BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,376
- 4,222
- Thread starter
-
- #1,641
Mniwie radhi wakuu, unajua kuandika ni kazi ila mimi naifanya bila malipo yoyote, so ninaacho fanya mimi pale nitakapopata muda wa ziada ndio naifanyaMkuu BM X6 huu si uungwana Boss...., yaani story tokea imeanza mpaka leo hatujawahi ona hata vipande viwili kwa wiki[emoji2955][emoji2955]
Kama ulikuwa unaona umebanwa na majukumu ungeacha tuuu usilete ukatulia nayo nyumbani kwako ukaenda kusimulia hata vijiwe vya kahawa huko au mashkaji zako mkiwa huko stooo...
Sema mimi kutukana huwa siwezi ila daaaah[emoji24][emoji24][emoji24] kama mpaka kesho kukiwa hola inabidi Moderator uufute huu uzi utakuwa useless hauna maana mwenye nao ameukacha
Unaweza kukuta natenga siku kama jumapili (siku hiyo ndio nakuwa na nafasi) lakini ukakuta manaingiliana Mfano napigiwa simu ya pesa kweli hata kama ni wewe utaacha Hela kisa tu uendelee kuandika story ambayo haikuingizii hata 100
Ningekuwa nalipwa hapa basi ningejua namna ya kubalance muda lakini kwasababu huduma naitoa bure acha niiwekeze muda mwingi katika mshiko ili pochi likiwa nene nirudi hapa Jamii Forum niandike story kwa mizuka yote
Kwa hayo machache niseme tu wiki hii kabla haijisha nadondosha Episodes 2 au 3 kabisa ikiwezekana, moja inashuka usiku huu huu(Muda na mambo ya fwedha visipoingiliana lakini)
Mtoto wa kike ananiambia mwezi wa nne ni lazima anunue Prado tena ya 2016 acheni na mimi nichacharike jamani nisiishie kutumia magari ya watu