fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Kwani unataka umaarufu humu jf...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we lete mda utakao x.Si nimesema hadi kesho jioni mkuu, hapa yenyewe nimepata muda kidogo nimeandika lakini bado sijaimalizia naidraft Mahali ili kesho nijazie
Au niipost hivyo hvyo halafu kesho niimalizie sehemu iliyobaki?
Nakadori pokea taarifa ya kijanaWakuu naomba mnisamehe sana, Chupa leo halijaamka na Chai, jana usiku nilivyomaliza kula nilipitiliza kulala moja kwa moja nikasema Story nitaimalizia leo maana nitakuwa tu home, Sasa Leo Asubuhi ratiba imechange nimeamshwa na simu kutoka kwa Boss natakiwa kwenda Zanzibar na Pesa ilishatangulizwa kwenye Account, Hapa najianda kwenda kupanda Boti ya 12:30 PM hivyo leo sitopata mazingira mazuri ya kuandika muendelezo, labda mpaka kesho jioni ndio nitakuwa nimerudi Dar
Pole rafiki😅Sasa si uandike ukiwa ndani ya boti?
Jamani sasa tuwekee hiyo kesho ikiwa fullSi nimesema hadi kesho jioni mkuu, hapa yenyewe nimepata muda kidogo nimeandika lakini bado sijaimalizia naidraft Mahali ili kesho nijazie
Au niipost hivyo hvyo halafu kesho niimalizie sehemu iliyobaki?
😂😂😂😂😂😂unnecessary beauracracyNimemkubali sana dogo aliyesema mikono yetu mbona misafi kabisa, haina haja ya kunawanawa.
Kipande hiko kinatukumbusha kupunguza urasimu na ukiritimba kwenye mambo ya msingi bhana
Magari ya matajiri yana fyonza sana wese dude kama V8, range spprt vorg, jeep, benz , cadlac unakuta chuma ina Cc 5000 kuingia shell lzmMagari ya matajiri hayakai na mafuta ya vibaba. Geji inakaa kwenye full. KwanA sisi waswahili unaweza kudhani iliharibika gauge
Ndugu umenishangaza sana, watu wanatoka Dar hadi Moro na mafuta Bado yapo kwenye tank, yaje kuisha kwangu niliyepiga routes za hapa hapa Dar kilometers hata hazifiki 30?Magari ya matajiri yana fyonza sana wese dude kama V8, range spprt vorg, jeep, benz , cadlac unakuta chuma ina Cc 5000 kuingia shell lzm
Alafu huyo boss wake ana tumia Alphad izo si ni gari za kawaida kabisaa unless asemw vinginevyo ila diatance kutoka kawe afike Tabata aende buguruni wee misere yoye iyo bila kuweka wese ..ah chai yake haikuchemka sawa sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]