Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Mkuu kazi unayo safarii hii [emoji23]Bibie yuko damaa dama na wewe,,,,,
 
Mkuu naona tangu niwaungishe kampuni na wewe mmenitambua kiaina...asante sana
 
Tukutane February kwenye muendelezo
 
Hhhahah aisee mwisho wa siku mtananiliu nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na vipi yule wa Mwanza mnaendelea au ndio mmepotezeana
 
Hhhahah aisee mwisho wa siku mtananiliu nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na vipi yule wa Mwanza mnaendelea au ndio mmepotezeana
Wa Mwanza tunawasiliana karibia kila siku ila mambo mengi ninayopitia huku hajui, anachokijua nilimuambia tu nimehama Nyumba niliyokuwa na kaa mwanzo

Lakini kuhusu kuacha Kazi kipindi kile na kurudi kazini sikumjulisha hayo yote
 
Tunda kimasihara Loading....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…