzuri ila punguza chumvi story ni km chakula ukijaza machumvi msomaji anakosa ladha

Story yako nzuri ila chumvi unaweka nyingi ladha inapotea
Sawa mkuu nimekuelewa
 
Atampata tu wakuendana nae. Smart people need smart people to couple out for living. Akiwa na mtu ambaye ni slow minded jua kampenda mwenyewe na kwa % kubwa anamcontrol mwenyewe..
Halafu smart people hawanaga hiyo bahati ya kupata wenza smart kama wao.
Na sio rahisi smart People couple ikadumu.
 
Halafu smart people hawanaga hiyo bahati ya kupata wenza smart kama wao.
Na sio rahisi smart People couple ikadumu.
They don't last long coz everyone would like to be above the other, ila kama ikatokea mmoja akamsoma mwenzake akaamua kucompell mambo huwa mswano...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…