feisal firdaus
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 424
- 675
Ikiendelea mtaniambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ni mzandikiii 😂😂😂😂Yaani atakayejifanya hapendi kusoma eneo kama hilo ni mwongo kabisa.
Ilipoishia
Ikabidi tu nimuelewa japokuwa anachokiongea kina make sense ila naona kama ana complicate sana mambo, tukaweka Kila kitu sawa Ilivyofika saa mbili kasoro tukarudi hotelini
Tukapiga msosi tukamaliza tukaelekea vyumbani, chumba changu hakipo mbali na chumba Cha Caryn, nilivyofika tu kwenye room yangu nikaingia bafuni kuoga, natoka bafuni namkuta amekaa kitandani nikajua tu huyu amekosa usingizi anataka tukeshe tukipiga story
BM: "Vip kwema?"
Caryn: "Itabidi tulale wote humu, mimi ugenini siwezagi kulala peke yangu"
MUENDELEZO
Episode 11 SEASON 2
Moyo uka vibrate kidogo ni kama nimesikia kitu ambacho sikutegemea kukisikia ila nikahisi kama nategwa kidizaini flani, mdomo ukawa mzito sijui nimruhusu au nimjibu kitu gani, alivyoona nimekuwa mzito kuongea akaendelea kuongea
Caryn: "Nipo Serious BM, mtu yeyote anayenijua vizuri analijua hili swala hata ukimuuliza Michelle"
BM: "Sawa hamna shida, mimi naweza kulala hata hapa chini kwenye Zuria"
Caryn: "Hapana, tunalala wote kitandani, ila nakuomba ukilala assume kama vile umelala na Mama yako mzazi sipo hapa kwaajili ya kukutega maana Akili za Wanaume nazijua"
BM: "Ivi upo serious kabisa kwamba huwezi kulala chumba Cha peke yako unataka tulale wote humu tena kitanda kimoja?"
Caryn: "Kwani kuna ubaya?...naomba nenda kule room kwangu kanichukulie Handbag yangu kuna sabuni nataka nikaoge"
Nikatoka kuelekea kwa room yake kumchukulia Handbag yake huku kichwani nikijiuliza maswali ya kutosha, kwamba huyu mtu kama ni kweli hawezagi kulala mwenyewe ugenini kwanini wakati tunalipia vyumba aliruhusu nilipie vyumba viwili badala ya kimoja?
Sikupata jibu la hilo swali nikahisi tu kuna kamchezo nachezewa, nilihisi Kimasihara imejileta yani stori ndani ya story kwamba hapa hapa ninaweza kupata Cha kuchangia kwenye Uzi wa Tunda na Masihara yake na Bado nikapata Content ya kunogesha Uzi huu wa kijana wa Buguruni
Kwa muda mfupi kichwa kiliwaza mambo mengi sana hicho ni kichwa Cha juu sasa, kichwa Cha chini nacho kilikuwa kimeshapata Notification kwamba muda wowote kuanzia sasa kunaweza kukanuka so be Attention
Lakini pia nikakumbuka wadau wa hapa hapa Jamii forum kwenye huu Uzi Season 1 kule episode ya mwisho kuna wadau walishauri kwamba nifanye yote lakini nisioneshe urijali kwa Caryn
Nikaona hapa nikiendelea kuwaza nini Cha kufanya sitopata jibu Cha msingi acha niache Universe iamue, nikachukua Handbag nikarudi kule room kwangu ambako nimemuacha Caryn
Caryn akatoa Sabuni akaingia bafuni kuoga, alivyomaliza akatoka akiwa ameshavaa Night dress akanikuta nimekaa kwenye kochi naangalia Tv
Caryn: "Hee! ndio kwanza unaangalia Tv? nikajua nitakukuta upo kitandani"
BM: "Kitandani? kwanini?"
Caryn: "Mizunguko yote Ile hujachoka tu? usie lala mapema, ivi kesho ndio imebaki Document moja eeh?"
BM: "Yeah, nataka ni-fight by saa 4 Asubuhi tuwe tumeondoka"
Caryn: "Kwahiyo kesho tunatoka hapa saa ngapi?"
BM: "Mapema tu kwenye saa 1 ivi, ili saa mbili itukutie maofisini....Sasa Cha kufanya wewe itabidi ukadili na mizigo tuliyoitoa Jana ipakiwe kwenye Boti huku mimi nikiendelea kutoa ambayo imebaki Airport"
Caryn: "Guinness Book itabidi waiandike hii, Mfanyakazi anampangia Boss Majukumu"
BM: "Madam, U Boss uliuacha pale Opposite na Rotana, umevuka Maji huu ni Utawala mwingine mbaya zaidi upo kwenye himaya yangu yani chumba changu"
Mazungumzo yalibase sasa katika mzaha japo nilikuwa namaanisha nilichokiongea, Caryn akavuta shuka mimi nikaganda kwenye Tv kama lisaa lizima
Ukiniuliza kwenye Tv nikikuwa naangalia Program gani najua basi nilikuwa nazuga kuusoma mchezo,
Kikubwa moyoni nilikuwa najiambia kwamba kama vitu vitatokea niache vitokee Automatically nisi force kwasababu huwezi jua inawezekana ni mtego sasa nikijimix nikaleta habari za kupapasana nitakuwa nimelichuma janga
Niseme usiku ulipita salama kabisa, huu usiku sitokuja kuusahau maana haijawahi kutokea katika maisha yangu, Asubuhi yake tuliamka fresh ila mimi ndio nilimuamsha Caryn, nilimuamsha mimi nikiwa nishapiga Maji na yeye akajiandaa tukatoka
Tukajigawa, Caryn alienda Bandarini kuweka kila kitu sawa mimi nikashughulika na Document chap then nikaenda Airport nikautoa mzigo chap kwa haraka sababu haukuwa mzigo mkubwa
Hatimaye tukavuka maji kurudi Dar es salaam, tukafika Bandari ya Dar tuka clear kila kitu tukaupeleka mzigo Ofisini, Kazi yangu ikawa imeishia hapo, nikampatia Storekeeper Parking list ya mizigo ya BATCH hii iliyoingia siku hiyo
Tulivyofikisha mzigo Caryn alienda Ofisini kwake moja kwa moja, muda huo ilikuwa kitu kama saa nane flani mchana nikawa najishauri kwenda kumuomba ruksa, Unajua kipindi kile Cha Utawala wa Bi Mkubwa nilikuwa nikifikisha mzigo tu nilikuwa nasepa zangu, Lakini si kwa huyu Binti ila nilijua kwa leo nitakubaliwa
Kweli nilivyoenda kumuomba akakubali ila yeye alisema atabaki hadi jioni japokuwa amechoka, Mimi nikajikataa nikaingia mtaani,
Siku zikapita wiki zikasonga nakumbuka ilikuwa November tarehe za katikati nikaja kupata nyumba maeneo flani kali sana zile nyumba ni vi Apartments flani hivi vipo sita zote zipo kwenye fence moja na kila nyumba ina vyumba viwili kimoja master halafu choo Cha ku share jiko na sitting room
Ile nyumba nilivyooneshwa tu nikalipia siku hiyo hiyo likabaki swala la kuhama tu, nilikaa kama wiki moja tangu nilipie rent ndio nikahamia kwenye makazi mapya
Kwenye makazi mapya nilihamia na kila Kitu changu kasoro Tv, Muziki na Makochi nilibadilisha, vitu vikakaa Mahali pake kasoro chumba Cha pili kilikosa kitanda maana mwanzo nilikokuwa nakaa ilikuwa One Bedroom nilikohamia ni Two Bedrooms so Budget haikuwa upande wangu kuniwezesha kununua kitanda kingine kwa muda huo
Nikajipa time ila Mpango ni kwamba nikishanunua kitanda nimchukue yule kijana wa mmoja wa Buguruni nikae nae maana nikisema nikae nao wote itakuwa uongo sababu wale wengine ni madogo sana kujihudumia vitu vingi hawawezi na mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri
Weekend ya kwanza nikiwa makao mapya nikapanga kwenda kwa Mzee maana nikitambo sijaenda na sijawahi kukaa muda mrefu kiasi hiki, Unajua tangu Ile safari ya Zanzibar niliyoenda na Caryn sijaenda kwao, ni karibia wiki 3 au mwezi + kama sikosei
Nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 13 November hii siku pia nakumbuka nilipost muendelezo wa story ambayo ilikuwa Episode ya pili SEASON 2
Basi mimi huyo mdogo mdogo hadi mjengoni kwa Mzee, Wakati naenda niliwasiliana na Mzee akaniambia anatoka mara moja na Bi Mkubwa so niende tu nitawakuta wakina Michelle
Basi nikafika Getini pale nikapita bila kupingwa mlinzi ni yule yule ananijua, Mlango wa nyumba akanifungulia Michelle
Michelle: "Wow! finally, it's been a while"
BM: "Sijakuzoea hivi sister Michelle"
Michelle: "Aje?"
BM: "Si hivyo vizungu mingi, Yai muachie Caryn mjukuu wa Malkia, kwanza yupo?"
Michelle: "Yeah, Boss wako yupo Upstairs "
BM: "U Boss kazini huko, yani Basi tu sina uwezo ila huyu ndugu yako huyu"
Michelle: "Kafanya nini tena jamani, mtu na rafiki yake mshatibuana"
BM: "Urafiki gani wa kukaziana kwenye kila kitu"
Michelle: "Kakufanyaje kwani?"
Nikaanza kumuelezea Michelle....turudi nyuma kidogo ili muelewe vizuri kitu alichonikwaza
Iko hivi mimi huwa naagiza mzigo China Accessories za magari na vitu vingine vya aina mbalimbali vikifika Bongo huwa nafanya Biashara
Baadhi ya vitu vyenyewe ni kama;
Electric toothbrush
Men USB chest bag
Tire Pressure Gauge
Body Renovate
Headlight repair
Car wheel hub reflecting
Crown Car driver license bag
Car air outlet perfume
Creative 3D glass craft metal keychain
Smart Car air compressor
Car Jump starter power bank
Air conditioner vent blinds
Phone holder wall Moun
Sasa mzigo ukatua Bongo, na mzigo wangu mimi ukifika huwa haupimwi kilo, utapimwa kilo ukiwa Bado upo china ndio unataka kupandishwa ndege, ila mizigo mingine inapimwa china na ikifika ofisini inapimwa tena ku confirm Kgs
Mzigo wangu huwa haupimwi mara mbili kwasababu siulipii, yani transport mimi ni Free of charge (hizo ni enzi za Mama Sasa)
Nikachukua mzigo wangu nikapita ofisini kwake ili nimuazime gari yake niukimbize mzigo maskani chapu
BM: "Boss lady nisaidie nafunguo nikimbie nyumbani mara moja, Leo sitakuchelewesha"
(Maana kuna siku nilichukua gari nikamchelewesha kama lisaa akanisusia gari nikaenda nalo nyumbani)
Caryn: "Yani uende nyumbani halafu urudi, sijakuelewa"
BM: "Yeah, naupeleka huu mzigo mara moja then narudi faster"
Caryn: "Aah! utanichelewesha BM, Leo request tu, huo mzigo ni wa nani kwani?"
BM: "Si wa kwangu naupeleka nyumbani, maana nikisema nisubiri jioni nipande nao. Daladala itakuwa uongo halafu mambo ya ku-request mimi sifagilii"
Caryn: "Ooh, so huo mzigo ni wa kwako...umelipiwa?"
BM: "Kulipia nini tena? Mzigo nimekuambia ni wangu"
Caryn: "Sawa sijakataa ni wa kwako, ndio nauliza umelipiwa?"
BM: "Okay haujalipiwa"
Caryn: "Sasa unaondokaje na mzigo wakati haujalipiwa, ebu nione Delivery note uliyoandikiwa"
BM: "Sina Delivery note"
Akanyanyua simu akampigia Storekeeper halafu akaitwa na Accountant, wakaja mule ofisini tukawa watu wa tatu yani mimi, Accountant, Storekeeper pamoja na Caryn akiwa wa nne
Caryn: "Accountant naomba nioneshe malipo ya ule mzigo pale mlangoni iwe ni Cash au Bank transfer, na Storekeeper nioneshe Delivery note ya huo mzigo"
Kwakifupi kwasababu mzigo sijulipia wote wawili Accountant na Storekeeper walikuwa hawana hivyo walivyoambiwa waoneshe
Delivery note ni karatasi ambayo inathibitisha kwamba mzigo ulikifa kwa mwenyewe huku ikionesha kiasi alicholipia pamoja na kilo za mzigo....Ila Accountant akajibu bila kupepesa macho
Accountant: "Ule mzigo haujalipiwa so sina pesa yake"
Caryn: "Kwanini haujalipiwa?
Accountant: "Mizigo ya BM huwa hailipiwi"
Caryn: "Kwanini isilipiwe, give me one and strong single reason kwanini mizigo yake hailipiwi"
Accountant: "Right question to the wrong person, Nadhani hili swali ungemuuliza aliyekuwa incharge wa hii Kampuni au muulize mwenyewe BM"
Caryn: "Okay, tufanye hailipii, wewe kijana naomba nioneshe Delivery note ya kuonesha kwamba BM amepokea mzigo wake"
Storekeeper: "Delivery note sijamuandikia kwasababu mzigo haujafanyiwa malipo"
Caryn: "Na mwenyewe unahisi upo sahihi kabisa kufanya hivyo, akikukana je kwamba hajachukua mzig"
Caryn: "Hawa wawili watakufanya uingie kwenye kosa, kama wanapeana mzigo bila ya kulipia wewe ulitakiwa kuuandikia Delivery note kuthibitisha kwamba mzigo umefika kwa muhusika"
Caryn: "Kaendeleeni na shughuli zenu, ila we naomba uniletee kitabu cha Delivery note"
Storekeeper akaambiwa alete kitabu cha Delivery note Accountant nae akaondoka nikabaki na Caryn, alivyoletewa kile kitabu cha Delivery note akamuambia Storekeeper akaupime ule mzigo wangu kwenye mzani
Kilo zikasoma 29 (29 KGs) Caryn akapiga hesabu ya dollar 12.5 kwa kila kilo, ikaja 833,730 kama hanijui Caryn akaniambia nitoe hiyo pesa ndio mzigo utoke
Nilimuangalia Caryn kama Dakika nzima hivi simmalizi, yeye ndio kwanza yupo busy na laptop
Caryn: "Aisee kama haulipii huu mzigo sema ili urudishwe stoo"
BM: "Urudishwe tu sina pesa sasa hivi ya kulipia mzigo"
Caryn: "Okay but huu mzigo usikae zaidi ya siku Saba huko stoo, ukipitisha ziku Saba za free utachajiwa gharama za stoo vile vile"
Turudi Leo sasa huku kwa Michelle
Michelle: "Unajua sio wewe tu, hata mimi mwenyewe niliagiza nywele akanilipisha, so ndivyo alivyo ni kumzoea tu"
BM: "Sawa sijakataa kulipia lakini usinicharge kama customers wengine, mimi natakiwa kufanyiwa favor, hata wewe pia"
Michelle: "Aahwe! Caryn anifanyie favor mimi? wewe ndio wa kufanyiwa favor, wewe ndiye bwana ake mshakuwa mwili mmoja sasa"
(Mapigo ya moyo yakajilesi nimesikia nilichosikia au ni masikio yangu tu)
BM: "Tushakuwa mwili mmoja? sijakuelewa una maanisha nini? au sijakusikia vizuri?"
Michelle: "Ebu niambie ukweli, wewe na Caryn ni wapenzi? isije ikawa umenihadithia hii story yako ya kulipishwa mzigo ili tu unipange ki saikolojia"
BM: "Aah jamani hatujafikia huko, Ukiachana na urafiki, mimi na Caryn ni mtu na Boss wake"
Michelle: "Ooh! Eti eeh, mtu na Boss wake wanawezaje kulala room moja"
Unajua nilipatwa na mshangao, hii Habari nyeti kama hii nani kavujisha? nilijiuliza lakini nikajua tu huyu atakuwa tu ni Caryn, sasa kama ni yeye kwanini amefanya hivyo akiwa na nia gani haswa?
Wakati naendelea kujiuliza Mzee pamoja na Mama wakawa wamerudi, Mzee akamuulizia Caryn akaambiwa yupo Chumbani kwake na muda wote huo tunapiga Story na Michelle Caryn hakutoka nje
Mzee: "Ebu kaniitie nina mazungumzo na nyie wote watatu"
Michelle akaenda kumuita Caryn, nikabaki na Mzee, nikicheki sura ya Mzee silioni tabasamu kabisa kitu kilichonishangaza zaidi nilimuona anatoa sigara kwenye mfuko wa koti halafu akatoka nje
Unajua tangu nimjue Mzee leo ndio namuona na sigara, nilikuwa sijui kama ni mvutaji, Michelle akarudi akiwa pamoja na Caryn
Michelle: "Huyu Mzee kaenda wapi tena?"
BM: "Kumbe Mzee huwa anavutaga sigara?"
Caryn na Michelle wakaangaliana kama vile kuna kitu wanahisi"
Caryn: "Something went wrong"
Michelle: "Yeah, ukimuona Mzee anaanza kupuliza hayo madude ujue kuna kitu"
Basi kila mtu akawa anahisi jambo lake lakini hakuna ambaye alikuwa anajua ni kitu gani hasa Mzee anataka kukiongea, Mzee akarudi kutoka Smoking zone
Na hii siku ndio nilijua kwamba hii nyumba huwa na smoking zone, Caryn anadai Mwaka unaweza kupita Mzee hajaenda smoking zone
Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake
Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"
BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"
Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"
Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"
Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"
Mzee; "Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."
Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha kama anataka kukaa vizuri, Mimi sikutikisa hata mguu, niseme tu kwamba KUMEKUCHA
Itaendelea
Mkuu asante sana. BarikiwaaIlipoishia
Ikabidi tu nimuelewa japokuwa anachokiongea kina make sense ila naona kama ana complicate sana mambo, tukaweka Kila kitu sawa Ilivyofika saa mbili kasoro tukarudi hotelini
Tukapiga msosi tukamaliza tukaelekea vyumbani, chumba changu hakipo mbali na chumba Cha Caryn, nilivyofika tu kwenye room yangu nikaingia bafuni kuoga, natoka bafuni namkuta amekaa kitandani nikajua tu huyu amekosa usingizi anataka tukeshe tukipiga story
BM: "Vip kwema?"
Caryn: "Itabidi tulale wote humu, mimi ugenini siwezagi kulala peke yangu"
MUENDELEZO
Episode 11 SEASON 2
Moyo uka vibrate kidogo ni kama nimesikia kitu ambacho sikutegemea kukisikia ila nikahisi kama nategwa kidizaini flani, mdomo ukawa mzito sijui nimruhusu au nimjibu kitu gani, alivyoona nimekuwa mzito kuongea akaendelea kuongea
Caryn: "Nipo Serious BM, mtu yeyote anayenijua vizuri analijua hili swala hata ukimuuliza Michelle"
BM: "Sawa hamna shida, mimi naweza kulala hata hapa chini kwenye Zuria"
Caryn: "Hapana, tunalala wote kitandani, ila nakuomba ukilala assume kama vile umelala na Mama yako mzazi sipo hapa kwaajili ya kukutega maana Akili za Wanaume nazijua"
BM: "Ivi upo serious kabisa kwamba huwezi kulala chumba Cha peke yako unataka tulale wote humu tena kitanda kimoja?"
Caryn: "Kwani kuna ubaya?...naomba nenda kule room kwangu kanichukulie Handbag yangu kuna sabuni nataka nikaoge"
Nikatoka kuelekea kwa room yake kumchukulia Handbag yake huku kichwani nikijiuliza maswali ya kutosha, kwamba huyu mtu kama ni kweli hawezagi kulala mwenyewe ugenini kwanini wakati tunalipia vyumba aliruhusu nilipie vyumba viwili badala ya kimoja?
Sikupata jibu la hilo swali nikahisi tu kuna kamchezo nachezewa, nilihisi Kimasihara imejileta yani stori ndani ya story kwamba hapa hapa ninaweza kupata Cha kuchangia kwenye Uzi wa Tunda na Masihara yake na Bado nikapata Content ya kunogesha Uzi huu wa kijana wa Buguruni
Kwa muda mfupi kichwa kiliwaza mambo mengi sana hicho ni kichwa Cha juu sasa, kichwa Cha chini nacho kilikuwa kimeshapata Notification kwamba muda wowote kuanzia sasa kunaweza kukanuka so be Attention
Lakini pia nikakumbuka wadau wa hapa hapa Jamii forum kwenye huu Uzi Season 1 kule episode ya mwisho kuna wadau walishauri kwamba nifanye yote lakini nisioneshe urijali kwa Caryn
Nikaona hapa nikiendelea kuwaza nini Cha kufanya sitopata jibu Cha msingi acha niache Universe iamue, nikachukua Handbag nikarudi kule room kwangu ambako nimemuacha Caryn
Caryn akatoa Sabuni akaingia bafuni kuoga, alivyomaliza akatoka akiwa ameshavaa Night dress akanikuta nimekaa kwenye kochi naangalia Tv
Caryn: "Hee! ndio kwanza unaangalia Tv? nikajua nitakukuta upo kitandani"
BM: "Kitandani? kwanini?"
Caryn: "Mizunguko yote Ile hujachoka tu? usie lala mapema, ivi kesho ndio imebaki Document moja eeh?"
BM: "Yeah, nataka ni-fight by saa 4 Asubuhi tuwe tumeondoka"
Caryn: "Kwahiyo kesho tunatoka hapa saa ngapi?"
BM: "Mapema tu kwenye saa 1 ivi, ili saa mbili itukutie maofisini....Sasa Cha kufanya wewe itabidi ukadili na mizigo tuliyoitoa Jana ipakiwe kwenye Boti huku mimi nikiendelea kutoa ambayo imebaki Airport"
Caryn: "Guinness Book itabidi waiandike hii, Mfanyakazi anampangia Boss Majukumu"
BM: "Madam, U Boss uliuacha pale Opposite na Rotana, umevuka Maji huu ni Utawala mwingine mbaya zaidi upo kwenye himaya yangu yani chumba changu"
Mazungumzo yalibase sasa katika mzaha japo nilikuwa namaanisha nilichokiongea, Caryn akavuta shuka mimi nikaganda kwenye Tv kama lisaa lizima
Ukiniuliza kwenye Tv nikikuwa naangalia Program gani najua basi nilikuwa nazuga kuusoma mchezo,
Kikubwa moyoni nilikuwa najiambia kwamba kama vitu vitatokea niache vitokee Automatically nisi force kwasababu huwezi jua inawezekana ni mtego sasa nikijimix nikaleta habari za kupapasana nitakuwa nimelichuma janga
Niseme usiku ulipita salama kabisa, huu usiku sitokuja kuusahau maana haijawahi kutokea katika maisha yangu, Asubuhi yake tuliamka fresh ila mimi ndio nilimuamsha Caryn, nilimuamsha mimi nikiwa nishapiga Maji na yeye akajiandaa tukatoka
Tukajigawa, Caryn alienda Bandarini kuweka kila kitu sawa mimi nikashughulika na Document chap then nikaenda Airport nikautoa mzigo chap kwa haraka sababu haukuwa mzigo mkubwa
Hatimaye tukavuka maji kurudi Dar es salaam, tukafika Bandari ya Dar tuka clear kila kitu tukaupeleka mzigo Ofisini, Kazi yangu ikawa imeishia hapo, nikampatia Storekeeper Parking list ya mizigo ya BATCH hii iliyoingia siku hiyo
Tulivyofikisha mzigo Caryn alienda Ofisini kwake moja kwa moja, muda huo ilikuwa kitu kama saa nane flani mchana nikawa najishauri kwenda kumuomba ruksa, Unajua kipindi kile Cha Utawala wa Bi Mkubwa nilikuwa nikifikisha mzigo tu nilikuwa nasepa zangu, Lakini si kwa huyu Binti ila nilijua kwa leo nitakubaliwa
Kweli nilivyoenda kumuomba akakubali ila yeye alisema atabaki hadi jioni japokuwa amechoka, Mimi nikajikataa nikaingia mtaani,
Siku zikapita wiki zikasonga nakumbuka ilikuwa November tarehe za katikati nikaja kupata nyumba maeneo flani kali sana zile nyumba ni vi Apartments flani hivi vipo sita zote zipo kwenye fence moja na kila nyumba ina vyumba viwili kimoja master halafu choo Cha ku share jiko na sitting room
Ile nyumba nilivyooneshwa tu nikalipia siku hiyo hiyo likabaki swala la kuhama tu, nilikaa kama wiki moja tangu nilipie rent ndio nikahamia kwenye makazi mapya
Kwenye makazi mapya nilihamia na kila Kitu changu kasoro Tv, Muziki na Makochi nilibadilisha, vitu vikakaa Mahali pake kasoro chumba Cha pili kilikosa kitanda maana mwanzo nilikokuwa nakaa ilikuwa One Bedroom nilikohamia ni Two Bedrooms so Budget haikuwa upande wangu kuniwezesha kununua kitanda kingine kwa muda huo
Nikajipa time ila Mpango ni kwamba nikishanunua kitanda nimchukue yule kijana wa mmoja wa Buguruni nikae nae maana nikisema nikae nao wote itakuwa uongo sababu wale wengine ni madogo sana kujihudumia vitu vingi hawawezi na mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri
Weekend ya kwanza nikiwa makao mapya nikapanga kwenda kwa Mzee maana nikitambo sijaenda na sijawahi kukaa muda mrefu kiasi hiki, Unajua tangu Ile safari ya Zanzibar niliyoenda na Caryn sijaenda kwao, ni karibia wiki 3 au mwezi + kama sikosei
Nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 13 November hii siku pia nakumbuka nilipost muendelezo wa story ambayo ilikuwa Episode ya pili SEASON 2
Basi mimi huyo mdogo mdogo hadi mjengoni kwa Mzee, Wakati naenda niliwasiliana na Mzee akaniambia anatoka mara moja na Bi Mkubwa so niende tu nitawakuta wakina Michelle
Basi nikafika Getini pale nikapita bila kupingwa mlinzi ni yule yule ananijua, Mlango wa nyumba akanifungulia Michelle
Michelle: "Wow! finally, it's been a while"
BM: "Sijakuzoea hivi sister Michelle"
Michelle: "Aje?"
BM: "Si hivyo vizungu mingi, Yai muachie Caryn mjukuu wa Malkia, kwanza yupo?"
Michelle: "Yeah, Boss wako yupo Upstairs "
BM: "U Boss kazini huko, yani Basi tu sina uwezo ila huyu ndugu yako huyu"
Michelle: "Kafanya nini tena jamani, mtu na rafiki yake mshatibuana"
BM: "Urafiki gani wa kukaziana kwenye kila kitu"
Michelle: "Kakufanyaje kwani?"
Nikaanza kumuelezea Michelle....turudi nyuma kidogo ili muelewe vizuri kitu alichonikwaza
Iko hivi mimi huwa naagiza mzigo China Accessories za magari na vitu vingine vya aina mbalimbali vikifika Bongo huwa nafanya Biashara
Baadhi ya vitu vyenyewe ni kama;
Electric toothbrush
Men USB chest bag
Tire Pressure Gauge
Body Renovate
Headlight repair
Car wheel hub reflecting
Crown Car driver license bag
Car air outlet perfume
Creative 3D glass craft metal keychain
Smart Car air compressor
Car Jump starter power bank
Air conditioner vent blinds
Phone holder wall Moun
Sasa mzigo ukatua Bongo, na mzigo wangu mimi ukifika huwa haupimwi kilo, utapimwa kilo ukiwa Bado upo china ndio unataka kupandishwa ndege, ila mizigo mingine inapimwa china na ikifika ofisini inapimwa tena ku confirm Kgs
Mzigo wangu huwa haupimwi mara mbili kwasababu siulipii, yani transport mimi ni Free of charge (hizo ni enzi za Mama Sasa)
Nikachukua mzigo wangu nikapita ofisini kwake ili nimuazime gari yake niukimbize mzigo maskani chapu
BM: "Boss lady nisaidie nafunguo nikimbie nyumbani mara moja, Leo sitakuchelewesha"
(Maana kuna siku nilichukua gari nikamchelewesha kama lisaa akanisusia gari nikaenda nalo nyumbani)
Caryn: "Yani uende nyumbani halafu urudi, sijakuelewa"
BM: "Yeah, naupeleka huu mzigo mara moja then narudi faster"
Caryn: "Aah! utanichelewesha BM, Leo request tu, huo mzigo ni wa nani kwani?"
BM: "Si wa kwangu naupeleka nyumbani, maana nikisema nisubiri jioni nipande nao. Daladala itakuwa uongo halafu mambo ya ku-request mimi sifagilii"
Caryn: "Ooh, so huo mzigo ni wa kwako...umelipiwa?"
BM: "Kulipia nini tena? Mzigo nimekuambia ni wangu"
Caryn: "Sawa sijakataa ni wa kwako, ndio nauliza umelipiwa?"
BM: "Okay haujalipiwa"
Caryn: "Sasa unaondokaje na mzigo wakati haujalipiwa, ebu nione Delivery note uliyoandikiwa"
BM: "Sina Delivery note"
Akanyanyua simu akampigia Storekeeper halafu akaitwa na Accountant, wakaja mule ofisini tukawa watu wa tatu yani mimi, Accountant, Storekeeper pamoja na Caryn akiwa wa nne
Caryn: "Accountant naomba nioneshe malipo ya ule mzigo pale mlangoni iwe ni Cash au Bank transfer, na Storekeeper nioneshe Delivery note ya huo mzigo"
Kwakifupi kwasababu mzigo sijulipia wote wawili Accountant na Storekeeper walikuwa hawana hivyo walivyoambiwa waoneshe
Delivery note ni karatasi ambayo inathibitisha kwamba mzigo ulikifa kwa mwenyewe huku ikionesha kiasi alicholipia pamoja na kilo za mzigo....Ila Accountant akajibu bila kupepesa macho
Accountant: "Ule mzigo haujalipiwa so sina pesa yake"
Caryn: "Kwanini haujalipiwa?
Accountant: "Mizigo ya BM huwa hailipiwi"
Caryn: "Kwanini isilipiwe, give me one and strong single reason kwanini mizigo yake hailipiwi"
Accountant: "Right question to the wrong person, Nadhani hili swali ungemuuliza aliyekuwa incharge wa hii Kampuni au muulize mwenyewe BM"
Caryn: "Okay, tufanye hailipii, wewe kijana naomba nioneshe Delivery note ya kuonesha kwamba BM amepokea mzigo wake"
Storekeeper: "Delivery note sijamuandikia kwasababu mzigo haujafanyiwa malipo"
Caryn: "Na mwenyewe unahisi upo sahihi kabisa kufanya hivyo, akikukana je kwamba hajachukua mzig"
Caryn: "Hawa wawili watakufanya uingie kwenye kosa, kama wanapeana mzigo bila ya kulipia wewe ulitakiwa kuuandikia Delivery note kuthibitisha kwamba mzigo umefika kwa muhusika"
Caryn: "Kaendeleeni na shughuli zenu, ila we naomba uniletee kitabu cha Delivery note"
Storekeeper akaambiwa alete kitabu cha Delivery note Accountant nae akaondoka nikabaki na Caryn, alivyoletewa kile kitabu cha Delivery note akamuambia Storekeeper akaupime ule mzigo wangu kwenye mzani
Kilo zikasoma 29 (29 KGs) Caryn akapiga hesabu ya dollar 12.5 kwa kila kilo, ikaja 833,730 kama hanijui Caryn akaniambia nitoe hiyo pesa ndio mzigo utoke
Nilimuangalia Caryn kama Dakika nzima hivi simmalizi, yeye ndio kwanza yupo busy na laptop
Caryn: "Aisee kama haulipii huu mzigo sema ili urudishwe stoo"
BM: "Urudishwe tu sina pesa sasa hivi ya kulipia mzigo"
Caryn: "Okay but huu mzigo usikae zaidi ya siku Saba huko stoo, ukipitisha ziku Saba za free utachajiwa gharama za stoo vile vile"
Turudi Leo sasa huku kwa Michelle
Michelle: "Unajua sio wewe tu, hata mimi mwenyewe niliagiza nywele akanilipisha, so ndivyo alivyo ni kumzoea tu"
BM: "Sawa sijakataa kulipia lakini usinicharge kama customers wengine, mimi natakiwa kufanyiwa favor, hata wewe pia"
Michelle: "Aahwe! Caryn anifanyie favor mimi? wewe ndio wa kufanyiwa favor, wewe ndiye bwana ake mshakuwa mwili mmoja sasa"
(Mapigo ya moyo yakajilesi nimesikia nilichosikia au ni masikio yangu tu)
BM: "Tushakuwa mwili mmoja? sijakuelewa una maanisha nini? au sijakusikia vizuri?"
Michelle: "Ebu niambie ukweli, wewe na Caryn ni wapenzi? isije ikawa umenihadithia hii story yako ya kulipishwa mzigo ili tu unipange ki saikolojia"
BM: "Aah jamani hatujafikia huko, Ukiachana na urafiki, mimi na Caryn ni mtu na Boss wake"
Michelle: "Ooh! Eti eeh, mtu na Boss wake wanawezaje kulala room moja"
Unajua nilipatwa na mshangao, hii Habari nyeti kama hii nani kavujisha? nilijiuliza lakini nikajua tu huyu atakuwa tu ni Caryn, sasa kama ni yeye kwanini amefanya hivyo akiwa na nia gani haswa?
Wakati naendelea kujiuliza Mzee pamoja na Mama wakawa wamerudi, Mzee akamuulizia Caryn akaambiwa yupo Chumbani kwake na muda wote huo tunapiga Story na Michelle Caryn hakutoka nje
Mzee: "Ebu kaniitie nina mazungumzo na nyie wote watatu"
Michelle akaenda kumuita Caryn, nikabaki na Mzee, nikicheki sura ya Mzee silioni tabasamu kabisa kitu kilichonishangaza zaidi nilimuona anatoa sigara kwenye mfuko wa koti halafu akatoka nje
Unajua tangu nimjue Mzee leo ndio namuona na sigara, nilikuwa sijui kama ni mvutaji, Michelle akarudi akiwa pamoja na Caryn
Michelle: "Huyu Mzee kaenda wapi tena?"
BM: "Kumbe Mzee huwa anavutaga sigara?"
Caryn na Michelle wakaangaliana kama vile kuna kitu wanahisi"
Caryn: "Something went wrong"
Michelle: "Yeah, ukimuona Mzee anaanza kupuliza hayo madude ujue kuna kitu"
Basi kila mtu akawa anahisi jambo lake lakini hakuna ambaye alikuwa anajua ni kitu gani hasa Mzee anataka kukiongea, Mzee akarudi kutoka Smoking zone
Na hii siku ndio nilijua kwamba hii nyumba huwa na smoking zone, Caryn anadai Mwaka unaweza kupita Mzee hajaenda smoking zone
Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake
Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"
BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"
Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"
Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"
Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"
Mzee; "Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."
Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha kama anataka kukaa vizuri, Mimi sikutikisa hata mguu, niseme tu kwamba KUMEKUCHA
Itaendelea
daah hukupiga na bado soo linakuandamaIlipoishia
Ikabidi tu nimuelewa japokuwa anachokiongea kina make sense ila naona kama ana complicate sana mambo, tukaweka Kila kitu sawa Ilivyofika saa mbili kasoro tukarudi hotelini
Tukapiga msosi tukamaliza tukaelekea vyumbani, chumba changu hakipo mbali na chumba Cha Caryn, nilivyofika tu kwenye room yangu nikaingia bafuni kuoga, natoka bafuni namkuta amekaa kitandani nikajua tu huyu amekosa usingizi anataka tukeshe tukipiga story
BM: "Vip kwema?"
Caryn: "Itabidi tulale wote humu, mimi ugenini siwezagi kulala peke yangu"
MUENDELEZO
Episode 11 SEASON 2
Moyo uka vibrate kidogo ni kama nimesikia kitu ambacho sikutegemea kukisikia ila nikahisi kama nategwa kidizaini flani, mdomo ukawa mzito sijui nimruhusu au nimjibu kitu gani, alivyoona nimekuwa mzito kuongea akaendelea kuongea
Caryn: "Nipo Serious BM, mtu yeyote anayenijua vizuri analijua hili swala hata ukimuuliza Michelle"
BM: "Sawa hamna shida, mimi naweza kulala hata hapa chini kwenye Zuria"
Caryn: "Hapana, tunalala wote kitandani, ila nakuomba ukilala assume kama vile umelala na Mama yako mzazi sipo hapa kwaajili ya kukutega maana Akili za Wanaume nazijua"
BM: "Ivi upo serious kabisa kwamba huwezi kulala chumba Cha peke yako unataka tulale wote humu tena kitanda kimoja?"
Caryn: "Kwani kuna ubaya?...naomba nenda kule room kwangu kanichukulie Handbag yangu kuna sabuni nataka nikaoge"
Nikatoka kuelekea kwa room yake kumchukulia Handbag yake huku kichwani nikijiuliza maswali ya kutosha, kwamba huyu mtu kama ni kweli hawezagi kulala mwenyewe ugenini kwanini wakati tunalipia vyumba aliruhusu nilipie vyumba viwili badala ya kimoja?
Sikupata jibu la hilo swali nikahisi tu kuna kamchezo nachezewa, nilihisi Kimasihara imejileta yani stori ndani ya story kwamba hapa hapa ninaweza kupata Cha kuchangia kwenye Uzi wa Tunda na Masihara yake na Bado nikapata Content ya kunogesha Uzi huu wa kijana wa Buguruni
Kwa muda mfupi kichwa kiliwaza mambo mengi sana hicho ni kichwa Cha juu sasa, kichwa Cha chini nacho kilikuwa kimeshapata Notification kwamba muda wowote kuanzia sasa kunaweza kukanuka so be Attention
Lakini pia nikakumbuka wadau wa hapa hapa Jamii forum kwenye huu Uzi Season 1 kule episode ya mwisho kuna wadau walishauri kwamba nifanye yote lakini nisioneshe urijali kwa Caryn
Nikaona hapa nikiendelea kuwaza nini Cha kufanya sitopata jibu Cha msingi acha niache Universe iamue, nikachukua Handbag nikarudi kule room kwangu ambako nimemuacha Caryn
Caryn akatoa Sabuni akaingia bafuni kuoga, alivyomaliza akatoka akiwa ameshavaa Night dress akanikuta nimekaa kwenye kochi naangalia Tv
Caryn: "Hee! ndio kwanza unaangalia Tv? nikajua nitakukuta upo kitandani"
BM: "Kitandani? kwanini?"
Caryn: "Mizunguko yote Ile hujachoka tu? usie lala mapema, ivi kesho ndio imebaki Document moja eeh?"
BM: "Yeah, nataka ni-fight by saa 4 Asubuhi tuwe tumeondoka"
Caryn: "Kwahiyo kesho tunatoka hapa saa ngapi?"
BM: "Mapema tu kwenye saa 1 ivi, ili saa mbili itukutie maofisini....Sasa Cha kufanya wewe itabidi ukadili na mizigo tuliyoitoa Jana ipakiwe kwenye Boti huku mimi nikiendelea kutoa ambayo imebaki Airport"
Caryn: "Guinness Book itabidi waiandike hii, Mfanyakazi anampangia Boss Majukumu"
BM: "Madam, U Boss uliuacha pale Opposite na Rotana, umevuka Maji huu ni Utawala mwingine mbaya zaidi upo kwenye himaya yangu yani chumba changu"
Mazungumzo yalibase sasa katika mzaha japo nilikuwa namaanisha nilichokiongea, Caryn akavuta shuka mimi nikaganda kwenye Tv kama lisaa lizima
Ukiniuliza kwenye Tv nikikuwa naangalia Program gani najua basi nilikuwa nazuga kuusoma mchezo,
Kikubwa moyoni nilikuwa najiambia kwamba kama vitu vitatokea niache vitokee Automatically nisi force kwasababu huwezi jua inawezekana ni mtego sasa nikijimix nikaleta habari za kupapasana nitakuwa nimelichuma janga
Niseme usiku ulipita salama kabisa, huu usiku sitokuja kuusahau maana haijawahi kutokea katika maisha yangu, Asubuhi yake tuliamka fresh ila mimi ndio nilimuamsha Caryn, nilimuamsha mimi nikiwa nishapiga Maji na yeye akajiandaa tukatoka
Tukajigawa, Caryn alienda Bandarini kuweka kila kitu sawa mimi nikashughulika na Document chap then nikaenda Airport nikautoa mzigo chap kwa haraka sababu haukuwa mzigo mkubwa
Hatimaye tukavuka maji kurudi Dar es salaam, tukafika Bandari ya Dar tuka clear kila kitu tukaupeleka mzigo Ofisini, Kazi yangu ikawa imeishia hapo, nikampatia Storekeeper Parking list ya mizigo ya BATCH hii iliyoingia siku hiyo
Tulivyofikisha mzigo Caryn alienda Ofisini kwake moja kwa moja, muda huo ilikuwa kitu kama saa nane flani mchana nikawa najishauri kwenda kumuomba ruksa, Unajua kipindi kile Cha Utawala wa Bi Mkubwa nilikuwa nikifikisha mzigo tu nilikuwa nasepa zangu, Lakini si kwa huyu Binti ila nilijua kwa leo nitakubaliwa
Kweli nilivyoenda kumuomba akakubali ila yeye alisema atabaki hadi jioni japokuwa amechoka, Mimi nikajikataa nikaingia mtaani,
Siku zikapita wiki zikasonga nakumbuka ilikuwa November tarehe za katikati nikaja kupata nyumba maeneo flani kali sana zile nyumba ni vi Apartments flani hivi vipo sita zote zipo kwenye fence moja na kila nyumba ina vyumba viwili kimoja master halafu choo Cha ku share jiko na sitting room
Ile nyumba nilivyooneshwa tu nikalipia siku hiyo hiyo likabaki swala la kuhama tu, nilikaa kama wiki moja tangu nilipie rent ndio nikahamia kwenye makazi mapya
Kwenye makazi mapya nilihamia na kila Kitu changu kasoro Tv, Muziki na Makochi nilibadilisha, vitu vikakaa Mahali pake kasoro chumba Cha pili kilikosa kitanda maana mwanzo nilikokuwa nakaa ilikuwa One Bedroom nilikohamia ni Two Bedrooms so Budget haikuwa upande wangu kuniwezesha kununua kitanda kingine kwa muda huo
Nikajipa time ila Mpango ni kwamba nikishanunua kitanda nimchukue yule kijana wa mmoja wa Buguruni nikae nae maana nikisema nikae nao wote itakuwa uongo sababu wale wengine ni madogo sana kujihudumia vitu vingi hawawezi na mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri
Weekend ya kwanza nikiwa makao mapya nikapanga kwenda kwa Mzee maana nikitambo sijaenda na sijawahi kukaa muda mrefu kiasi hiki, Unajua tangu Ile safari ya Zanzibar niliyoenda na Caryn sijaenda kwao, ni karibia wiki 3 au mwezi + kama sikosei
Nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 13 November hii siku pia nakumbuka nilipost muendelezo wa story ambayo ilikuwa Episode ya pili SEASON 2
Basi mimi huyo mdogo mdogo hadi mjengoni kwa Mzee, Wakati naenda niliwasiliana na Mzee akaniambia anatoka mara moja na Bi Mkubwa so niende tu nitawakuta wakina Michelle
Basi nikafika Getini pale nikapita bila kupingwa mlinzi ni yule yule ananijua, Mlango wa nyumba akanifungulia Michelle
Michelle: "Wow! finally, it's been a while"
BM: "Sijakuzoea hivi sister Michelle"
Michelle: "Aje?"
BM: "Si hivyo vizungu mingi, Yai muachie Caryn mjukuu wa Malkia, kwanza yupo?"
Michelle: "Yeah, Boss wako yupo Upstairs "
BM: "U Boss kazini huko, yani Basi tu sina uwezo ila huyu ndugu yako huyu"
Michelle: "Kafanya nini tena jamani, mtu na rafiki yake mshatibuana"
BM: "Urafiki gani wa kukaziana kwenye kila kitu"
Michelle: "Kakufanyaje kwani?"
Nikaanza kumuelezea Michelle....turudi nyuma kidogo ili muelewe vizuri kitu alichonikwaza
Iko hivi mimi huwa naagiza mzigo China Accessories za magari na vitu vingine vya aina mbalimbali vikifika Bongo huwa nafanya Biashara
Baadhi ya vitu vyenyewe ni kama;
Electric toothbrush
Men USB chest bag
Tire Pressure Gauge
Body Renovate
Headlight repair
Car wheel hub reflecting
Crown Car driver license bag
Car air outlet perfume
Creative 3D glass craft metal keychain
Smart Car air compressor
Car Jump starter power bank
Air conditioner vent blinds
Phone holder wall Moun
Sasa mzigo ukatua Bongo, na mzigo wangu mimi ukifika huwa haupimwi kilo, utapimwa kilo ukiwa Bado upo china ndio unataka kupandishwa ndege, ila mizigo mingine inapimwa china na ikifika ofisini inapimwa tena ku confirm Kgs
Mzigo wangu huwa haupimwi mara mbili kwasababu siulipii, yani transport mimi ni Free of charge (hizo ni enzi za Mama Sasa)
Nikachukua mzigo wangu nikapita ofisini kwake ili nimuazime gari yake niukimbize mzigo maskani chapu
BM: "Boss lady nisaidie nafunguo nikimbie nyumbani mara moja, Leo sitakuchelewesha"
(Maana kuna siku nilichukua gari nikamchelewesha kama lisaa akanisusia gari nikaenda nalo nyumbani)
Caryn: "Yani uende nyumbani halafu urudi, sijakuelewa"
BM: "Yeah, naupeleka huu mzigo mara moja then narudi faster"
Caryn: "Aah! utanichelewesha BM, Leo request tu, huo mzigo ni wa nani kwani?"
BM: "Si wa kwangu naupeleka nyumbani, maana nikisema nisubiri jioni nipande nao. Daladala itakuwa uongo halafu mambo ya ku-request mimi sifagilii"
Caryn: "Ooh, so huo mzigo ni wa kwako...umelipiwa?"
BM: "Kulipia nini tena? Mzigo nimekuambia ni wangu"
Caryn: "Sawa sijakataa ni wa kwako, ndio nauliza umelipiwa?"
BM: "Okay haujalipiwa"
Caryn: "Sasa unaondokaje na mzigo wakati haujalipiwa, ebu nione Delivery note uliyoandikiwa"
BM: "Sina Delivery note"
Akanyanyua simu akampigia Storekeeper halafu akaitwa na Accountant, wakaja mule ofisini tukawa watu wa tatu yani mimi, Accountant, Storekeeper pamoja na Caryn akiwa wa nne
Caryn: "Accountant naomba nioneshe malipo ya ule mzigo pale mlangoni iwe ni Cash au Bank transfer, na Storekeeper nioneshe Delivery note ya huo mzigo"
Kwakifupi kwasababu mzigo sijulipia wote wawili Accountant na Storekeeper walikuwa hawana hivyo walivyoambiwa waoneshe
Delivery note ni karatasi ambayo inathibitisha kwamba mzigo ulikifa kwa mwenyewe huku ikionesha kiasi alicholipia pamoja na kilo za mzigo....Ila Accountant akajibu bila kupepesa macho
Accountant: "Ule mzigo haujalipiwa so sina pesa yake"
Caryn: "Kwanini haujalipiwa?
Accountant: "Mizigo ya BM huwa hailipiwi"
Caryn: "Kwanini isilipiwe, give me one and strong single reason kwanini mizigo yake hailipiwi"
Accountant: "Right question to the wrong person, Nadhani hili swali ungemuuliza aliyekuwa incharge wa hii Kampuni au muulize mwenyewe BM"
Caryn: "Okay, tufanye hailipii, wewe kijana naomba nioneshe Delivery note ya kuonesha kwamba BM amepokea mzigo wake"
Storekeeper: "Delivery note sijamuandikia kwasababu mzigo haujafanyiwa malipo"
Caryn: "Na mwenyewe unahisi upo sahihi kabisa kufanya hivyo, akikukana je kwamba hajachukua mzig"
Caryn: "Hawa wawili watakufanya uingie kwenye kosa, kama wanapeana mzigo bila ya kulipia wewe ulitakiwa kuuandikia Delivery note kuthibitisha kwamba mzigo umefika kwa muhusika"
Caryn: "Kaendeleeni na shughuli zenu, ila we naomba uniletee kitabu cha Delivery note"
Storekeeper akaambiwa alete kitabu cha Delivery note Accountant nae akaondoka nikabaki na Caryn, alivyoletewa kile kitabu cha Delivery note akamuambia Storekeeper akaupime ule mzigo wangu kwenye mzani
Kilo zikasoma 29 (29 KGs) Caryn akapiga hesabu ya dollar 12.5 kwa kila kilo, ikaja 833,730 kama hanijui Caryn akaniambia nitoe hiyo pesa ndio mzigo utoke
Nilimuangalia Caryn kama Dakika nzima hivi simmalizi, yeye ndio kwanza yupo busy na laptop
Caryn: "Aisee kama haulipii huu mzigo sema ili urudishwe stoo"
BM: "Urudishwe tu sina pesa sasa hivi ya kulipia mzigo"
Caryn: "Okay but huu mzigo usikae zaidi ya siku Saba huko stoo, ukipitisha ziku Saba za free utachajiwa gharama za stoo vile vile"
Turudi Leo sasa huku kwa Michelle
Michelle: "Unajua sio wewe tu, hata mimi mwenyewe niliagiza nywele akanilipisha, so ndivyo alivyo ni kumzoea tu"
BM: "Sawa sijakataa kulipia lakini usinicharge kama customers wengine, mimi natakiwa kufanyiwa favor, hata wewe pia"
Michelle: "Aahwe! Caryn anifanyie favor mimi? wewe ndio wa kufanyiwa favor, wewe ndiye bwana ake mshakuwa mwili mmoja sasa"
(Mapigo ya moyo yakajilesi nimesikia nilichosikia au ni masikio yangu tu)
BM: "Tushakuwa mwili mmoja? sijakuelewa una maanisha nini? au sijakusikia vizuri?"
Michelle: "Ebu niambie ukweli, wewe na Caryn ni wapenzi? isije ikawa umenihadithia hii story yako ya kulipishwa mzigo ili tu unipange ki saikolojia"
BM: "Aah jamani hatujafikia huko, Ukiachana na urafiki, mimi na Caryn ni mtu na Boss wake"
Michelle: "Ooh! Eti eeh, mtu na Boss wake wanawezaje kulala room moja"
Unajua nilipatwa na mshangao, hii Habari nyeti kama hii nani kavujisha? nilijiuliza lakini nikajua tu huyu atakuwa tu ni Caryn, sasa kama ni yeye kwanini amefanya hivyo akiwa na nia gani haswa?
Wakati naendelea kujiuliza Mzee pamoja na Mama wakawa wamerudi, Mzee akamuulizia Caryn akaambiwa yupo Chumbani kwake na muda wote huo tunapiga Story na Michelle Caryn hakutoka nje
Mzee: "Ebu kaniitie nina mazungumzo na nyie wote watatu"
Michelle akaenda kumuita Caryn, nikabaki na Mzee, nikicheki sura ya Mzee silioni tabasamu kabisa kitu kilichonishangaza zaidi nilimuona anatoa sigara kwenye mfuko wa koti halafu akatoka nje
Unajua tangu nimjue Mzee leo ndio namuona na sigara, nilikuwa sijui kama ni mvutaji, Michelle akarudi akiwa pamoja na Caryn
Michelle: "Huyu Mzee kaenda wapi tena?"
BM: "Kumbe Mzee huwa anavutaga sigara?"
Caryn na Michelle wakaangaliana kama vile kuna kitu wanahisi"
Caryn: "Something went wrong"
Michelle: "Yeah, ukimuona Mzee anaanza kupuliza hayo madude ujue kuna kitu"
Basi kila mtu akawa anahisi jambo lake lakini hakuna ambaye alikuwa anajua ni kitu gani hasa Mzee anataka kukiongea, Mzee akarudi kutoka Smoking zone
Na hii siku ndio nilijua kwamba hii nyumba huwa na smoking zone, Caryn anadai Mwaka unaweza kupita Mzee hajaenda smoking zone
Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake
Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"
BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"
Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"
Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"
Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"
Mzee; "Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."
Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha kama anataka kukaa vizuri, Mimi sikutikisa hata mguu, niseme tu kwamba KUMEKUCHA
Itaendelea
AiseeeIlipoishia
Ikabidi tu nimuelewa japokuwa anachokiongea kina make sense ila naona kama ana complicate sana mambo, tukaweka Kila kitu sawa Ilivyofika saa mbili kasoro tukarudi hotelini
Tukapiga msosi tukamaliza tukaelekea vyumbani, chumba changu hakipo mbali na chumba Cha Caryn, nilivyofika tu kwenye room yangu nikaingia bafuni kuoga, natoka bafuni namkuta amekaa kitandani nikajua tu huyu amekosa usingizi anataka tukeshe tukipiga story
BM: "Vip kwema?"
Caryn: "Itabidi tulale wote humu, mimi ugenini siwezagi kulala peke yangu"
MUENDELEZO
Episode 11 SEASON 2
Moyo uka vibrate kidogo ni kama nimesikia kitu ambacho sikutegemea kukisikia ila nikahisi kama nategwa kidizaini flani, mdomo ukawa mzito sijui nimruhusu au nimjibu kitu gani, alivyoona nimekuwa mzito kuongea akaendelea kuongea
Caryn: "Nipo Serious BM, mtu yeyote anayenijua vizuri analijua hili swala hata ukimuuliza Michelle"
BM: "Sawa hamna shida, mimi naweza kulala hata hapa chini kwenye Zuria"
Caryn: "Hapana, tunalala wote kitandani, ila nakuomba ukilala assume kama vile umelala na Mama yako mzazi sipo hapa kwaajili ya kukutega maana Akili za Wanaume nazijua"
BM: "Ivi upo serious kabisa kwamba huwezi kulala chumba Cha peke yako unataka tulale wote humu tena kitanda kimoja?"
Caryn: "Kwani kuna ubaya?...naomba nenda kule room kwangu kanichukulie Handbag yangu kuna sabuni nataka nikaoge"
Nikatoka kuelekea kwa room yake kumchukulia Handbag yake huku kichwani nikijiuliza maswali ya kutosha, kwamba huyu mtu kama ni kweli hawezagi kulala mwenyewe ugenini kwanini wakati tunalipia vyumba aliruhusu nilipie vyumba viwili badala ya kimoja?
Sikupata jibu la hilo swali nikahisi tu kuna kamchezo nachezewa, nilihisi Kimasihara imejileta yani stori ndani ya story kwamba hapa hapa ninaweza kupata Cha kuchangia kwenye Uzi wa Tunda na Masihara yake na Bado nikapata Content ya kunogesha Uzi huu wa kijana wa Buguruni
Kwa muda mfupi kichwa kiliwaza mambo mengi sana hicho ni kichwa Cha juu sasa, kichwa Cha chini nacho kilikuwa kimeshapata Notification kwamba muda wowote kuanzia sasa kunaweza kukanuka so be Attention
Lakini pia nikakumbuka wadau wa hapa hapa Jamii forum kwenye huu Uzi Season 1 kule episode ya mwisho kuna wadau walishauri kwamba nifanye yote lakini nisioneshe urijali kwa Caryn
Nikaona hapa nikiendelea kuwaza nini Cha kufanya sitopata jibu Cha msingi acha niache Universe iamue, nikachukua Handbag nikarudi kule room kwangu ambako nimemuacha Caryn
Caryn akatoa Sabuni akaingia bafuni kuoga, alivyomaliza akatoka akiwa ameshavaa Night dress akanikuta nimekaa kwenye kochi naangalia Tv
Caryn: "Hee! ndio kwanza unaangalia Tv? nikajua nitakukuta upo kitandani"
BM: "Kitandani? kwanini?"
Caryn: "Mizunguko yote Ile hujachoka tu? usie lala mapema, ivi kesho ndio imebaki Document moja eeh?"
BM: "Yeah, nataka ni-fight by saa 4 Asubuhi tuwe tumeondoka"
Caryn: "Kwahiyo kesho tunatoka hapa saa ngapi?"
BM: "Mapema tu kwenye saa 1 ivi, ili saa mbili itukutie maofisini....Sasa Cha kufanya wewe itabidi ukadili na mizigo tuliyoitoa Jana ipakiwe kwenye Boti huku mimi nikiendelea kutoa ambayo imebaki Airport"
Caryn: "Guinness Book itabidi waiandike hii, Mfanyakazi anampangia Boss Majukumu"
BM: "Madam, U Boss uliuacha pale Opposite na Rotana, umevuka Maji huu ni Utawala mwingine mbaya zaidi upo kwenye himaya yangu yani chumba changu"
Mazungumzo yalibase sasa katika mzaha japo nilikuwa namaanisha nilichokiongea, Caryn akavuta shuka mimi nikaganda kwenye Tv kama lisaa lizima
Ukiniuliza kwenye Tv nikikuwa naangalia Program gani najua basi nilikuwa nazuga kuusoma mchezo,
Kikubwa moyoni nilikuwa najiambia kwamba kama vitu vitatokea niache vitokee Automatically nisi force kwasababu huwezi jua inawezekana ni mtego sasa nikijimix nikaleta habari za kupapasana nitakuwa nimelichuma janga
Niseme usiku ulipita salama kabisa, huu usiku sitokuja kuusahau maana haijawahi kutokea katika maisha yangu, Asubuhi yake tuliamka fresh ila mimi ndio nilimuamsha Caryn, nilimuamsha mimi nikiwa nishapiga Maji na yeye akajiandaa tukatoka
Tukajigawa, Caryn alienda Bandarini kuweka kila kitu sawa mimi nikashughulika na Document chap then nikaenda Airport nikautoa mzigo chap kwa haraka sababu haukuwa mzigo mkubwa
Hatimaye tukavuka maji kurudi Dar es salaam, tukafika Bandari ya Dar tuka clear kila kitu tukaupeleka mzigo Ofisini, Kazi yangu ikawa imeishia hapo, nikampatia Storekeeper Parking list ya mizigo ya BATCH hii iliyoingia siku hiyo
Tulivyofikisha mzigo Caryn alienda Ofisini kwake moja kwa moja, muda huo ilikuwa kitu kama saa nane flani mchana nikawa najishauri kwenda kumuomba ruksa, Unajua kipindi kile Cha Utawala wa Bi Mkubwa nilikuwa nikifikisha mzigo tu nilikuwa nasepa zangu, Lakini si kwa huyu Binti ila nilijua kwa leo nitakubaliwa
Kweli nilivyoenda kumuomba akakubali ila yeye alisema atabaki hadi jioni japokuwa amechoka, Mimi nikajikataa nikaingia mtaani,
Siku zikapita wiki zikasonga nakumbuka ilikuwa November tarehe za katikati nikaja kupata nyumba maeneo flani kali sana zile nyumba ni vi Apartments flani hivi vipo sita zote zipo kwenye fence moja na kila nyumba ina vyumba viwili kimoja master halafu choo Cha ku share jiko na sitting room
Ile nyumba nilivyooneshwa tu nikalipia siku hiyo hiyo likabaki swala la kuhama tu, nilikaa kama wiki moja tangu nilipie rent ndio nikahamia kwenye makazi mapya
Kwenye makazi mapya nilihamia na kila Kitu changu kasoro Tv, Muziki na Makochi nilibadilisha, vitu vikakaa Mahali pake kasoro chumba Cha pili kilikosa kitanda maana mwanzo nilikokuwa nakaa ilikuwa One Bedroom nilikohamia ni Two Bedrooms so Budget haikuwa upande wangu kuniwezesha kununua kitanda kingine kwa muda huo
Nikajipa time ila Mpango ni kwamba nikishanunua kitanda nimchukue yule kijana wa mmoja wa Buguruni nikae nae maana nikisema nikae nao wote itakuwa uongo sababu wale wengine ni madogo sana kujihudumia vitu vingi hawawezi na mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri
Weekend ya kwanza nikiwa makao mapya nikapanga kwenda kwa Mzee maana nikitambo sijaenda na sijawahi kukaa muda mrefu kiasi hiki, Unajua tangu Ile safari ya Zanzibar niliyoenda na Caryn sijaenda kwao, ni karibia wiki 3 au mwezi + kama sikosei
Nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 13 November hii siku pia nakumbuka nilipost muendelezo wa story ambayo ilikuwa Episode ya pili SEASON 2
Basi mimi huyo mdogo mdogo hadi mjengoni kwa Mzee, Wakati naenda niliwasiliana na Mzee akaniambia anatoka mara moja na Bi Mkubwa so niende tu nitawakuta wakina Michelle
Basi nikafika Getini pale nikapita bila kupingwa mlinzi ni yule yule ananijua, Mlango wa nyumba akanifungulia Michelle
Michelle: "Wow! finally, it's been a while"
BM: "Sijakuzoea hivi sister Michelle"
Michelle: "Aje?"
BM: "Si hivyo vizungu mingi, Yai muachie Caryn mjukuu wa Malkia, kwanza yupo?"
Michelle: "Yeah, Boss wako yupo Upstairs "
BM: "U Boss kazini huko, yani Basi tu sina uwezo ila huyu ndugu yako huyu"
Michelle: "Kafanya nini tena jamani, mtu na rafiki yake mshatibuana"
BM: "Urafiki gani wa kukaziana kwenye kila kitu"
Michelle: "Kakufanyaje kwani?"
Nikaanza kumuelezea Michelle....turudi nyuma kidogo ili muelewe vizuri kitu alichonikwaza
Iko hivi mimi huwa naagiza mzigo China Accessories za magari na vitu vingine vya aina mbalimbali vikifika Bongo huwa nafanya Biashara
Baadhi ya vitu vyenyewe ni kama;
Electric toothbrush
Men USB chest bag
Tire Pressure Gauge
Body Renovate
Headlight repair
Car wheel hub reflecting
Crown Car driver license bag
Car air outlet perfume
Creative 3D glass craft metal keychain
Smart Car air compressor
Car Jump starter power bank
Air conditioner vent blinds
Phone holder wall Moun
Sasa mzigo ukatua Bongo, na mzigo wangu mimi ukifika huwa haupimwi kilo, utapimwa kilo ukiwa Bado upo china ndio unataka kupandishwa ndege, ila mizigo mingine inapimwa china na ikifika ofisini inapimwa tena ku confirm Kgs
Mzigo wangu huwa haupimwi mara mbili kwasababu siulipii, yani transport mimi ni Free of charge (hizo ni enzi za Mama Sasa)
Nikachukua mzigo wangu nikapita ofisini kwake ili nimuazime gari yake niukimbize mzigo maskani chapu
BM: "Boss lady nisaidie nafunguo nikimbie nyumbani mara moja, Leo sitakuchelewesha"
(Maana kuna siku nilichukua gari nikamchelewesha kama lisaa akanisusia gari nikaenda nalo nyumbani)
Caryn: "Yani uende nyumbani halafu urudi, sijakuelewa"
BM: "Yeah, naupeleka huu mzigo mara moja then narudi faster"
Caryn: "Aah! utanichelewesha BM, Leo request tu, huo mzigo ni wa nani kwani?"
BM: "Si wa kwangu naupeleka nyumbani, maana nikisema nisubiri jioni nipande nao. Daladala itakuwa uongo halafu mambo ya ku-request mimi sifagilii"
Caryn: "Ooh, so huo mzigo ni wa kwako...umelipiwa?"
BM: "Kulipia nini tena? Mzigo nimekuambia ni wangu"
Caryn: "Sawa sijakataa ni wa kwako, ndio nauliza umelipiwa?"
BM: "Okay haujalipiwa"
Caryn: "Sasa unaondokaje na mzigo wakati haujalipiwa, ebu nione Delivery note uliyoandikiwa"
BM: "Sina Delivery note"
Akanyanyua simu akampigia Storekeeper halafu akaitwa na Accountant, wakaja mule ofisini tukawa watu wa tatu yani mimi, Accountant, Storekeeper pamoja na Caryn akiwa wa nne
Caryn: "Accountant naomba nioneshe malipo ya ule mzigo pale mlangoni iwe ni Cash au Bank transfer, na Storekeeper nioneshe Delivery note ya huo mzigo"
Kwakifupi kwasababu mzigo sijulipia wote wawili Accountant na Storekeeper walikuwa hawana hivyo walivyoambiwa waoneshe
Delivery note ni karatasi ambayo inathibitisha kwamba mzigo ulikifa kwa mwenyewe huku ikionesha kiasi alicholipia pamoja na kilo za mzigo....Ila Accountant akajibu bila kupepesa macho
Accountant: "Ule mzigo haujalipiwa so sina pesa yake"
Caryn: "Kwanini haujalipiwa?
Accountant: "Mizigo ya BM huwa hailipiwi"
Caryn: "Kwanini isilipiwe, give me one and strong single reason kwanini mizigo yake hailipiwi"
Accountant: "Right question to the wrong person, Nadhani hili swali ungemuuliza aliyekuwa incharge wa hii Kampuni au muulize mwenyewe BM"
Caryn: "Okay, tufanye hailipii, wewe kijana naomba nioneshe Delivery note ya kuonesha kwamba BM amepokea mzigo wake"
Storekeeper: "Delivery note sijamuandikia kwasababu mzigo haujafanyiwa malipo"
Caryn: "Na mwenyewe unahisi upo sahihi kabisa kufanya hivyo, akikukana je kwamba hajachukua mzig"
Caryn: "Hawa wawili watakufanya uingie kwenye kosa, kama wanapeana mzigo bila ya kulipia wewe ulitakiwa kuuandikia Delivery note kuthibitisha kwamba mzigo umefika kwa muhusika"
Caryn: "Kaendeleeni na shughuli zenu, ila we naomba uniletee kitabu cha Delivery note"
Storekeeper akaambiwa alete kitabu cha Delivery note Accountant nae akaondoka nikabaki na Caryn, alivyoletewa kile kitabu cha Delivery note akamuambia Storekeeper akaupime ule mzigo wangu kwenye mzani
Kilo zikasoma 29 (29 KGs) Caryn akapiga hesabu ya dollar 12.5 kwa kila kilo, ikaja 833,730 kama hanijui Caryn akaniambia nitoe hiyo pesa ndio mzigo utoke
Nilimuangalia Caryn kama Dakika nzima hivi simmalizi, yeye ndio kwanza yupo busy na laptop
Caryn: "Aisee kama haulipii huu mzigo sema ili urudishwe stoo"
BM: "Urudishwe tu sina pesa sasa hivi ya kulipia mzigo"
Caryn: "Okay but huu mzigo usikae zaidi ya siku Saba huko stoo, ukipitisha ziku Saba za free utachajiwa gharama za stoo vile vile"
Turudi Leo sasa huku kwa Michelle
Michelle: "Unajua sio wewe tu, hata mimi mwenyewe niliagiza nywele akanilipisha, so ndivyo alivyo ni kumzoea tu"
BM: "Sawa sijakataa kulipia lakini usinicharge kama customers wengine, mimi natakiwa kufanyiwa favor, hata wewe pia"
Michelle: "Aahwe! Caryn anifanyie favor mimi? wewe ndio wa kufanyiwa favor, wewe ndiye bwana ake mshakuwa mwili mmoja sasa"
(Mapigo ya moyo yakajilesi nimesikia nilichosikia au ni masikio yangu tu)
BM: "Tushakuwa mwili mmoja? sijakuelewa una maanisha nini? au sijakusikia vizuri?"
Michelle: "Ebu niambie ukweli, wewe na Caryn ni wapenzi? isije ikawa umenihadithia hii story yako ya kulipishwa mzigo ili tu unipange ki saikolojia"
BM: "Aah jamani hatujafikia huko, Ukiachana na urafiki, mimi na Caryn ni mtu na Boss wake"
Michelle: "Ooh! Eti eeh, mtu na Boss wake wanawezaje kulala room moja"
Unajua nilipatwa na mshangao, hii Habari nyeti kama hii nani kavujisha? nilijiuliza lakini nikajua tu huyu atakuwa tu ni Caryn, sasa kama ni yeye kwanini amefanya hivyo akiwa na nia gani haswa?
Wakati naendelea kujiuliza Mzee pamoja na Mama wakawa wamerudi, Mzee akamuulizia Caryn akaambiwa yupo Chumbani kwake na muda wote huo tunapiga Story na Michelle Caryn hakutoka nje
Mzee: "Ebu kaniitie nina mazungumzo na nyie wote watatu"
Michelle akaenda kumuita Caryn, nikabaki na Mzee, nikicheki sura ya Mzee silioni tabasamu kabisa kitu kilichonishangaza zaidi nilimuona anatoa sigara kwenye mfuko wa koti halafu akatoka nje
Unajua tangu nimjue Mzee leo ndio namuona na sigara, nilikuwa sijui kama ni mvutaji, Michelle akarudi akiwa pamoja na Caryn
Michelle: "Huyu Mzee kaenda wapi tena?"
BM: "Kumbe Mzee huwa anavutaga sigara?"
Caryn na Michelle wakaangaliana kama vile kuna kitu wanahisi"
Caryn: "Something went wrong"
Michelle: "Yeah, ukimuona Mzee anaanza kupuliza hayo madude ujue kuna kitu"
Basi kila mtu akawa anahisi jambo lake lakini hakuna ambaye alikuwa anajua ni kitu gani hasa Mzee anataka kukiongea, Mzee akarudi kutoka Smoking zone
Na hii siku ndio nilijua kwamba hii nyumba huwa na smoking zone, Caryn anadai Mwaka unaweza kupita Mzee hajaenda smoking zone
Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake
Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"
BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"
Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"
Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"
Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"
Mzee; "Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."
Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha kama anataka kukaa vizuri, Mimi sikutikisa hata mguu, niseme tu kwamba KUMEKUCHA
Itaendelea
Hapa ndio palinichanganya, unaulizwa juu ya kuacha kazi Ila, hukuwahi kueleza kama umeacha kazi bali uko likizo.SEASON 2 EPISODE 1
Saturday, September 3, Nimeamka late nakutana na missed calls 2 za Caryn kitu ambacho sio kawaida, Caryn akipiga simu mara moja hujapokea ndio imetoka hiyo harudii tena kama ni muhimu sana ndio atarudia kwa mara ya pili, mwenyewe anakuambia Two missed calls it is enough. This generation we don't miss calls, we ignore them
Nikam call back lakini hakupokea badala yake akanitex "15:45 Arrival time" ndio nikakumbuka kumbe leo ndio Ile siku
Hapa itabidi nizuge kwanza at least nipangilie mambo yangu ili nitakapoonana na Mzee mambo yote yawe sawa, lakini kusema eti leo ndio niende Airport ni uongo,
Wiki inaelekea kukata bado sijaonana na Mzee, Jumamosi jioni nakumbuka nilikuwa na mshkaji wangu maeneo ya 'Kitambaa Cheupe' Kinondoni tumechill tu jamaa anapata kamnyweso Mimi na Grand malt zangu, simu Iko mfukoni naskia Ina vibrate kuitoa naona namba ya Mzee, Nikapata ganzi kuipokea ila kwa kujilazimisha nikasogea pembeni kupokea Ile simu
BM: [emoji338]"Shikamoo Mzee"
Mzee: "Marhaba, Hujambo?"
BM: "Mimi mzima kabisa, za nyumbani"
Mzee: "Sisi tuko sawa, ni wewe ndio umetukimbia"
BM: "Hapana Mzee, ni pilikapilika tu za hapa na pale"
Mzee: "Sasa nilikuwa nakuhitaji siku ya kesho jioni nyumbani, ni muhimu sana"
BM: "Sawa Mzee, nitafika bila shaka"[emoji3513]
Namaliza kuongea na simu nikarudi nilipokuwa nimekaa na mshkaji, jamaa ananiuliza "vipi mbona kinyonge?"
BM: "Hii simu niliyopokea unajua ni ya Mzee"
Mshkaji: "Mzee gani tena?"
BM: "Si Baba yake na Caryn"
Mshkaji: "Ooh! kumbe Mshua mwenyewe, father anasemaje?"
BM: "Anasema kesho nionane nae, ni muhimu sana"
Mshkaji: "Hivyo tu?"
BM: "Ndio"
Mshkaji: "Sasa kitu gani kinakutia hofu hapo?"
BM: "Unaniuliza tena Wakati unajua mchoro mzima"
Mshkaji: "Kama ni issue Ile uliyonielezea hakuna Cha kukutia hofu hapo, kwani umeiba Cha mtu? kwanza ni haki yako ya kimsingi, ila Ulichokosea wewe yule manzi (Caryn) umemuamini sana Yani umemuelezea mambo mengine ambayo hata hukupaswa kumueleza"
BM: "Dah! ila kweli asee, sijui ilikuaje hadi nikajiachia kiasi kile"
Mshkaji: "Unajua mtu akishajua madhaifu yako ni rahisi kukumaliza, yeye ndio amekufanya uache kazi basi alitakiwa akupe hata Ile kazi ya kuzisimamia zile nyumba za kule, yeye kaenda kumpa shavu mtu mwingine kabisa huku akijua wewe huna mishe, Sasa unataka kunambia Nia yake ilikuwa nzuri?"
Mshkaji: "Sasa acha Mimi nikushauri kwa mara nyingine tena, ukiamua kuubeba huu ushauri ni sawa ukiuacha ni sawa vile vile...kivyovyote vile huo Mzee atataka kujua kwanini umeacha kazi, Sasa ili umjibu hili swali vizuri huyu manzi wako (Caryn) Hutakiwi kumtaja, we tafuta sababu zozote ziwe za ukweli au uongo ila huyo manzi usimtaje kabisa"
Mshkaji aliendelea kunipa ushauri ambao anaona unafaa japo ni mara chache sana kufuatisha ushauri wake, mara nyingi mchizi huwa ananipa ushauri then nuacha kama ulivyo, basi tulimalizia na story za hapa na pale nikagonga msosi kabisa nikasepa nilivyofika home nikapiga Maji nikalala
Kesho yake ambayo ni Jumapili nimeamka nina njaa kama yote, nikicheki mazingira hayaeleweki, hadi nikamkumbuka Annie wangu maskini, tangu Annie aondoke hii nyumba haijapigwa deki, nilichokifanya ni kufagia tu fasta fasta na kuweka nguo kwenye Washing Mashine Nikatoka zangu nje kunywa chai, nilivyorudi nikakuta Mashine ishamaliza kazi yake nikatoa nguo na kwenda kuzianika
By saa sita nguo zote zishakauka kasoro viatu tu, ikabidi nitulie tu ndani nikivisikilizia maana sina ratiba ya kutoka hadi Alasiri, nikaingia YouTube BongoHoodz wameongeza movies nikacheki movie yao inaitwa Mchepuko, Bonge la tambara
14:06 nikaanza kujianda, by saa tisa nikaanza kutoka safari ya kuelekea kwa Mzee, hadi getini nikafunguliwa geti na security nikaulizia wenyeji mlinzi ananiambia kwamba Mzee ametoka na Binti yake ila wengine wapo ndani, basi nikachoma ndani kumbe Mzee ametoka na Caryn sababu Michelle nilimkuta ndani sitting room anacheki Movie sijui Documentary ile
Michelle: "Karibu mwaya BM"
BM: "Asante, nishakaribia"
Michelle: "Za kupotea?"
BM: "Aah jamani wiki hii iliyopita sinilikuwa hapa"
Michelle: "I know, tulikumiss tu"
BM: "Niliwamiss pia hasa Mzee, hayupo Nini? naona kimya"
Michelle: "Yeah, ameenda town na Caryn after tumetoka tu Church"
BM: "Ooh, Mom yeye ako?"
Michelle: "Yap but amelala"
BM: "Okay, acha nimngoje, maana Mzee aliniambia nisikose kuja leo ni muhimu"
Michelle: "Atakuwa tu anataka feedback ya Kazi aliyokupa...vipi lakini si umefikia pazuri?"
BM: "Pazuri wapi Dada yangu, mambo ni mengi ila acha tuone vile itakuwa"
Iko hivi, Japokuwa Michelle pia nimeanza kuzoeana naye lakini hajui vitu vingi kuhusu mimi kama Caryn.... Caryn ndio anajua vitu vingi pamoja na vile ambavyo hata hapaswi kujua, so saa hiyo namsubiria Mzee kichwani nilikuwa nawaza tu Caryn asije akawa kamchana Mzee kila kitu kuhusu mimi maana yule mtoto ana visirani vyake
Ikabidi nianze kumchimba Dada Michelle kwanini yeye na Caryn haziivi sana
BM: "Dada Michelle sijui kama nishawahi kukuuliza hili swali, ivi ni kwanini wewe na Caryn hampatani sana, I mean sio watu wa kukaa pamoja na kupiga story, hizo moments zishawahi kutokea kweli kati yenu?"
Michelle: "Mimi na Caryn mbona ni marafiki sana"
Nikaona huyu ni kama ananificha kitu, marafiki gani kila mkiwa pamoja ni lazima mtupiane maneno
BM: "Dada Michelle bhana, haya bhana"
Michelle: "Ni kweli Mimi na Caryn ni marafiki sana ila kwa bahati mbaya nilikuja kumkosea ndio ameniwekea kinyongo hadi leo"
BM: "Duh! kosa gani hilo lisilosameheka?"
Michelle: "Hata halina maana, ukitaka kuishi vizuri na yule mtu itakubidi ujitahidi usimkanyage, maana ukimkosea tu huwa inamchukua muda kusahau na kusamehe"
Nilivyosikia hivyo kwanza nikaanza ku recall matukio kuona kama hakuna sehemu nimekwaza yule mtu, maana kama ipo basi kazi ninayo, maana pia Michelle alishawahi kunambia kuwa Mzee huwa anamsikiliza sana Caryn kiasi kwamba Kuna maamuzi mengine Mzee huwa anayafanya lakini ushauri unakuwa umetoka kwa Caryn. so ukiweza kwenda sawa na Caryn basi pia utakuwa upande salama wa Mzee
Sasa ilibaki tu kujua ni kitu gani hicho Michelle alimfanyia mwenzake hadi Caryn amekunja kiasi hicho, nikaja kujua ni issue ya Pesa lakini issue sio Pesa issue ni kwamba Kuna uongo na ujanja ujanja ulikatiza ndio Caryn akamaindi
Mchongo ulikuwa hivi, Michelle aliomba kiasi flani cha pesa kwa Caryn, Kama milion 11 ivi, Caryn bila wasi akatoa Cash, hiyo Pesa Michelle aliomba kwaajili ya Biashara baada ya kuona Mzee kamkazia Kila sehemu
Sasa kosa alilolifanya Michelle alivyochukua Pesa kwa Caryn mzigo wote akaenda kumpa bwana ake (Opportunist) Mtiti ndio ukaanzia hapo, na kama unavyojua mtu yeyote akikupa pesa kwa lengo la kufanya Biashara atataka aone matokea yawe hasi au chasa anachotaka kuona ni ulifanyia kazi sahihi pesa ulioomba
Caryn Kila akiulizia Michelle anapiga chenga, anaingilia huku anatokea kule, Caryn alivyoona chenga nyingi siku moja akaamua kumbana zaidi, Ndio Michelle akafunguka kwamba Pesa kampa mtu mwingine afanyie Biashara ambaye ni Mpenzi wake,
Caryn akasema sawa twende tukaione hiyo Biashara yenyewe, Unaambiwa jamaa nae akaanza chenga, Caryn akaona hii miyeyusho ndio ugomvi ukaanzia hapo
Wakati anaendelea kunielezea huo mkasa, Mama akaja pale Sitting room kutoka chumbani kwake, tukasalimiana akamuuliza Michelle "Kwani Baba yako Bado hajafika tu" Michelle akajibu "bado"
Mama: "Ni saa nyingi sana nimewasiliana nao wameniambia wapo Morocco"
Michelle: "Labda Kuna sehemu wamepitia"
Mama akaenda jikoni kuandaa Supper, Sasa zile story zetu Mimi na Michelle ilibidi tuzi sweep under the Carpet, tukaanza story nyingine haujapita hata muda mrefu nikasikia Geti kubwa linafunguliwa, Michelle akasema "ndio hao wanaingia" kweli Caryn ndio alianza kuingia ndani, kuangalia vizuri nyuma Kuna mtu ameongozana nae, huyo aliyeongozana nae Sasa, hata sikuamini....Ni Mama yake Accountant aisee
Sasa najiuliza Mama yake Accountant saa hizi tena huku kwa Mzee kunani? Kabla sijapata jibu wakawa wameshafika eneo letu, saa hiyo Mzee Bado hajaingia hapo, tukasalimiana na Mama pale pamoja na Caryn,
Wakati nasalimiana na Mama yake Accountant namuona anatabasamu tu na kuniuliza Habari za masiku, saa hiyo Caryn kala wambuzi, Michelle nae yupo zake kimya mara Mzee akaingia huku anaongea na simu, Mzee akatoa ishara kama anarudi then akapata juu chumbani kwake,
Bi Mkubwa akaja Sitting room kutoka kule jikoni alikokuwa wakasalimiana na Mama yake Accountant, ongea yao ni kama watu wanaojuana, wakawa wanapiga story zao za Biashara na Kazi sie wengine tupo kimya macho kwenye Tv
Mzee akarudi akamuambia Caryn amuandalie Kahawa, Wakati Kahawa inaandaliwa tukaanza maongezi ya kawaida, lakini maongezi yalibase kwa Mzee, Mama Michelle na Mama yake Accountant, Kahawa ikaletwa, Mzee akamwambia Michelle azime Tv
Mzee: "Hiki kikao kinawahusu watu wa3 lakini si mbaya Michelle na Mama yake wakiwepo huwenda wakashauri jambo"
Baada ya Mzee kusema hivyo moja kwa moja nikajua kikao kinanihusu Mimi, Caryn pamoja na Mama yake Accountant, mapigo ya moyo yakaongezeka kidogo nikimuangalia Caryn ka relax, Mama yake Accountant nae pia ka relax,
Ghafla nikajihisi sipo Comfortable lakini hapo bado sijajua hilo jambo la sisi watu 3 litakuwa linahusu nini, ila nikahisi kwamba kama Mama yake Accountant yupo hapa na hiki kikao kinamuhusu basi agenda ya kikao itakuwa inahusu kazi pengine Accountant alifunguka Kila Kitu kwa Mama yake ila Bado nikajiuliza kwanini huyo Accountant mwenyewe hayupo sasa?
Mzee: "Kabla sijafanya maamuzi, nataka kujua sababu zilizokufanya BM uache kazi"
Ghafla nilihisi joto wakati ndani full AC watu wote kimya mimi ndio natakiwa kuongea kwa wakati huo halafu Caryn akanipiga jicho flani hivi akakunja na mikono kifuani yani Ile kwamba "TUNAKUSIKILIZA"
Itaendelea....
Hii story ni mara ya pili sasa naiandika, mara ya kwanza niliiandika yote ilibaki tu kupaste hapa lakini ikafutika, now itabidi nitakapoishia kuandika naitupia hivyo hivyo makosa yasije yakajirudia.
Shukrani mkuu,tutegemee Tena lini??Ilipoishia
Ikabidi tu nimuelewa japokuwa anachokiongea kina make sense ila naona kama ana complicate sana mambo, tukaweka Kila kitu sawa Ilivyofika saa mbili kasoro tukarudi hotelini
Tukapiga msosi tukamaliza tukaelekea vyumbani, chumba changu hakipo mbali na chumba Cha Caryn, nilivyofika tu kwenye room yangu nikaingia bafuni kuoga, natoka bafuni namkuta amekaa kitandani nikajua tu huyu amekosa usingizi anataka tukeshe tukipiga story
BM: "Vip kwema?"
Caryn: "Itabidi tulale wote humu, mimi ugenini siwezagi kulala peke yangu"
MUENDELEZO
Episode 11 SEASON 2
Moyo uka vibrate kidogo ni kama nimesikia kitu ambacho sikutegemea kukisikia ila nikahisi kama nategwa kidizaini flani, mdomo ukawa mzito sijui nimruhusu au nimjibu kitu gani, alivyoona nimekuwa mzito kuongea akaendelea kuongea
Caryn: "Nipo Serious BM, mtu yeyote anayenijua vizuri analijua hili swala hata ukimuuliza Michelle"
BM: "Sawa hamna shida, mimi naweza kulala hata hapa chini kwenye Zuria"
Caryn: "Hapana, tunalala wote kitandani, ila nakuomba ukilala assume kama vile umelala na Mama yako mzazi sipo hapa kwaajili ya kukutega maana Akili za Wanaume nazijua"
BM: "Ivi upo serious kabisa kwamba huwezi kulala chumba Cha peke yako unataka tulale wote humu tena kitanda kimoja?"
Caryn: "Kwani kuna ubaya?...naomba nenda kule room kwangu kanichukulie Handbag yangu kuna sabuni nataka nikaoge"
Nikatoka kuelekea kwa room yake kumchukulia Handbag yake huku kichwani nikijiuliza maswali ya kutosha, kwamba huyu mtu kama ni kweli hawezagi kulala mwenyewe ugenini kwanini wakati tunalipia vyumba aliruhusu nilipie vyumba viwili badala ya kimoja?
Sikupata jibu la hilo swali nikahisi tu kuna kamchezo nachezewa, nilihisi Kimasihara imejileta yani stori ndani ya story kwamba hapa hapa ninaweza kupata Cha kuchangia kwenye Uzi wa Tunda na Masihara yake na Bado nikapata Content ya kunogesha Uzi huu wa kijana wa Buguruni
Kwa muda mfupi kichwa kiliwaza mambo mengi sana hicho ni kichwa Cha juu sasa, kichwa Cha chini nacho kilikuwa kimeshapata Notification kwamba muda wowote kuanzia sasa kunaweza kukanuka so be Attention
Lakini pia nikakumbuka wadau wa hapa hapa Jamii forum kwenye huu Uzi Season 1 kule episode ya mwisho kuna wadau walishauri kwamba nifanye yote lakini nisioneshe urijali kwa Caryn
Nikaona hapa nikiendelea kuwaza nini Cha kufanya sitopata jibu Cha msingi acha niache Universe iamue, nikachukua Handbag nikarudi kule room kwangu ambako nimemuacha Caryn
Caryn akatoa Sabuni akaingia bafuni kuoga, alivyomaliza akatoka akiwa ameshavaa Night dress akanikuta nimekaa kwenye kochi naangalia Tv
Caryn: "Hee! ndio kwanza unaangalia Tv? nikajua nitakukuta upo kitandani"
BM: "Kitandani? kwanini?"
Caryn: "Mizunguko yote Ile hujachoka tu? usie lala mapema, ivi kesho ndio imebaki Document moja eeh?"
BM: "Yeah, nataka ni-fight by saa 4 Asubuhi tuwe tumeondoka"
Caryn: "Kwahiyo kesho tunatoka hapa saa ngapi?"
BM: "Mapema tu kwenye saa 1 ivi, ili saa mbili itukutie maofisini....Sasa Cha kufanya wewe itabidi ukadili na mizigo tuliyoitoa Jana ipakiwe kwenye Boti huku mimi nikiendelea kutoa ambayo imebaki Airport"
Caryn: "Guinness Book itabidi waiandike hii, Mfanyakazi anampangia Boss Majukumu"
BM: "Madam, U Boss uliuacha pale Opposite na Rotana, umevuka Maji huu ni Utawala mwingine mbaya zaidi upo kwenye himaya yangu yani chumba changu"
Mazungumzo yalibase sasa katika mzaha japo nilikuwa namaanisha nilichokiongea, Caryn akavuta shuka mimi nikaganda kwenye Tv kama lisaa lizima
Ukiniuliza kwenye Tv nikikuwa naangalia Program gani najua basi nilikuwa nazuga kuusoma mchezo,
Kikubwa moyoni nilikuwa najiambia kwamba kama vitu vitatokea niache vitokee Automatically nisi force kwasababu huwezi jua inawezekana ni mtego sasa nikijimix nikaleta habari za kupapasana nitakuwa nimelichuma janga
Niseme usiku ulipita salama kabisa, huu usiku sitokuja kuusahau maana haijawahi kutokea katika maisha yangu, Asubuhi yake tuliamka fresh ila mimi ndio nilimuamsha Caryn, nilimuamsha mimi nikiwa nishapiga Maji na yeye akajiandaa tukatoka
Tukajigawa, Caryn alienda Bandarini kuweka kila kitu sawa mimi nikashughulika na Document chap then nikaenda Airport nikautoa mzigo chap kwa haraka sababu haukuwa mzigo mkubwa
Hatimaye tukavuka maji kurudi Dar es salaam, tukafika Bandari ya Dar tuka clear kila kitu tukaupeleka mzigo Ofisini, Kazi yangu ikawa imeishia hapo, nikampatia Storekeeper Parking list ya mizigo ya BATCH hii iliyoingia siku hiyo
Tulivyofikisha mzigo Caryn alienda Ofisini kwake moja kwa moja, muda huo ilikuwa kitu kama saa nane flani mchana nikawa najishauri kwenda kumuomba ruksa, Unajua kipindi kile Cha Utawala wa Bi Mkubwa nilikuwa nikifikisha mzigo tu nilikuwa nasepa zangu, Lakini si kwa huyu Binti ila nilijua kwa leo nitakubaliwa
Kweli nilivyoenda kumuomba akakubali ila yeye alisema atabaki hadi jioni japokuwa amechoka, Mimi nikajikataa nikaingia mtaani,
Siku zikapita wiki zikasonga nakumbuka ilikuwa November tarehe za katikati nikaja kupata nyumba maeneo flani kali sana zile nyumba ni vi Apartments flani hivi vipo sita zote zipo kwenye fence moja na kila nyumba ina vyumba viwili kimoja master halafu choo Cha ku share jiko na sitting room
Ile nyumba nilivyooneshwa tu nikalipia siku hiyo hiyo likabaki swala la kuhama tu, nilikaa kama wiki moja tangu nilipie rent ndio nikahamia kwenye makazi mapya
Kwenye makazi mapya nilihamia na kila Kitu changu kasoro Tv, Muziki na Makochi nilibadilisha, vitu vikakaa Mahali pake kasoro chumba Cha pili kilikosa kitanda maana mwanzo nilikokuwa nakaa ilikuwa One Bedroom nilikohamia ni Two Bedrooms so Budget haikuwa upande wangu kuniwezesha kununua kitanda kingine kwa muda huo
Nikajipa time ila Mpango ni kwamba nikishanunua kitanda nimchukue yule kijana wa mmoja wa Buguruni nikae nae maana nikisema nikae nao wote itakuwa uongo sababu wale wengine ni madogo sana kujihudumia vitu vingi hawawezi na mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri
Weekend ya kwanza nikiwa makao mapya nikapanga kwenda kwa Mzee maana nikitambo sijaenda na sijawahi kukaa muda mrefu kiasi hiki, Unajua tangu Ile safari ya Zanzibar niliyoenda na Caryn sijaenda kwao, ni karibia wiki 3 au mwezi + kama sikosei
Nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 13 November hii siku pia nakumbuka nilipost muendelezo wa story ambayo ilikuwa Episode ya pili SEASON 2
Basi mimi huyo mdogo mdogo hadi mjengoni kwa Mzee, Wakati naenda niliwasiliana na Mzee akaniambia anatoka mara moja na Bi Mkubwa so niende tu nitawakuta wakina Michelle
Basi nikafika Getini pale nikapita bila kupingwa mlinzi ni yule yule ananijua, Mlango wa nyumba akanifungulia Michelle
Michelle: "Wow! finally, it's been a while"
BM: "Sijakuzoea hivi sister Michelle"
Michelle: "Aje?"
BM: "Si hivyo vizungu mingi, Yai muachie Caryn mjukuu wa Malkia, kwanza yupo?"
Michelle: "Yeah, Boss wako yupo Upstairs "
BM: "U Boss kazini huko, yani Basi tu sina uwezo ila huyu ndugu yako huyu"
Michelle: "Kafanya nini tena jamani, mtu na rafiki yake mshatibuana"
BM: "Urafiki gani wa kukaziana kwenye kila kitu"
Michelle: "Kakufanyaje kwani?"
Nikaanza kumuelezea Michelle....turudi nyuma kidogo ili muelewe vizuri kitu alichonikwaza
Iko hivi mimi huwa naagiza mzigo China Accessories za magari na vitu vingine vya aina mbalimbali vikifika Bongo huwa nafanya Biashara
Baadhi ya vitu vyenyewe ni kama;
Electric toothbrush
Men USB chest bag
Tire Pressure Gauge
Body Renovate
Headlight repair
Car wheel hub reflecting
Crown Car driver license bag
Car air outlet perfume
Creative 3D glass craft metal keychain
Smart Car air compressor
Car Jump starter power bank
Air conditioner vent blinds
Phone holder wall Moun
Sasa mzigo ukatua Bongo, na mzigo wangu mimi ukifika huwa haupimwi kilo, utapimwa kilo ukiwa Bado upo china ndio unataka kupandishwa ndege, ila mizigo mingine inapimwa china na ikifika ofisini inapimwa tena ku confirm Kgs
Mzigo wangu huwa haupimwi mara mbili kwasababu siulipii, yani transport mimi ni Free of charge (hizo ni enzi za Mama Sasa)
Nikachukua mzigo wangu nikapita ofisini kwake ili nimuazime gari yake niukimbize mzigo maskani chapu
BM: "Boss lady nisaidie nafunguo nikimbie nyumbani mara moja, Leo sitakuchelewesha"
(Maana kuna siku nilichukua gari nikamchelewesha kama lisaa akanisusia gari nikaenda nalo nyumbani)
Caryn: "Yani uende nyumbani halafu urudi, sijakuelewa"
BM: "Yeah, naupeleka huu mzigo mara moja then narudi faster"
Caryn: "Aah! utanichelewesha BM, Leo request tu, huo mzigo ni wa nani kwani?"
BM: "Si wa kwangu naupeleka nyumbani, maana nikisema nisubiri jioni nipande nao. Daladala itakuwa uongo halafu mambo ya ku-request mimi sifagilii"
Caryn: "Ooh, so huo mzigo ni wa kwako...umelipiwa?"
BM: "Kulipia nini tena? Mzigo nimekuambia ni wangu"
Caryn: "Sawa sijakataa ni wa kwako, ndio nauliza umelipiwa?"
BM: "Okay haujalipiwa"
Caryn: "Sasa unaondokaje na mzigo wakati haujalipiwa, ebu nione Delivery note uliyoandikiwa"
BM: "Sina Delivery note"
Akanyanyua simu akampigia Storekeeper halafu akaitwa na Accountant, wakaja mule ofisini tukawa watu wa tatu yani mimi, Accountant, Storekeeper pamoja na Caryn akiwa wa nne
Caryn: "Accountant naomba nioneshe malipo ya ule mzigo pale mlangoni iwe ni Cash au Bank transfer, na Storekeeper nioneshe Delivery note ya huo mzigo"
Kwakifupi kwasababu mzigo sijulipia wote wawili Accountant na Storekeeper walikuwa hawana hivyo walivyoambiwa waoneshe
Delivery note ni karatasi ambayo inathibitisha kwamba mzigo ulikifa kwa mwenyewe huku ikionesha kiasi alicholipia pamoja na kilo za mzigo....Ila Accountant akajibu bila kupepesa macho
Accountant: "Ule mzigo haujalipiwa so sina pesa yake"
Caryn: "Kwanini haujalipiwa?
Accountant: "Mizigo ya BM huwa hailipiwi"
Caryn: "Kwanini isilipiwe, give me one and strong single reason kwanini mizigo yake hailipiwi"
Accountant: "Right question to the wrong person, Nadhani hili swali ungemuuliza aliyekuwa incharge wa hii Kampuni au muulize mwenyewe BM"
Caryn: "Okay, tufanye hailipii, wewe kijana naomba nioneshe Delivery note ya kuonesha kwamba BM amepokea mzigo wake"
Storekeeper: "Delivery note sijamuandikia kwasababu mzigo haujafanyiwa malipo"
Caryn: "Na mwenyewe unahisi upo sahihi kabisa kufanya hivyo, akikukana je kwamba hajachukua mzig"
Caryn: "Hawa wawili watakufanya uingie kwenye kosa, kama wanapeana mzigo bila ya kulipia wewe ulitakiwa kuuandikia Delivery note kuthibitisha kwamba mzigo umefika kwa muhusika"
Caryn: "Kaendeleeni na shughuli zenu, ila we naomba uniletee kitabu cha Delivery note"
Storekeeper akaambiwa alete kitabu cha Delivery note Accountant nae akaondoka nikabaki na Caryn, alivyoletewa kile kitabu cha Delivery note akamuambia Storekeeper akaupime ule mzigo wangu kwenye mzani
Kilo zikasoma 29 (29 KGs) Caryn akapiga hesabu ya dollar 12.5 kwa kila kilo, ikaja 833,730 kama hanijui Caryn akaniambia nitoe hiyo pesa ndio mzigo utoke
Nilimuangalia Caryn kama Dakika nzima hivi simmalizi, yeye ndio kwanza yupo busy na laptop
Caryn: "Aisee kama haulipii huu mzigo sema ili urudishwe stoo"
BM: "Urudishwe tu sina pesa sasa hivi ya kulipia mzigo"
Caryn: "Okay but huu mzigo usikae zaidi ya siku Saba huko stoo, ukipitisha ziku Saba za free utachajiwa gharama za stoo vile vile"
Turudi Leo sasa huku kwa Michelle
Michelle: "Unajua sio wewe tu, hata mimi mwenyewe niliagiza nywele akanilipisha, so ndivyo alivyo ni kumzoea tu"
BM: "Sawa sijakataa kulipia lakini usinicharge kama customers wengine, mimi natakiwa kufanyiwa favor, hata wewe pia"
Michelle: "Aahwe! Caryn anifanyie favor mimi? wewe ndio wa kufanyiwa favor, wewe ndiye bwana ake mshakuwa mwili mmoja sasa"
(Mapigo ya moyo yakajilesi nimesikia nilichosikia au ni masikio yangu tu)
BM: "Tushakuwa mwili mmoja? sijakuelewa una maanisha nini? au sijakusikia vizuri?"
Michelle: "Ebu niambie ukweli, wewe na Caryn ni wapenzi? isije ikawa umenihadithia hii story yako ya kulipishwa mzigo ili tu unipange ki saikolojia"
BM: "Aah jamani hatujafikia huko, Ukiachana na urafiki, mimi na Caryn ni mtu na Boss wake"
Michelle: "Ooh! Eti eeh, mtu na Boss wake wanawezaje kulala room moja"
Unajua nilipatwa na mshangao, hii Habari nyeti kama hii nani kavujisha? nilijiuliza lakini nikajua tu huyu atakuwa tu ni Caryn, sasa kama ni yeye kwanini amefanya hivyo akiwa na nia gani haswa?
Wakati naendelea kujiuliza Mzee pamoja na Mama wakawa wamerudi, Mzee akamuulizia Caryn akaambiwa yupo Chumbani kwake na muda wote huo tunapiga Story na Michelle Caryn hakutoka nje
Mzee: "Ebu kaniitie nina mazungumzo na nyie wote watatu"
Michelle akaenda kumuita Caryn, nikabaki na Mzee, nikicheki sura ya Mzee silioni tabasamu kabisa kitu kilichonishangaza zaidi nilimuona anatoa sigara kwenye mfuko wa koti halafu akatoka nje
Unajua tangu nimjue Mzee leo ndio namuona na sigara, nilikuwa sijui kama ni mvutaji, Michelle akarudi akiwa pamoja na Caryn
Michelle: "Huyu Mzee kaenda wapi tena?"
BM: "Kumbe Mzee huwa anavutaga sigara?"
Caryn na Michelle wakaangaliana kama vile kuna kitu wanahisi"
Caryn: "Something went wrong"
Michelle: "Yeah, ukimuona Mzee anaanza kupuliza hayo madude ujue kuna kitu"
Basi kila mtu akawa anahisi jambo lake lakini hakuna ambaye alikuwa anajua ni kitu gani hasa Mzee anataka kukiongea, Mzee akarudi kutoka Smoking zone
Na hii siku ndio nilijua kwamba hii nyumba huwa na smoking zone, Caryn anadai Mwaka unaweza kupita Mzee hajaenda smoking zone
Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake
Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"
BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"
Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"
Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"
Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"
Mzee; "Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."
Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha kama anataka kukaa vizuri, Mimi sikutikisa hata mguu, niseme tu kwamba KUMEKUCHA
Itaendelea
Caryn amekuingiza kwenye msala alafu maskini yamungu hata hujapiga, ungejua ungekamua tu ijulikane moja kwamba hivi sasa ni MKWE na sio mfanyakazi wa Mzee[emoji1787][emoji1787]Ilipoishia
Ikabidi tu nimuelewa japokuwa anachokiongea kina make sense ila naona kama ana complicate sana mambo, tukaweka Kila kitu sawa Ilivyofika saa mbili kasoro tukarudi hotelini
Tukapiga msosi tukamaliza tukaelekea vyumbani, chumba changu hakipo mbali na chumba Cha Caryn, nilivyofika tu kwenye room yangu nikaingia bafuni kuoga, natoka bafuni namkuta amekaa kitandani nikajua tu huyu amekosa usingizi anataka tukeshe tukipiga story
BM: "Vip kwema?"
Caryn: "Itabidi tulale wote humu, mimi ugenini siwezagi kulala peke yangu"
MUENDELEZO
Episode 11 SEASON 2
Moyo uka vibrate kidogo ni kama nimesikia kitu ambacho sikutegemea kukisikia ila nikahisi kama nategwa kidizaini flani, mdomo ukawa mzito sijui nimruhusu au nimjibu kitu gani, alivyoona nimekuwa mzito kuongea akaendelea kuongea
Caryn: "Nipo Serious BM, mtu yeyote anayenijua vizuri analijua hili swala hata ukimuuliza Michelle"
BM: "Sawa hamna shida, mimi naweza kulala hata hapa chini kwenye Zuria"
Caryn: "Hapana, tunalala wote kitandani, ila nakuomba ukilala assume kama vile umelala na Mama yako mzazi sipo hapa kwaajili ya kukutega maana Akili za Wanaume nazijua"
BM: "Ivi upo serious kabisa kwamba huwezi kulala chumba Cha peke yako unataka tulale wote humu tena kitanda kimoja?"
Caryn: "Kwani kuna ubaya?...naomba nenda kule room kwangu kanichukulie Handbag yangu kuna sabuni nataka nikaoge"
Nikatoka kuelekea kwa room yake kumchukulia Handbag yake huku kichwani nikijiuliza maswali ya kutosha, kwamba huyu mtu kama ni kweli hawezagi kulala mwenyewe ugenini kwanini wakati tunalipia vyumba aliruhusu nilipie vyumba viwili badala ya kimoja?
Sikupata jibu la hilo swali nikahisi tu kuna kamchezo nachezewa, nilihisi Kimasihara imejileta yani stori ndani ya story kwamba hapa hapa ninaweza kupata Cha kuchangia kwenye Uzi wa Tunda na Masihara yake na Bado nikapata Content ya kunogesha Uzi huu wa kijana wa Buguruni
Kwa muda mfupi kichwa kiliwaza mambo mengi sana hicho ni kichwa Cha juu sasa, kichwa Cha chini nacho kilikuwa kimeshapata Notification kwamba muda wowote kuanzia sasa kunaweza kukanuka so be Attention
Lakini pia nikakumbuka wadau wa hapa hapa Jamii forum kwenye huu Uzi Season 1 kule episode ya mwisho kuna wadau walishauri kwamba nifanye yote lakini nisioneshe urijali kwa Caryn
Nikaona hapa nikiendelea kuwaza nini Cha kufanya sitopata jibu Cha msingi acha niache Universe iamue, nikachukua Handbag nikarudi kule room kwangu ambako nimemuacha Caryn
Caryn akatoa Sabuni akaingia bafuni kuoga, alivyomaliza akatoka akiwa ameshavaa Night dress akanikuta nimekaa kwenye kochi naangalia Tv
Caryn: "Hee! ndio kwanza unaangalia Tv? nikajua nitakukuta upo kitandani"
BM: "Kitandani? kwanini?"
Caryn: "Mizunguko yote Ile hujachoka tu? usie lala mapema, ivi kesho ndio imebaki Document moja eeh?"
BM: "Yeah, nataka ni-fight by saa 4 Asubuhi tuwe tumeondoka"
Caryn: "Kwahiyo kesho tunatoka hapa saa ngapi?"
BM: "Mapema tu kwenye saa 1 ivi, ili saa mbili itukutie maofisini....Sasa Cha kufanya wewe itabidi ukadili na mizigo tuliyoitoa Jana ipakiwe kwenye Boti huku mimi nikiendelea kutoa ambayo imebaki Airport"
Caryn: "Guinness Book itabidi waiandike hii, Mfanyakazi anampangia Boss Majukumu"
BM: "Madam, U Boss uliuacha pale Opposite na Rotana, umevuka Maji huu ni Utawala mwingine mbaya zaidi upo kwenye himaya yangu yani chumba changu"
Mazungumzo yalibase sasa katika mzaha japo nilikuwa namaanisha nilichokiongea, Caryn akavuta shuka mimi nikaganda kwenye Tv kama lisaa lizima
Ukiniuliza kwenye Tv nikikuwa naangalia Program gani najua basi nilikuwa nazuga kuusoma mchezo,
Kikubwa moyoni nilikuwa najiambia kwamba kama vitu vitatokea niache vitokee Automatically nisi force kwasababu huwezi jua inawezekana ni mtego sasa nikijimix nikaleta habari za kupapasana nitakuwa nimelichuma janga
Niseme usiku ulipita salama kabisa, huu usiku sitokuja kuusahau maana haijawahi kutokea katika maisha yangu, Asubuhi yake tuliamka fresh ila mimi ndio nilimuamsha Caryn, nilimuamsha mimi nikiwa nishapiga Maji na yeye akajiandaa tukatoka
Tukajigawa, Caryn alienda Bandarini kuweka kila kitu sawa mimi nikashughulika na Document chap then nikaenda Airport nikautoa mzigo chap kwa haraka sababu haukuwa mzigo mkubwa
Hatimaye tukavuka maji kurudi Dar es salaam, tukafika Bandari ya Dar tuka clear kila kitu tukaupeleka mzigo Ofisini, Kazi yangu ikawa imeishia hapo, nikampatia Storekeeper Parking list ya mizigo ya BATCH hii iliyoingia siku hiyo
Tulivyofikisha mzigo Caryn alienda Ofisini kwake moja kwa moja, muda huo ilikuwa kitu kama saa nane flani mchana nikawa najishauri kwenda kumuomba ruksa, Unajua kipindi kile Cha Utawala wa Bi Mkubwa nilikuwa nikifikisha mzigo tu nilikuwa nasepa zangu, Lakini si kwa huyu Binti ila nilijua kwa leo nitakubaliwa
Kweli nilivyoenda kumuomba akakubali ila yeye alisema atabaki hadi jioni japokuwa amechoka, Mimi nikajikataa nikaingia mtaani,
Siku zikapita wiki zikasonga nakumbuka ilikuwa November tarehe za katikati nikaja kupata nyumba maeneo flani kali sana zile nyumba ni vi Apartments flani hivi vipo sita zote zipo kwenye fence moja na kila nyumba ina vyumba viwili kimoja master halafu choo Cha ku share jiko na sitting room
Ile nyumba nilivyooneshwa tu nikalipia siku hiyo hiyo likabaki swala la kuhama tu, nilikaa kama wiki moja tangu nilipie rent ndio nikahamia kwenye makazi mapya
Kwenye makazi mapya nilihamia na kila Kitu changu kasoro Tv, Muziki na Makochi nilibadilisha, vitu vikakaa Mahali pake kasoro chumba Cha pili kilikosa kitanda maana mwanzo nilikokuwa nakaa ilikuwa One Bedroom nilikohamia ni Two Bedrooms so Budget haikuwa upande wangu kuniwezesha kununua kitanda kingine kwa muda huo
Nikajipa time ila Mpango ni kwamba nikishanunua kitanda nimchukue yule kijana wa mmoja wa Buguruni nikae nae maana nikisema nikae nao wote itakuwa uongo sababu wale wengine ni madogo sana kujihudumia vitu vingi hawawezi na mimi kazi yangu ni ya kusafiri safiri
Weekend ya kwanza nikiwa makao mapya nikapanga kwenda kwa Mzee maana nikitambo sijaenda na sijawahi kukaa muda mrefu kiasi hiki, Unajua tangu Ile safari ya Zanzibar niliyoenda na Caryn sijaenda kwao, ni karibia wiki 3 au mwezi + kama sikosei
Nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 13 November hii siku pia nakumbuka nilipost muendelezo wa story ambayo ilikuwa Episode ya pili SEASON 2
Basi mimi huyo mdogo mdogo hadi mjengoni kwa Mzee, Wakati naenda niliwasiliana na Mzee akaniambia anatoka mara moja na Bi Mkubwa so niende tu nitawakuta wakina Michelle
Basi nikafika Getini pale nikapita bila kupingwa mlinzi ni yule yule ananijua, Mlango wa nyumba akanifungulia Michelle
Michelle: "Wow! finally, it's been a while"
BM: "Sijakuzoea hivi sister Michelle"
Michelle: "Aje?"
BM: "Si hivyo vizungu mingi, Yai muachie Caryn mjukuu wa Malkia, kwanza yupo?"
Michelle: "Yeah, Boss wako yupo Upstairs "
BM: "U Boss kazini huko, yani Basi tu sina uwezo ila huyu ndugu yako huyu"
Michelle: "Kafanya nini tena jamani, mtu na rafiki yake mshatibuana"
BM: "Urafiki gani wa kukaziana kwenye kila kitu"
Michelle: "Kakufanyaje kwani?"
Nikaanza kumuelezea Michelle....turudi nyuma kidogo ili muelewe vizuri kitu alichonikwaza
Iko hivi mimi huwa naagiza mzigo China Accessories za magari na vitu vingine vya aina mbalimbali vikifika Bongo huwa nafanya Biashara
Baadhi ya vitu vyenyewe ni kama;
Electric toothbrush
Men USB chest bag
Tire Pressure Gauge
Body Renovate
Headlight repair
Car wheel hub reflecting
Crown Car driver license bag
Car air outlet perfume
Creative 3D glass craft metal keychain
Smart Car air compressor
Car Jump starter power bank
Air conditioner vent blinds
Phone holder wall Moun
Sasa mzigo ukatua Bongo, na mzigo wangu mimi ukifika huwa haupimwi kilo, utapimwa kilo ukiwa Bado upo china ndio unataka kupandishwa ndege, ila mizigo mingine inapimwa china na ikifika ofisini inapimwa tena ku confirm Kgs
Mzigo wangu huwa haupimwi mara mbili kwasababu siulipii, yani transport mimi ni Free of charge (hizo ni enzi za Mama Sasa)
Nikachukua mzigo wangu nikapita ofisini kwake ili nimuazime gari yake niukimbize mzigo maskani chapu
BM: "Boss lady nisaidie nafunguo nikimbie nyumbani mara moja, Leo sitakuchelewesha"
(Maana kuna siku nilichukua gari nikamchelewesha kama lisaa akanisusia gari nikaenda nalo nyumbani)
Caryn: "Yani uende nyumbani halafu urudi, sijakuelewa"
BM: "Yeah, naupeleka huu mzigo mara moja then narudi faster"
Caryn: "Aah! utanichelewesha BM, Leo request tu, huo mzigo ni wa nani kwani?"
BM: "Si wa kwangu naupeleka nyumbani, maana nikisema nisubiri jioni nipande nao. Daladala itakuwa uongo halafu mambo ya ku-request mimi sifagilii"
Caryn: "Ooh, so huo mzigo ni wa kwako...umelipiwa?"
BM: "Kulipia nini tena? Mzigo nimekuambia ni wangu"
Caryn: "Sawa sijakataa ni wa kwako, ndio nauliza umelipiwa?"
BM: "Okay haujalipiwa"
Caryn: "Sasa unaondokaje na mzigo wakati haujalipiwa, ebu nione Delivery note uliyoandikiwa"
BM: "Sina Delivery note"
Akanyanyua simu akampigia Storekeeper halafu akaitwa na Accountant, wakaja mule ofisini tukawa watu wa tatu yani mimi, Accountant, Storekeeper pamoja na Caryn akiwa wa nne
Caryn: "Accountant naomba nioneshe malipo ya ule mzigo pale mlangoni iwe ni Cash au Bank transfer, na Storekeeper nioneshe Delivery note ya huo mzigo"
Kwakifupi kwasababu mzigo sijulipia wote wawili Accountant na Storekeeper walikuwa hawana hivyo walivyoambiwa waoneshe
Delivery note ni karatasi ambayo inathibitisha kwamba mzigo ulikifa kwa mwenyewe huku ikionesha kiasi alicholipia pamoja na kilo za mzigo....Ila Accountant akajibu bila kupepesa macho
Accountant: "Ule mzigo haujalipiwa so sina pesa yake"
Caryn: "Kwanini haujalipiwa?
Accountant: "Mizigo ya BM huwa hailipiwi"
Caryn: "Kwanini isilipiwe, give me one and strong single reason kwanini mizigo yake hailipiwi"
Accountant: "Right question to the wrong person, Nadhani hili swali ungemuuliza aliyekuwa incharge wa hii Kampuni au muulize mwenyewe BM"
Caryn: "Okay, tufanye hailipii, wewe kijana naomba nioneshe Delivery note ya kuonesha kwamba BM amepokea mzigo wake"
Storekeeper: "Delivery note sijamuandikia kwasababu mzigo haujafanyiwa malipo"
Caryn: "Na mwenyewe unahisi upo sahihi kabisa kufanya hivyo, akikukana je kwamba hajachukua mzig"
Caryn: "Hawa wawili watakufanya uingie kwenye kosa, kama wanapeana mzigo bila ya kulipia wewe ulitakiwa kuuandikia Delivery note kuthibitisha kwamba mzigo umefika kwa muhusika"
Caryn: "Kaendeleeni na shughuli zenu, ila we naomba uniletee kitabu cha Delivery note"
Storekeeper akaambiwa alete kitabu cha Delivery note Accountant nae akaondoka nikabaki na Caryn, alivyoletewa kile kitabu cha Delivery note akamuambia Storekeeper akaupime ule mzigo wangu kwenye mzani
Kilo zikasoma 29 (29 KGs) Caryn akapiga hesabu ya dollar 12.5 kwa kila kilo, ikaja 833,730 kama hanijui Caryn akaniambia nitoe hiyo pesa ndio mzigo utoke
Nilimuangalia Caryn kama Dakika nzima hivi simmalizi, yeye ndio kwanza yupo busy na laptop
Caryn: "Aisee kama haulipii huu mzigo sema ili urudishwe stoo"
BM: "Urudishwe tu sina pesa sasa hivi ya kulipia mzigo"
Caryn: "Okay but huu mzigo usikae zaidi ya siku Saba huko stoo, ukipitisha ziku Saba za free utachajiwa gharama za stoo vile vile"
Turudi Leo sasa huku kwa Michelle
Michelle: "Unajua sio wewe tu, hata mimi mwenyewe niliagiza nywele akanilipisha, so ndivyo alivyo ni kumzoea tu"
BM: "Sawa sijakataa kulipia lakini usinicharge kama customers wengine, mimi natakiwa kufanyiwa favor, hata wewe pia"
Michelle: "Aahwe! Caryn anifanyie favor mimi? wewe ndio wa kufanyiwa favor, wewe ndiye bwana ake mshakuwa mwili mmoja sasa"
(Mapigo ya moyo yakajilesi nimesikia nilichosikia au ni masikio yangu tu)
BM: "Tushakuwa mwili mmoja? sijakuelewa una maanisha nini? au sijakusikia vizuri?"
Michelle: "Ebu niambie ukweli, wewe na Caryn ni wapenzi? isije ikawa umenihadithia hii story yako ya kulipishwa mzigo ili tu unipange ki saikolojia"
BM: "Aah jamani hatujafikia huko, Ukiachana na urafiki, mimi na Caryn ni mtu na Boss wake"
Michelle: "Ooh! Eti eeh, mtu na Boss wake wanawezaje kulala room moja"
Unajua nilipatwa na mshangao, hii Habari nyeti kama hii nani kavujisha? nilijiuliza lakini nikajua tu huyu atakuwa tu ni Caryn, sasa kama ni yeye kwanini amefanya hivyo akiwa na nia gani haswa?
Wakati naendelea kujiuliza Mzee pamoja na Mama wakawa wamerudi, Mzee akamuulizia Caryn akaambiwa yupo Chumbani kwake na muda wote huo tunapiga Story na Michelle Caryn hakutoka nje
Mzee: "Ebu kaniitie nina mazungumzo na nyie wote watatu"
Michelle akaenda kumuita Caryn, nikabaki na Mzee, nikicheki sura ya Mzee silioni tabasamu kabisa kitu kilichonishangaza zaidi nilimuona anatoa sigara kwenye mfuko wa koti halafu akatoka nje
Unajua tangu nimjue Mzee leo ndio namuona na sigara, nilikuwa sijui kama ni mvutaji, Michelle akarudi akiwa pamoja na Caryn
Michelle: "Huyu Mzee kaenda wapi tena?"
BM: "Kumbe Mzee huwa anavutaga sigara?"
Caryn na Michelle wakaangaliana kama vile kuna kitu wanahisi"
Caryn: "Something went wrong"
Michelle: "Yeah, ukimuona Mzee anaanza kupuliza hayo madude ujue kuna kitu"
Basi kila mtu akawa anahisi jambo lake lakini hakuna ambaye alikuwa anajua ni kitu gani hasa Mzee anataka kukiongea, Mzee akarudi kutoka Smoking zone
Na hii siku ndio nilijua kwamba hii nyumba huwa na smoking zone, Caryn anadai Mwaka unaweza kupita Mzee hajaenda smoking zone
Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake
Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"
BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"
Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"
Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"
Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"
Mzee; "Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."
Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha kama anataka kukaa vizuri, Mimi sikutikisa hata mguu, niseme tu kwamba KUMEKUCHA
Itaendelea
Sasa umeona hapa ulipoishia SEASON 2 Episode 1 ukiendelea na Episode 2 story inakurudisha SEASON One ilipoishia then endelea nayo hadi SEASON 2 Episode 7 ambayo ipo comment ya 1159Hapa ndio palinichanganya, unaulizwa juu ya kuacha kazi Ila, hukuwahi kueleza kama umeacha kazi bali uko likizo.
Lini tena muendelezo mkuu salute sanaSasa umeona hapa ulipoishia SEASON 2 Episode 1 ukiendelea na Episode 2 story inakurudisha SEASON One ilipoishia then endelea nayo hadi SEASON 2 Episode 7 ambayo ipo comment ya 1159
Au kama ulishasoma hizo Episodes zingine nenda kasome vizuri hiyo Episode ya 7 SEASON 2 nadhani utaelewa
mkuu jitahidi basi isiwe mbali snaa story kali sana aisee.Sasa umeona hapa ulipoishia SEASON 2 Episode 1 ukiendelea na Episode 2 story inakurudisha SEASON One ilipoishia then endelea nayo hadi SEASON 2 Episode 7 ambayo ipo comment ya 1159
Au kama ulishasoma hizo Episodes zingine nenda kasome vizuri hiyo Episode ya 7 SEASON 2 nadhani utaelewa
Sasa natiririka, nimeelewa. Ahsante kwa subira na kuwa tayari kujibu kila swali!Sasa umeona hapa ulipoishia SEASON 2 Episode 1 ukiendelea na Episode 2 story inakurudisha SEASON One ilipoishia then endelea nayo hadi SEASON 2 Episode 7 ambayo ipo comment ya 1159
Au kama ulishasoma hizo Episodes zingine nenda kasome vizuri hiyo Episode ya 7 SEASON 2 nadhani utaelewa