Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni


Mh
 
Dah haya maisha yani zinaagizwa European cars tatu kwa mpigo halafu anayeagiza zote anagawa


Ngoja nitafute pesa
 
we kaa tulia tunga taratibu usiwe na haraka mzee
ili ukija hapa utupe kilicho bora
Laiti kama Members wote wangekuwa kama wewe hii story ingekuwa nzuri sana zaidi ya hapa watu wanavyoiona kwasababu nikiandika huwa nakimbizana na muda ili nisiwacheleweshe sana so kuna matukio mengine nayasahau.

Ila kama ningekuwa napost at least kila baada ya wiki mbili ningekuwa napata muda mzuri wa kukumbuka matukio na kukumbuka maongezi jinsi yalivyokuwa

Kama Episode iliyopita kile kipande nipo na Mzee Ile Conversation ilitakiwa iwe ndefu na maongezi yalikuwa muhimu sana lakini Nimekuja kukumbuka baadhi ya sehemu nikiwa tayari nishapost
 
okay
leo umeonana na mzee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…