Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Mkuu hii mbona ni BMW na ulisema Caryn ana push Jeep wrangler ya 2020 au sikuelewa vizuri
 
Kaa chonjo, siku maza huyo mwenye kampuni au mtoto wake huyo ulielazimishwa kumoa akijua utazitapika zote hata kama umeshaondoka kwenye kampuni [emoji23]
Ahahah, nawapiga kistaarabu hata wakijua haitaleta shida sana, halafu Mkuu najaribu kucopy lakini inagoma haya maandishi ya blue, au Kuna namna ya kucopy mm sijui?
 
Mkuu hii mbona ni BMW na ulisema Caryn ana push Jeep wrangler ya 2020 au sikuelewa vizuri
Jeep Wrangler Ile ni ya Mzee, family member yeyote yule anaweza kuiendesha ila Caryn mara nyingi ndio alikuwa anapenda kuitumia, hii BMW ni ya Caryn, kwenye story nitaielezea

Kama ningepasua Taa ya Jeep ningedili na Mzee sio Caryn
 
Jeep Wrangler Ile ni ya Mzee, family member yeyote yule anaweza kuiendesha ila Caryn mara nyingi ndio alikuwa anapenda kuitumia, hii BMW ni ya Caryn, kwenye story nitaielezea

Kama ningepasua Taa ya Jeep ningedili na Mzee sio Caryn
Hapo sasa nimekupata
 
Hii Ni BMW gani mkuu
 
Ahahah, nawapiga kistaarabu hata wakijua haitaleta shida sana, halafu Mkuu najaribu kucopy lakini inagoma haya maandishi ya blue, au Kuna namna ya kucopy mm sijui?
Nimekurahisishia...

ingia hapa >> pastebin

copy kila kitu, ingia post yako ya kwanza futa kila kitu halafu u paste

kila kitu kitakuwa sawa
 
Pole mkuu ila make sure hupotezi focus kwenye issue za madogo Mzee akirud akute nothing done
 
Mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…