Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Natamani nisingeanza kusoma hii story mpk iwe imekamilika, nilianza kusoma jana kuanzia season 1 mpk hii iliyopostiwa jana.

Iwe ni kweli au ni uongo ila mwandishi nampa kongole, hii ni story ambayo ilipaswa kulipiwa kabisa, mpangilio mzuri wa matukio na namna anavonogesha

Naomba nirudi mwezi wa 12 baada ya story kukamilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika gani kama mwezi wa 12 story itakuwa imeisha, kwasababu mm mwenyewe ninaendika sijajua mwisho wake

Yani nilichowazidi nyie ni mimi kujua matukio ya mwezi huu ambayo Bado sijayaandika lakini matukio ya kuanzia kesho na kuendelea wote hatuyajui, kwa maana hiyo ni ngumu kutabiri mwisho wa story
 
Nakumbuka kuwa Caryn ushawah kumuambia kuhusu Annie na Accountant,…Caryn anazimika na kambi ya kiumeni, ila BM unajua balance genye ili zisiharibu harakati za ugali….. vijana wachache sana,safi sana.

Swali alilokuuliza Caryn ingebidi na yeye aulizwe pia.

Michelle kakolezwa nini na jamaa…
 
Biashara wanafanikiwa, wengi wanafeli na wanafelishwa na mambo ambayo pengine wanayajua ila wanayapuuza, kila mafanikio yanajumuisha maelfu ya vitendo vya ujasiri (ninepoteza hela nyingi kwenye biashara fulani-haka kaneno kama kananifariji
 
Mzee wangu visanga vilitokea hapa katikati ni noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…