Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa Kijana wa Buguruni SEASON 2

5 Days to go
 
Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa Kijana wa Buguruni SEASON 2

4 Days to go
 
Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa Kijana wa Buguruni SEASON 2

3 Days to go
 
Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa Kijana wa Buguruni SEASON 2

1 Days to go
 
Dah! Ndugu zanguni samahanini sana, Yani kilichotokea sijui ni mazingaombwe!?

Ningejua hii story ningei paste tu jana aisee, Leo naingia kwa Notepad nakuta story imefutika...kinachoniuma ni kwamba imenichukua wiki 2 kuiandaa, maana niliandika Gazeti ambalo halikuwahi kutokea hapa Jf

Wakuu na wafuatiliaji wa hii story naombeni nianze kuiandika upya japokuwa kilichotokea kimenivunja sana moyo kwasababu Gazeti lilikuwa refu sana jamani natamani hata kulia [emoji22] Yani urefu wake ni sawa na kuonganisha Episodes zote za SEASON 1, na sitoweza kuliandika Gazeti kama lile tena, itabidi Kila nitakapoishia kuiandika nipost


All in All kesho lazima nitupie kama nilivyoahidi hata kama ni mistari 10
 
Hatuna jinsi tu tutasibiria kilichopo pia pole sana mkuu Kwa kufutika Kwa kazi kubwa uliyotuandalia
 
Duh pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…