Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Ilipoishia


Nilivyofika ndani Ofisini kwa Mama yake Accountant Cha kwanza akanitolea bahasha yenye pesa

Mama Accnt: "Kwanza pole, najua mzigo wako haukukufikia"

BM: "Asante Mama"

Safari hii sikuleta maringo ya kutaka kuwekewa pesa kwenye account nikazibeba kama zilivyo,

Mama Accnt: "BM kwanini uliamua kuacha Kazi kwasababu za kipuuzi?"

Nikakumbuka muda mfupi Caryn ametoka humu ndani, atakuwa kamuambia nini huyu Mam

Muendelezo

SEASON 2 Episode 8


BM: "Sababu gani za kipuuzi Mama?"

Mama Accnt: "Unajua ulikosea sana ulitakiwa kunieleza ukweli, japo nilihisi kuna kitu hakipo sawa, nimekuja kujua ukweli too late, laiti ningejua huu ukweli kabla ya kile kikao Cha juzi ningefanya Mpango ukarudi lakini tatizo kule ushaongopa"

Kwani nilikuwa hata na Cha kujibu, nimebaki kimya tu nikimsikiliza Bi mkubwa

Kumbe Accountant aliamua kufunguka Kila Kitu kwa Mama yake, kwa mujibu wa mama yake Accountant baada ya kile kikao kule kwa Mzee alivyorudi nyumbani alimfahamisha Mwanaye mtu atakayekuja kumrithi,

Sasa Mama Accnt akawa anamuambia Mwanaye kwamba huyo mtu anayekuja kuchukua hiyo nafasi ni mkorofi hivyo ajue jinsi ya ku behave,

"Mimi mwanzo nilimpendekeza BM kwasababu najua yupo soft kidogo kama mimi so mngeenda sawa lakini huyu anayekuja itabidi mjipange" Mama Accnt alimuambia Mwanaye, ndio Accountant akaamua kufunguka

Tuliongea kwa muda mrefu kidogo hadi Caryn akatuma text ya kunijulisha kuwa ameondoka, basi nikamalizana na Bi Mkubwa tukaagana nikasepa, kidogo stress zikapungua sababu kibunda kipo Cha kutosha,

Nikampigia Caryn alichonijibu sasa, sijui anajikuta nani huyu mtoto We nitafute kesho kwa sasa schedule yangu Iko tight

Sikutia neno nikakata simu nikaenda Bank chap nika uhifadhi mzigo

Ikapita wiki ya kwanza Michelle akanicheki, kumbe nae kapewa kitengo bhana tena yeye alivyopewa tu immediately akaanza kazi

Sasa nilivyofika kwa Michelle baada ya story za hapa na pale akaanza kunipanga

Michelle: "Ila BM najua Ile siku umeongopa japo sijui ukweli ni upi ila umeongopa, and I'm sure Mzee anajua kabisa kama umemuongopea ila ameuchuna tu?"

BM: "Sasa Michelle unadhani mm ningefanyaje"

Michelle: "Inaonekana maelezo uliyoyatoa Caryn ndio amekupa, kuwa makini na yule mtoto Najua hana roho mbaya lakini sio Kila anachokushauri ukifuate"

BM: "Unamuonea Caryn wa watu bure"

Michelle: "Ila usijali kama mambo yataendelea kuwa magumu nipatie mwezi mmoja nitajua nitakuweka wapi hapa ofisini"

BM: "Katika yote tumeongea hili ndilo la msingi, lakini Baba yako ataona na Dankidanki tu kwenye makampuni yake"

Michelle: "Kuhusu Mzee we usijali, akinigomea mm nitamuambia Caryn aongee nae, mbele ya Caryn najua hawezi goma"

BM: "Basi sawa, Wacha tuone vile itakuwa ila hii office yako ina mambo mengi sana tofauti na ile "

Michelle: "Mambo gani tena?"

BM: "Si kama hivyo umeniambia badae unaenda kwenye kikao Cha Board sijui Kuna mambo ya representation, kule hakuna haya mambo labda hivi vikao vya kawaida tu tena ni mwezi hadi mwezi tena vikao vyenyewe vinawahusu sana watu wa sales"

Kwenye Conversation nimetumia neno "Kule" nikimaanisha nilipokuwa nafanya kazi, (kwa Mama Accnt)

Anyway Ila Ofisi anayosimamia Michelle kidogo ina watu wazima nahisi ndio maana Mzee kamuweka Michelle huku, maana unaweza ukawa smart katika kuongoza Kampuni lakini umri ukakuangusha na Nadhani ndicho kilichomfanya Caryn awe Disqualify

Siku zikaenda, Nakumbuka ilikuwa wiki moja kabla kufika October ili Caryn aanze kazi rasmi Mzee akanipigia simu na hapo sijawasiliana na Caryn karibia wiki mbili

Mzee: [emoji338]"Hujambo Kijana wangu"

BM: "Sijambo Mzee Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, hatuonani siku hizi"

BM: "Nipo Mzee ni majukumu tu ya hapa na pale"

Mzee: "Naelewa, ivi ulichukuaga Driving lisence?

BM: "Ndio Mzee Niko nayo"

Mzee: "Sasa kesho mtawasiliana na yule Dereva wangu kuna magari mtaenda kuyachukua mtayaleta nyumbani"

BM: "Sawa Mzee haina shida" [emoji3513]

Ilivyofika kesho yake kweli jamaa akanicheki tukakutana Mnazi Mmoja jamaa alikuja na mshkaji mwingine hata sijawahi kumuona,

Basi tukaenda hadi sehemu husika tukakabidhiwa Gari, Wakati yule Dereva anakabidhiwa funguo (zilikuwa funguo za gari 3) ndio nikajua aina ya magari tuliokuja kuyachukua kasoro funguo moja tu ndio sijaona logo

Funguo moja logo yake ilikuwa VW, yani Volkswagen na nyingine ilikuwa ya BMW, funguo ya 3 kama nilivyosema sikuona logo yake, tukaenda zilipopaki vyuma, jamani vyuma vyuma kweli na zile funguo za gari mbili nilipatia, Alikuwepo BMW X3 na Ile Volkswagen ilikuwa ni Touareg

Gari ya tatu kumbe Ilikuwa ni Audi tena ni Audi Q3 mawazo yangu yalikuwa tofauti kabisa, niliwaza kwenye ma Prado TX, ma Land cruiser V8

Gari ziko 3 na madereva tuko watatu, kiukweli katika Gari zote nilitamani kuendesha Volkswagen kwasababu ndio ilikuwa gari ya maana kuliko zote halafu kingine ni kutaka kupata experience sababu sijawahi kuiendesha zaidi ya VW Tiguan japokuwa brand ya Audi sijawahi kuigusa gari yake hata moja, BMW nimegusa ila sio X3, kwa kifupi ni kwamba siku hiyo gari zote zilizokuwa mbele yangu sikuwahi kuziendesha so nikawa natamani kuziendesha zote ila priority ilikuwa ni VW Touareg

Jamaa alichokifanya akaanza kumpa yule mwenzake funguo ya BMW halafu mm akanipa ya Audi na yeye akabaki na ya Volkswagen ila kwangu ikawa sio mbaya kwasababu kama ningepewa nafasi ya kuchagua kati ya Audi na BMW Bado ningechagua Audi

Gari zilikuwa zishafanyiwa Service na Kila kitu na namba plate inasoma E, tukaanza safari VW ndio ilitangulia ikafuata BMW then wa Audi nikaunga tela, kwenye kisahani Cha speed wote tulikuwa sawa Audi inasoma 260 BMW nayo ina 260 ila Volkswagen ndiye ametuzidi kidogo yeye ana 280, lakini hilo halikumata kwasababu tulikuwa hatuendi mbali

Tukafika Salama nyumbani tukapaki vyuma ila Gari moja tu ikawa imeharibu ambayo ni Toyota Alphard Jeep Wrangler hatukuikuta, wale wenzangu wawili wakaondoka wakaniacha,

Mzee: "Katika maisha yangu yote ya kumiliki magari sijawahi kumiliki wala kuendesha Audi, umeionaje huko barabarani Iko vizuri?"

BM: "Mm mwenyewe Mzee ndio mara ya kwanza naendesha hii Gari, imetulia kiasi chake, ila siwezi kutoa majibu ya uhakika kwasababu Sina uzoefu wa kuendesha magari tofauti tofauti"

Mzee: "Okay, Iko na Body shape Nzuri hata hivyo"

BM: "Inaonesha hukuwahi kuipenda Audi, imekuaje umeiagiza sasa"

Mzee: "Hizi Gari zote sio za kwangu, hiyo Audi ni ya Michelle, BMW ni ya Caryn na Volkswagen ni ya Mama yako"

BM: "Ooh! sasa mbona ww hujajichukulia?"

Mzee: "Si Gari zingine zipo (Jeep & Alphard) nilitaka Kila mtu awe na Gari yake ili kuondoa kero hasa Caryn ni msumbufu sana linapokuja swala la magari"

Mzee: "Unajua Jeep nilijinunulia na Ile Land cruiser ilikuwa kwaajili ya Mama yao halafu wao nikawachukulia Alphard, Cha ajabu wote wakawa hawaitaki, wakiwa na safari zao Caryn atachukua Gari yangu Michelle naye atachukua Gari ya Mama yake"

Wakati huo tunaongea bado tulikuwa Parking, Mama nae akaja akatukuta tunazungumza na Mzee, halafu ni kama vile mama alikuwa anajua Gari zinazokuja ni mbili tu

Mama: "Gari ya Michelle ndio ipi hapa?"

Mzee akamuoneshea Audi Q3 ya Black Metallic

Mama: "Na ya Caryn?"

Mzee akamuoneshea BMW X3 nayo pia ni Black Metallic

Mama: "Ooh, Sasa hiyo gari nyingine ndio ya kwako?

Mzee: "Hapana, mimi ya kwangu si ni Jeep hiyo ni ya kwako"

Mama: "Jamani kulikuwa kuna haja gani ya kununua magari yote haya Wakati magari mengine Bado yapo"

Mzee: "Magari mengine hayo yapi unayoyazungumzia, wewe Gari lako limeharibika (Land Cruiser) ndio maana nimekuchukulia hilo, na hawa watoto nimewachukulia magari yao ili kila mtu ajipange na ratiba zake vizuri"

Mama: "Sawa, acha mimi nikimbie kule msibani japo nikaonekane"

Mzee akawa anampa Mama funguo ya Volkswagen, Mama akakataa

Mama: "Hapana, nitaenda na Toyota (Akimaanisha Alphard) hiyo Gari Bado ni mpya isije ikanisumbua Barabara"

Mzee hakupinga, Mama akatekenya li-Alphard akaondoka, nyumba nzima tukabaki mimi na Mzee pamoja na Mdada wa kazi

Tukahamia Backyard, Tangu Mzee arudi safari hii ndio mara ya kwanza kwenda kukaa Backyard, halafu nilichoki-note leo Mzee anaongea ki friendly zaidi tofauti na Ile siku ya Kikao

Tulivyofika Backyard mada tuliyoanza nayo Mzee aliniuliza kuhusu wale madogo, nikamuelezea ukweli kwamba Dogo hafanyi Biashara kwasasa ila kuna ujuzi anaupata ili kujiandaa kwaajili ya kuja kufanya Biashara hapo badae,

Akauliza wanapoishi nikamuambia wanaishi kwa sister ila nina mpango wa kuchukua nyumba kubwa ili niishi nao

Mzee: "Umenijibu sawa na kile Caryn alichonieleza"

BM; "Ooh kumbe amekuambia?"

Dah! ila huyu Demu miyeyusho kinoma sasa kama ningeongopa ingekuaje na hakunipanga kama amemuambia Mzee

Mzee: "Yeah na pia amesema anataka kukurudisha pale ofisini, sasa sijajua kama utakuwa na muda wa kujigawa"

BM: "Acha tuone kama itawezekana Mzee japo ratiba zangu sio tight sana kwa sasa"

Nikajifanya kuzuga kwamba nina shughuli za kufanya kumbe sina lolote, muda kidogo tukasikia Gate linafunguliwa, Alikuwa ni Caryn

Caryn: "Hi Dad....Mambo BM"

BM: "[emoji1531]"

Mzee: "Hellow, how was your day?"

Caryn: "Great"

Mzee: "Mwenzio yupo wapi"

Caryn: "Nimemuacha ofisini nimeona atanichelewesha, then Dad I saw BMW and others cars, I hope BMW is mine"

Mzee: "Ngoja kwanza....Caryn unajua ww safari zako ni za kibinafsi mwenzako safari zake ni za kiofisi yeye ndiye anapaswa kutumia Gari, kitendo Ulichokifanya sijakipenda hata kidogo"

Caryn: "Lakini Dad yeye mwenyewe kaniruhusu"

Mzee: "Michelle kakuruhusu tu kwasababu anajua hata angekuambia umuachie gari usingekubali"

Caryn: "I swear Dad nilitaka ku request Cab akanambia niondoke tu gari"

Mzee: "Sasa Gari yangu mtaachana nayo, kuanzia kesho Kila mtu atumie Gari yake"

Mzee akampatia Caryn Key ya BMW kisha Caryn akaelekea Parking sijui ndio kaenda kuitest, nikabaki na Mzee

Mzee: "Huyu mtoto anapenda sana Magari utadhani wa kiume, Michelle ndio hana hata time nayo"

BM: "Kweli, mm mwenyewe sijawahi kumuona Michelle akiendesha gari"

Baada ya muda kidogo Caryn akarudi akiwa na furaha akamuambia Baba yake kwamba ameipenda Gari

Mzee: "Sasa hivi wote mnafanya kazi, sitaki kusikia mtu ananiomba Pesa ya mafuta"

Caryn: "But Dad mm bado sijaanza kazi"

Mzee: "Si wiki ijayo tu unaanza kazi, halafu kuhusu kazi naomba usiende huko ukaanza kufukuza watu kazi hovyo"

Caryn: "Dad kama unaona sifai tafuta mtu mwingine wa kufanya hiyo kazi, kama umeamua mm ndio nifanye basi niache na maamuzi nitakayoyafanya"

Mtu mzima nipo pembeni nawasikiliza Baba na Mwana

Caryn: "Mfano kama yule mtu anaye clear mizigo sasa hivi bandari ni mzembe sijapata kuona, ndio maana nataka BM arudi"

Mzee: "Fanya utakavyofanya lakini usiharibu kazi"

BM: "Mzee mm naomba niwaache"

Mzee: "Sawa ww nadhani tutawasiliana sasa "

Nikatoka na Caryn akinisindikiza hadi nje kabisa ya Geti, mm huwaga sina hizi apps za ku request sababu sio mtu wa ku request, usafiri wangu mkubwa ni Boda, Bajaj na daladala, Caryn akani requestia Bolt Wakati tunasubiria Bolt ikabidi nimuulize

BM: "Caryn mbona hukunipanga issue ya kazi hadi Mzee ndio ameniambia"

Caryn: "Kwani sikukuambia?"

BM: "Hujaniambia chochote mimi, Yani Leo ndio Mzee ameniambia na wewe nimekusikia Sasa hivi"

Caryn: "Dah mambo ni mengi kichwani nisamehe Bure"

BM: "Kwahiyo ulivyomwambia Mzee akasemaje"

Caryn: "Dad hawezi nikatalia kitu, na nishaongea Boss wako (Mama Accnt) we jiandae Jumatatu tukutane Kazini"

Dah! ukisikia Second chance ndio hii, kama namuona Accountant na huko ofisini sijui itakuaje yani Caryn na Accountant uwaweke pamoja show yake sijui itakuaje

Bolt ikafika mm nikaondoka, katika zile pesa Milioni 5 nilizopewa na Mama Accnt ilibaki kama 4.5 plus na Ile milioni ya Caryn Jumla inakuwa 5.5 milion sasa kesho ni mwendo wa kucheki na madalali wanitafutie nyumba maana nishapata uhakika wa maisha

Wiki ikaisha sijapata nyumba niliyoipenda halafu nilitaka nihamie kwenye makao mapya kabla sijaanza kazi,

Siku ya kuripoti kazini ikafika hii siku niliambiwa niwahi sana sababu ya vikao ndio siku ambayo Caryn anaenda kuachiwa Ofisi rasmi, ratiba niliyopewa inasoma vikao ni vitatu,

Kikao Cha kwanza kinaanza 08:30hrs ambacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kikao kinawahusu staff wote kwasababu anaenda kutambulishwa MD mpya,

Kikao Cha pili ni After Break time 11:05hrs nacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kitawahusu vichwa vya Kampuni tu, Yani Mama Accnt mwenyewe Secretary, Caryn, Accountant pamona na Mimi

Kikao Cha tatu na Cha mwisho kitafanyika majira ya mchana after Lunch time 14:00hrs ambacho kitaongozwa na Caryn, hiki pia kitahusisha staff wote wa Kampuni kasoro Mama yake Accnt tu

Aisee hii siku nikachelewa Nakumbuka mvua ilinyesha hii siku jam huko barabarani si ya kitoto, hadi nafika ofisini ilikuwa ni saa 08:49hrs, hadi muda huu kikao kilitakiwa kiwe kimeenza Wakati nipo njiani Mama Accnt alinipigia simu akanambia "Unajua wewe ndio unasubiriwa" nikashuka kwenye kidala nikadaka Boda

Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza viwango"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Nikamuangalia Caryn nikakuta yupo serious yani anachokiongea anakimaanisha, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna sehemu Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema


Itaendelea
 
Ilipoishia


Nilivyofika ndani Ofisini kwa Mama yake Accountant Cha kwanza akanitolea bahasha yenye pesa

Mama Accnt: "Kwanza pole, najua mzigo wako haukukufikia"

BM: "Asante Mama"

Safari hii sikuleta maringo ya kutaka kuwekewa pesa kwenye account nikazibeba kama zilivyo,

Mama Accnt: "BM kwanini uliamua kuacha Kazi kwasababu za kipuuzi?"

Nikakumbuka muda mfupi Caryn ametoka humu ndani, atakuwa kamuambia nini huyu Mam

Muendelezo

SEASON 2 Episode 8


BM: "Sababu gani za kipuuzi Mama?"

Mama Accnt: "Unajua ulikosea sana ulitakiwa kunieleza ukweli, japo nilihisi kuna kitu hakipo sawa, nimekuja kujua ukweli too late, laiti ningejua huu ukweli kabla ya kile kikao Cha juzi ningefanya Mpango ukarudi lakini tatizo kule ushaongopa"

Kwani nilikuwa hata na Cha kujibu, nimebaki kimya tu nikimsikiliza Bi mkubwa

Kumbe Accountant aliamua kufunguka Kila Kitu kwa Mama yake, kwa mujibu wa mama yake Accountant baada ya kile kikao kule kwa Mzee alivyorudi nyumbani alimfahamisha Mwanaye mtu atakayekuja kumrithi,

Sasa Mama Accnt akawa anamuambia Mwanaye kwamba huyo mtu anayekuja kuchukua hiyo nafasi ni mkorofi hivyo ajue jinsi ya ku behave,

"Mimi mwanzo nilimpendekeza BM kwasababu najua yupo soft kidogo kama mimi so mngeenda sawa lakini huyu anayekuja itabidi mjipange" Mama Accnt alimuambia Mwanaye, ndio Accountant akaamua kufunguka

Tuliongea kwa muda mrefu kidogo hadi Caryn akatuma text ya kunijulisha kuwa ameondoka, basi nikamalizana na Bi Mkubwa tukaagana nikasepa, kidogo stress zikapungua sababu kibunda kipo Cha kutosha,

Nikampigia Caryn alichonijibu sasa, sijui anajikuta nani huyu mtoto We nitafute kesho kwa sasa schedule yangu Iko tight

Sikutia neno nikakata simu nikaenda Bank chap nika uhifadhi mzigo

Ikapita wiki ya kwanza Michelle akanicheki, kumbe nae kapewa kitengo bhana tena yeye alivyopewa tu immediately akaanza kazi

Sasa nilivyofika kwa Michelle baada ya story za hapa na pale akaanza kunipanga

Michelle: "Ila BM najua Ile siku umeongopa japo sijui ukweli ni upi ila umeongopa, and I'm sure Mzee anajua kabisa kama umemuongopea ila ameuchuna tu?"

BM: "Sasa Michelle unadhani mm ningefanyaje"

Michelle: "Inaonekana maelezo uliyoyatoa Caryn ndio amekupa, kuwa makini na yule mtoto Najua hana roho mbaya lakini sio Kila anachokushauri ukifuate"

BM: "Unamuonea Caryn wa watu bure"

Michelle: "Ila usijali kama mambo yataendelea kuwa magumu nipatie mwezi mmoja nitajua nitakuweka wapi hapa ofisini"

BM: "Katika yote tumeongea hili ndilo la msingi, lakini Baba yako ataona na Dankidanki tu kwenye makampuni yake"

Michelle: "Kuhusu Mzee we usijali, akinigomea mm nitamuambia Caryn aongee nae, mbele ya Caryn najua hawezi goma"

BM: "Basi sawa, Wacha tuone vile itakuwa ila hii office yako ina mambo mengi sana tofauti na ile "

Michelle: "Mambo gani tena?"

BM: "Si kama hivyo umeniambia badae unaenda kwenye kikao Cha Board sijui Kuna mambo ya representation, kule hakuna haya mambo labda hivi vikao vya kawaida tu tena ni mwezi hadi mwezi tena vikao vyenyewe vinawahusu sana watu wa sales"

Kwenye Conversation nimetumia neno "Kule" nikimaanisha nilipokuwa nafanya kazi, (kwa Mama Accnt)

Anyway Ila Ofisi anayosimamia Michelle kidogo ina watu wazima nahisi ndio maana Mzee kamuweka Michelle huku, maana unaweza ukawa smart katika kuongoza Kampuni lakini umri ukakuangusha na Nadhani ndicho kilichomfanya Caryn awe Disqualify

Siku zikaenda, Nakumbuka ilikuwa wiki moja kabla kufika October ili Caryn aanze kazi rasmi Mzee akanipigia simu na hapo sijawasiliana na Caryn karibia wiki mbili

Mzee: [emoji338]"Hujambo Kijana wangu"

BM: "Sijambo Mzee Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, hatuonani siku hizi"

BM: "Nipo Mzee ni majukumu tu ya hapa na pale"

Mzee: "Naelewa, ivi ulichukuaga Driving lisence?

BM: "Ndio Mzee Niko nayo"

Mzee: "Sasa kesho mtawasiliana na yule Dereva wangu kuna magari mtaenda kuyachukua mtayaleta nyumbani"

BM: "Sawa Mzee haina shida" [emoji3513]

Ilivyofika kesho yake kweli jamaa akanicheki tukakutana Mnazi Mmoja jamaa alikuja na mshkaji mwingine hata sijawahi kumuona,

Basi tukaenda hadi sehemu husika tukakabidhiwa Gari, Wakati yule Dereva anakabidhiwa funguo (zilikuwa funguo za gari 3) ndio nikajua aina ya magari tuliokuja kuyachukua kasoro funguo moja tu ndio sijaona logo

Funguo moja logo yake ilikuwa VW, yani Volkswagen na nyingine ilikuwa ya BMW, funguo ya 3 kama nilivyosema sikuona logo yake, tukaenda zilipopaki vyuma, jamani vyuma vyuma kweli na zile funguo za gari mbili nilipatia, Alikuwepo BMW X3 na Ile Volkswagen ilikuwa ni Touareg

Gari ya tatu kumbe Ilikuwa ni Audi tena ni Audi Q3 mawazo yangu yalikuwa tofauti kabisa, niliwaza kwenye ma Prado TX, ma Land cruiser V8

Gari ziko 3 na madereva tuko watatu, kiukweli katika Gari zote nilitamani kuendesha Volkswagen kwasababu ndio ilikuwa gari ya maana kuliko zote halafu kingine ni kutaka kupata experience sababu sijawahi kuiendesha zaidi ya VW Tiguan japokuwa brand ya Audi sijawahi kuigusa gari yake hata moja, BMW nimegusa ila sio X3, kwa kifupi ni kwamba siku hiyo gari zote zilizokuwa mbele yangu sikuwahi kuziendesha so nikawa natamani kuziendesha zote ila priority ilikuwa ni VW Touareg

Jamaa alichokifanya akaanza kumpa yule mwenzake funguo ya BMW halafu mm akanipa ya Audi na yeye akabaki na ya Volkswagen ila kwangu ikawa sio mbaya kwasababu kama ningepewa nafasi ya kuchagua kati ya Audi na BMW Bado ningechagua Audi

Gari zilikuwa zishafanyiwa Service na Kila kitu na namba plate inasoma E, tukaanza safari VW ndio ilitangulia ikafuata BMW then wa Audi nikaunga tela, kwenye kisahani Cha speed wote tulikuwa sawa Audi inasoma 260 BMW nayo ina 260 ila Volkswagen ndiye ametuzidi kidogo yeye ana 280, lakini hilo halikumata kwasababu tulikuwa hatuendi mbali

Tukafika Salama nyumbani tukapaki vyuma ila Gari moja tu ikawa imeharibu ambayo ni Toyota Alphard Jeep Wrangler hatukuikuta, wale wenzangu wawili wakaondoka wakaniacha,

Mzee: "Katika maisha yangu yote ya kumiliki magari sijawahi kumiliki wala kuendesha Audi, umeionaje huko barabarani Iko vizuri?"

BM: "Mm mwenyewe Mzee ndio mara ya kwanza naendesha hii Gari, imetulia kiasi chake, ila siwezi kutoa majibu ya uhakika kwasababu Sina uzoefu wa kuendesha magari tofauti tofauti"

Mzee: "Okay, Iko na Body shape Nzuri hata hivyo"

BM: "Inaonesha hukuwahi kuipenda Audi, imekuaje umeiagiza sasa"

Mzee: "Hizi Gari zote sio za kwangu, hiyo Audi ni ya Michelle, BMW ni ya Caryn na Volkswagen ni ya Mama yako"

BM: "Ooh! sasa mbona ww hujajichukulia?"

Mzee: "Si Gari zingine zipo (Jeep & Alphard) nilitaka Kila mtu awe na Gari yake ili kuondoa kero hasa Caryn ni msumbufu sana linapokuja swala la magari"

Mzee: "Unajua Jeep nilijinunulia na Ile Land cruiser ilikuwa kwaajili ya Mama yao halafu wao nikawachukulia Alphard, Cha ajabu wote wakawa hawaitaki, wakiwa na safari zao Caryn atachukua Gari yangu Michelle naye atachukua Gari ya Mama yake"

Wakati huo tunaongea bado tulikuwa Parking, Mama nae akaja akatukuta tunazungumza na Mzee, halafu ni kama vile mama alikuwa anajua Gari zinazokuja ni mbili tu

Mama: "Gari ya Michelle ndio ipi hapa?"

Mzee akamuoneshea Audi Q3 ya Black Metallic

Mama: "Na ya Caryn?"

Mzee akamuoneshea BMW X3 nayo pia ni Black Metallic

Mama: "Ooh, Sasa hiyo gari nyingine ndio ya kwako?

Mzee: "Hapana, mimi ya kwangu si ni Jeep hiyo ni ya kwako"

Mama: "Jamani kulikuwa kuna haja gani ya kununua magari yote haya Wakati magari mengine Bado yapo"

Mzee: "Magari mengine hayo yapi unayoyazungumzia, wewe Gari lako limeharibika (Land Cruiser) ndio maana nimekuchukulia hilo, na hawa watoto nimewachukulia magari yao ili kila mtu ajipange na ratiba zake vizuri"

Mama: "Sawa, acha mimi nikimbie kule msibani japo nikaonekane"

Mzee akawa anampa Mama funguo ya Volkswagen, Mama akakataa

Mama: "Hapana, nitaenda na Toyota (Akimaanisha Alphard) hiyo Gari Bado ni mpya isije ikanisumbua Barabara"

Mzee hakupinga, Mama akatekenya li-Alphard akaondoka, nyumba nzima tukabaki mimi na Mzee pamoja na Mdada wa kazi

Tukahamia Backyard, Tangu Mzee arudi safari hii ndio mara ya kwanza kwenda kukaa Backyard, halafu nilichoki-note leo Mzee anaongea ki friendly zaidi tofauti na Ile siku ya Kikao

Tulivyofika Backyard mada tuliyoanza nayo Mzee aliniuliza kuhusu wale madogo, nikamuelezea ukweli kwamba Dogo hafanyi Biashara kwasasa ila kuna ujuzi anaupata ili kujiandaa kwaajili ya kuja kufanya Biashara hapo badae,

Akauliza wanapoishi nikamuambia wanaishi kwa sister ila nina mpango wa kuchukua nyumba kubwa ili niishi nao

Mzee: "Umenijibu sawa na kile Caryn alichonieleza"

BM; "Ooh kumbe amekuambia?"

Dah! ila huyu Demu miyeyusho kinoma sasa kama ningeongopa ingekuaje na hakunipanga kama amemuambia Mzee

Mzee: "Yeah na pia amesema anataka kukurudisha pale ofisini, sasa sijajua kama utakuwa na muda wa kujigawa"

BM: "Acha tuone kama itawezekana Mzee japo ratiba zangu sio tight sana kwa sasa"

Nikajifanya kuzuga kwamba nina shughuli za kufanya kumbe sina lolote, muda kidogo tukasikia Gate linafunguliwa, Alikuwa ni Caryn

Caryn: "Hi Dad....Mambo BM"

BM: "[emoji1531]"

Mzee: "Hellow, how was your day?"

Caryn: "Great"

Mzee: "Mwenzio yupo wapi"

Caryn: "Nimemuacha ofisini nimeona atanichelewesha, then Dad I saw BMW and others cars, I hope BMW is mine"

Mzee: "Ngoja kwanza....Caryn unajua ww safari zako ni za kibinafsi mwenzako safari zake ni za kiofisi yeye ndiye anapaswa kutumia Gari, kitendo Ulichokifanya sijakipenda hata kidogo"

Caryn: "Lakini Dad yeye mwenyewe kaniruhusu"

Mzee: "Michelle kakuruhusu tu kwasababu anajua hata angekuambia umuachie gari usingekubali"

Caryn: "I swear Dad nilitaka ku request Cab akanambia niondoke tu gari"

Mzee: "Sasa Gari yangu mtaachana nayo, kuanzia kesho Kila mtu atumie Gari yake"

Mzee akampatia Caryn Key ya BMW kisha Caryn akaelekea Parking sijui ndio kaenda kuitest, nikabaki na Mzee

Mzee: "Huyu mtoto anapenda sana Magari utadhani wa kiume, Michelle ndio hana hata time nayo"

BM: "Kweli, mm mwenyewe sijawahi kumuona Michelle akiendesha gari"

Baada ya muda kidogo Caryn akarudi akiwa na furaha akamuambia Baba yake kwamba ameipenda Gari

Mzee: "Sasa hivi wote mnafanya kazi, sitaki kusikia mtu ananiomba Pesa ya mafuta"

Caryn: "But Dad mm bado sijaanza kazi"

Mzee: "Si wiki ijayo tu unaanza kazi, halafu kuhusu kazi naomba usiende huko ukaanza kufukuza watu kazi hovyo"

Caryn: "Dad kama unaona sifai tafuta mtu mwingine wa kufanya hiyo kazi, kama umeamua mm ndio nifanye basi niache na maamuzi nitakayoyafanya"

Mtu mzima nipo pembeni nawasikiliza Baba na Mwana

Caryn: "Mfano kama yule mtu anaye clear mizigo sasa hivi bandari ni mzembe sijapata kuona, ndio maana nataka BM arudi"

Mzee: "Fanya utakavyofanya lakini usiharibu kazi"

BM: "Mzee mm naomba niwaache"

Mzee: "Sawa ww nadhani tutawasiliana sasa "

Nikatoka na Caryn akinisindikiza hadi nje kabisa ya Geti, mm huwaga sina hizi apps za ku request sababu sio mtu wa ku request, usafiri wangu mkubwa ni Boda, Bajaj na daladala, Caryn akani requestia Bolt Wakati tunasubiria Bolt ikabidi nimuulize

BM: "Caryn mbona hukunipanga issue ya kazi hadi Mzee ndio ameniambia"

Caryn: "Kwani sikukuambia?"

BM: "Hujaniambia chochote mimi, Yani Leo ndio Mzee ameniambia na wewe nimekusikia Sasa hivi"

Caryn: "Dah mambo ni mengi kichwani nisamehe Bure"

BM: "Kwahiyo ulivyomwambia Mzee akasemaje"

Caryn: "Dad hawezi nikatalia kitu, na nishaongea Boss wako (Mama Accnt) we jiandae Jumatatu tukutane Kazini"

Dah! ukisikia Second chance ndio hii, kama namuona Accountant na huko ofisini sijui itakuaje yani Caryn na Accountant uwaweke pamoja show yake sijui itakuaje

Bolt ikafika mm nikaondoka, katika zile pesa Milioni 5 nilizopewa na Mama Accnt ilibaki kama 4.5 plus na Ile milioni ya Caryn Jumla inakuwa 5.5 milion sasa kesho ni mwendo wa kucheki na madalali wanitafutie nyumba maana nishapata uhakika wa maisha

Wiki ikaisha sijapata nyumba niliyoipenda halafu nilitaka nihamie kwenye makao mapya kabla sijaanza kazi,

Siku ya kuripoti kazini ikafika hii siku niliambiwa niwahi sana sababu ya vikao ndio siku ambayo Caryn anaenda kuachiwa Ofisi rasmi, ratiba niliyopewa inasoma vikao ni vitatu,

Kikao Cha kwanza kinaanza 08:30hrs ambacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kikao kinawahusu staff wote kwasababu anaenda kutambulishwa MD mpya,

Kikao Cha pili ni After Break time 11:05hrs nacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kitawahusu vichwa vya Kampuni tu, Yani Mama Accnt mwenyewe Secretary, Caryn, Accountant pamona na Mimi

Kikao Cha tatu na Cha mwisho kitafanyika majira ya mchana after Lunch time 14:00hrs ambacho kitaongozwa na Caryn, hiki pia kitahusisha staff wote wa Kampuni kasoro Mama yake Accnt tu

Aisee hii siku nikachelewa Nakumbuka mvua ilinyesha hii siku jam huko barabarani si ya kitoto, hadi nafika ofisini ilikuwa ni saa 08:49hrs, hadi muda huu kikao kilitakiwa kiwe kimeenza Wakati nipo njiani Mama Accnt alinipigia simu akanambia "Unajua wewe ndio unasubiriwa" nikashuka kwenye kidala nikadaka Boda

Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza viwango"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Nikamuangalia Caryn nikakuta yupo serious yani anachokiongea anakimaanisha, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna sehemu Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema


Itaendelea
Nukta
 
Ilipoishia


Nilivyofika ndani Ofisini kwa Mama yake Accountant Cha kwanza akanitolea bahasha yenye pesa

Mama Accnt: "Kwanza pole, najua mzigo wako haukukufikia"

BM: "Asante Mama"

Safari hii sikuleta maringo ya kutaka kuwekewa pesa kwenye account nikazibeba kama zilivyo,

Mama Accnt: "BM kwanini uliamua kuacha Kazi kwasababu za kipuuzi?"

Nikakumbuka muda mfupi Caryn ametoka humu ndani, atakuwa kamuambia nini huyu Mam

Muendelezo

SEASON 2 Episode 8


BM: "Sababu gani za kipuuzi Mama?"

Mama Accnt: "Unajua ulikosea sana ulitakiwa kunieleza ukweli, japo nilihisi kuna kitu hakipo sawa, nimekuja kujua ukweli too late, laiti ningejua huu ukweli kabla ya kile kikao Cha juzi ningefanya Mpango ukarudi lakini tatizo kule ushaongopa"

Kwani nilikuwa hata na Cha kujibu, nimebaki kimya tu nikimsikiliza Bi mkubwa

Kumbe Accountant aliamua kufunguka Kila Kitu kwa Mama yake, kwa mujibu wa mama yake Accountant baada ya kile kikao kule kwa Mzee alivyorudi nyumbani alimfahamisha Mwanaye mtu atakayekuja kumrithi,

Sasa Mama Accnt akawa anamuambia Mwanaye kwamba huyo mtu anayekuja kuchukua hiyo nafasi ni mkorofi hivyo ajue jinsi ya ku behave,

"Mimi mwanzo nilimpendekeza BM kwasababu najua yupo soft kidogo kama mimi so mngeenda sawa lakini huyu anayekuja itabidi mjipange" Mama Accnt alimuambia Mwanaye, ndio Accountant akaamua kufunguka

Tuliongea kwa muda mrefu kidogo hadi Caryn akatuma text ya kunijulisha kuwa ameondoka, basi nikamalizana na Bi Mkubwa tukaagana nikasepa, kidogo stress zikapungua sababu kibunda kipo Cha kutosha,

Nikampigia Caryn alichonijibu sasa, sijui anajikuta nani huyu mtoto We nitafute kesho kwa sasa schedule yangu Iko tight

Sikutia neno nikakata simu nikaenda Bank chap nika uhifadhi mzigo

Ikapita wiki ya kwanza Michelle akanicheki, kumbe nae kapewa kitengo bhana tena yeye alivyopewa tu immediately akaanza kazi

Sasa nilivyofika kwa Michelle baada ya story za hapa na pale akaanza kunipanga

Michelle: "Ila BM najua Ile siku umeongopa japo sijui ukweli ni upi ila umeongopa, and I'm sure Mzee anajua kabisa kama umemuongopea ila ameuchuna tu?"

BM: "Sasa Michelle unadhani mm ningefanyaje"

Michelle: "Inaonekana maelezo uliyoyatoa Caryn ndio amekupa, kuwa makini na yule mtoto Najua hana roho mbaya lakini sio Kila anachokushauri ukifuate"

BM: "Unamuonea Caryn wa watu bure"

Michelle: "Ila usijali kama mambo yataendelea kuwa magumu nipatie mwezi mmoja nitajua nitakuweka wapi hapa ofisini"

BM: "Katika yote tumeongea hili ndilo la msingi, lakini Baba yako ataona na Dankidanki tu kwenye makampuni yake"

Michelle: "Kuhusu Mzee we usijali, akinigomea mm nitamuambia Caryn aongee nae, mbele ya Caryn najua hawezi goma"

BM: "Basi sawa, Wacha tuone vile itakuwa ila hii office yako ina mambo mengi sana tofauti na ile "

Michelle: "Mambo gani tena?"

BM: "Si kama hivyo umeniambia badae unaenda kwenye kikao Cha Board sijui Kuna mambo ya representation, kule hakuna haya mambo labda hivi vikao vya kawaida tu tena ni mwezi hadi mwezi tena vikao vyenyewe vinawahusu sana watu wa sales"

Kwenye Conversation nimetumia neno "Kule" nikimaanisha nilipokuwa nafanya kazi, (kwa Mama Accnt)

Anyway Ila Ofisi anayosimamia Michelle kidogo ina watu wazima nahisi ndio maana Mzee kamuweka Michelle huku, maana unaweza ukawa smart katika kuongoza Kampuni lakini umri ukakuangusha na Nadhani ndicho kilichomfanya Caryn awe Disqualify

Siku zikaenda, Nakumbuka ilikuwa wiki moja kabla kufika October ili Caryn aanze kazi rasmi Mzee akanipigia simu na hapo sijawasiliana na Caryn karibia wiki mbili

Mzee: [emoji338]"Hujambo Kijana wangu"

BM: "Sijambo Mzee Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, hatuonani siku hizi"

BM: "Nipo Mzee ni majukumu tu ya hapa na pale"

Mzee: "Naelewa, ivi ulichukuaga Driving lisence?

BM: "Ndio Mzee Niko nayo"

Mzee: "Sasa kesho mtawasiliana na yule Dereva wangu kuna magari mtaenda kuyachukua mtayaleta nyumbani"

BM: "Sawa Mzee haina shida" [emoji3513]

Ilivyofika kesho yake kweli jamaa akanicheki tukakutana Mnazi Mmoja jamaa alikuja na mshkaji mwingine hata sijawahi kumuona,

Basi tukaenda hadi sehemu husika tukakabidhiwa Gari, Wakati yule Dereva anakabidhiwa funguo (zilikuwa funguo za gari 3) ndio nikajua aina ya magari tuliokuja kuyachukua kasoro funguo moja tu ndio sijaona logo

Funguo moja logo yake ilikuwa VW, yani Volkswagen na nyingine ilikuwa ya BMW, funguo ya 3 kama nilivyosema sikuona logo yake, tukaenda zilipopaki vyuma, jamani vyuma vyuma kweli na zile funguo za gari mbili nilipatia, Alikuwepo BMW X3 na Ile Volkswagen ilikuwa ni Touareg

Gari ya tatu kumbe Ilikuwa ni Audi tena ni Audi Q3 mawazo yangu yalikuwa tofauti kabisa, niliwaza kwenye ma Prado TX, ma Land cruiser V8

Gari ziko 3 na madereva tuko watatu, kiukweli katika Gari zote nilitamani kuendesha Volkswagen kwasababu ndio ilikuwa gari ya maana kuliko zote halafu kingine ni kutaka kupata experience sababu sijawahi kuiendesha zaidi ya VW Tiguan japokuwa brand ya Audi sijawahi kuigusa gari yake hata moja, BMW nimegusa ila sio X3, kwa kifupi ni kwamba siku hiyo gari zote zilizokuwa mbele yangu sikuwahi kuziendesha so nikawa natamani kuziendesha zote ila priority ilikuwa ni VW Touareg

Jamaa alichokifanya akaanza kumpa yule mwenzake funguo ya BMW halafu mm akanipa ya Audi na yeye akabaki na ya Volkswagen ila kwangu ikawa sio mbaya kwasababu kama ningepewa nafasi ya kuchagua kati ya Audi na BMW Bado ningechagua Audi

Gari zilikuwa zishafanyiwa Service na Kila kitu na namba plate inasoma E, tukaanza safari VW ndio ilitangulia ikafuata BMW then wa Audi nikaunga tela, kwenye kisahani Cha speed wote tulikuwa sawa Audi inasoma 260 BMW nayo ina 260 ila Volkswagen ndiye ametuzidi kidogo yeye ana 280, lakini hilo halikumata kwasababu tulikuwa hatuendi mbali

Tukafika Salama nyumbani tukapaki vyuma ila Gari moja tu ikawa imeharibu ambayo ni Toyota Alphard Jeep Wrangler hatukuikuta, wale wenzangu wawili wakaondoka wakaniacha,

Mzee: "Katika maisha yangu yote ya kumiliki magari sijawahi kumiliki wala kuendesha Audi, umeionaje huko barabarani Iko vizuri?"

BM: "Mm mwenyewe Mzee ndio mara ya kwanza naendesha hii Gari, imetulia kiasi chake, ila siwezi kutoa majibu ya uhakika kwasababu Sina uzoefu wa kuendesha magari tofauti tofauti"

Mzee: "Okay, Iko na Body shape Nzuri hata hivyo"

BM: "Inaonesha hukuwahi kuipenda Audi, imekuaje umeiagiza sasa"

Mzee: "Hizi Gari zote sio za kwangu, hiyo Audi ni ya Michelle, BMW ni ya Caryn na Volkswagen ni ya Mama yako"

BM: "Ooh! sasa mbona ww hujajichukulia?"

Mzee: "Si Gari zingine zipo (Jeep & Alphard) nilitaka Kila mtu awe na Gari yake ili kuondoa kero hasa Caryn ni msumbufu sana linapokuja swala la magari"

Mzee: "Unajua Jeep nilijinunulia na Ile Land cruiser ilikuwa kwaajili ya Mama yao halafu wao nikawachukulia Alphard, Cha ajabu wote wakawa hawaitaki, wakiwa na safari zao Caryn atachukua Gari yangu Michelle naye atachukua Gari ya Mama yake"

Wakati huo tunaongea bado tulikuwa Parking, Mama nae akaja akatukuta tunazungumza na Mzee, halafu ni kama vile mama alikuwa anajua Gari zinazokuja ni mbili tu

Mama: "Gari ya Michelle ndio ipi hapa?"

Mzee akamuoneshea Audi Q3 ya Black Metallic

Mama: "Na ya Caryn?"

Mzee akamuoneshea BMW X3 nayo pia ni Black Metallic

Mama: "Ooh, Sasa hiyo gari nyingine ndio ya kwako?

Mzee: "Hapana, mimi ya kwangu si ni Jeep hiyo ni ya kwako"

Mama: "Jamani kulikuwa kuna haja gani ya kununua magari yote haya Wakati magari mengine Bado yapo"

Mzee: "Magari mengine hayo yapi unayoyazungumzia, wewe Gari lako limeharibika (Land Cruiser) ndio maana nimekuchukulia hilo, na hawa watoto nimewachukulia magari yao ili kila mtu ajipange na ratiba zake vizuri"

Mama: "Sawa, acha mimi nikimbie kule msibani japo nikaonekane"

Mzee akawa anampa Mama funguo ya Volkswagen, Mama akakataa

Mama: "Hapana, nitaenda na Toyota (Akimaanisha Alphard) hiyo Gari Bado ni mpya isije ikanisumbua Barabara"

Mzee hakupinga, Mama akatekenya li-Alphard akaondoka, nyumba nzima tukabaki mimi na Mzee pamoja na Mdada wa kazi

Tukahamia Backyard, Tangu Mzee arudi safari hii ndio mara ya kwanza kwenda kukaa Backyard, halafu nilichoki-note leo Mzee anaongea ki friendly zaidi tofauti na Ile siku ya Kikao

Tulivyofika Backyard mada tuliyoanza nayo Mzee aliniuliza kuhusu wale madogo, nikamuelezea ukweli kwamba Dogo hafanyi Biashara kwasasa ila kuna ujuzi anaupata ili kujiandaa kwaajili ya kuja kufanya Biashara hapo badae,

Akauliza wanapoishi nikamuambia wanaishi kwa sister ila nina mpango wa kuchukua nyumba kubwa ili niishi nao

Mzee: "Umenijibu sawa na kile Caryn alichonieleza"

BM; "Ooh kumbe amekuambia?"

Dah! ila huyu Demu miyeyusho kinoma sasa kama ningeongopa ingekuaje na hakunipanga kama amemuambia Mzee

Mzee: "Yeah na pia amesema anataka kukurudisha pale ofisini, sasa sijajua kama utakuwa na muda wa kujigawa"

BM: "Acha tuone kama itawezekana Mzee japo ratiba zangu sio tight sana kwa sasa"

Nikajifanya kuzuga kwamba nina shughuli za kufanya kumbe sina lolote, muda kidogo tukasikia Gate linafunguliwa, Alikuwa ni Caryn

Caryn: "Hi Dad....Mambo BM"

BM: "[emoji1531]"

Mzee: "Hellow, how was your day?"

Caryn: "Great"

Mzee: "Mwenzio yupo wapi"

Caryn: "Nimemuacha ofisini nimeona atanichelewesha, then Dad I saw BMW and others cars, I hope BMW is mine"

Mzee: "Ngoja kwanza....Caryn unajua ww safari zako ni za kibinafsi mwenzako safari zake ni za kiofisi yeye ndiye anapaswa kutumia Gari, kitendo Ulichokifanya sijakipenda hata kidogo"

Caryn: "Lakini Dad yeye mwenyewe kaniruhusu"

Mzee: "Michelle kakuruhusu tu kwasababu anajua hata angekuambia umuachie gari usingekubali"

Caryn: "I swear Dad nilitaka ku request Cab akanambia niondoke tu gari"

Mzee: "Sasa Gari yangu mtaachana nayo, kuanzia kesho Kila mtu atumie Gari yake"

Mzee akampatia Caryn Key ya BMW kisha Caryn akaelekea Parking sijui ndio kaenda kuitest, nikabaki na Mzee

Mzee: "Huyu mtoto anapenda sana Magari utadhani wa kiume, Michelle ndio hana hata time nayo"

BM: "Kweli, mm mwenyewe sijawahi kumuona Michelle akiendesha gari"

Baada ya muda kidogo Caryn akarudi akiwa na furaha akamuambia Baba yake kwamba ameipenda Gari

Mzee: "Sasa hivi wote mnafanya kazi, sitaki kusikia mtu ananiomba Pesa ya mafuta"

Caryn: "But Dad mm bado sijaanza kazi"

Mzee: "Si wiki ijayo tu unaanza kazi, halafu kuhusu kazi naomba usiende huko ukaanza kufukuza watu kazi hovyo"

Caryn: "Dad kama unaona sifai tafuta mtu mwingine wa kufanya hiyo kazi, kama umeamua mm ndio nifanye basi niache na maamuzi nitakayoyafanya"

Mtu mzima nipo pembeni nawasikiliza Baba na Mwana

Caryn: "Mfano kama yule mtu anaye clear mizigo sasa hivi bandari ni mzembe sijapata kuona, ndio maana nataka BM arudi"

Mzee: "Fanya utakavyofanya lakini usiharibu kazi"

BM: "Mzee mm naomba niwaache"

Mzee: "Sawa ww nadhani tutawasiliana sasa "

Nikatoka na Caryn akinisindikiza hadi nje kabisa ya Geti, mm huwaga sina hizi apps za ku request sababu sio mtu wa ku request, usafiri wangu mkubwa ni Boda, Bajaj na daladala, Caryn akani requestia Bolt Wakati tunasubiria Bolt ikabidi nimuulize

BM: "Caryn mbona hukunipanga issue ya kazi hadi Mzee ndio ameniambia"

Caryn: "Kwani sikukuambia?"

BM: "Hujaniambia chochote mimi, Yani Leo ndio Mzee ameniambia na wewe nimekusikia Sasa hivi"

Caryn: "Dah mambo ni mengi kichwani nisamehe Bure"

BM: "Kwahiyo ulivyomwambia Mzee akasemaje"

Caryn: "Dad hawezi nikatalia kitu, na nishaongea Boss wako (Mama Accnt) we jiandae Jumatatu tukutane Kazini"

Dah! ukisikia Second chance ndio hii, kama namuona Accountant na huko ofisini sijui itakuaje yani Caryn na Accountant uwaweke pamoja show yake sijui itakuaje

Bolt ikafika mm nikaondoka, katika zile pesa Milioni 5 nilizopewa na Mama Accnt ilibaki kama 4.5 plus na Ile milioni ya Caryn Jumla inakuwa 5.5 milion sasa kesho ni mwendo wa kucheki na madalali wanitafutie nyumba maana nishapata uhakika wa maisha

Wiki ikaisha sijapata nyumba niliyoipenda halafu nilitaka nihamie kwenye makao mapya kabla sijaanza kazi,

Siku ya kuripoti kazini ikafika hii siku niliambiwa niwahi sana sababu ya vikao ndio siku ambayo Caryn anaenda kuachiwa Ofisi rasmi, ratiba niliyopewa inasoma vikao ni vitatu,

Kikao Cha kwanza kinaanza 08:30hrs ambacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kikao kinawahusu staff wote kwasababu anaenda kutambulishwa MD mpya,

Kikao Cha pili ni After Break time 11:05hrs nacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kitawahusu vichwa vya Kampuni tu, Yani Mama Accnt mwenyewe Secretary, Caryn, Accountant pamona na Mimi

Kikao Cha tatu na Cha mwisho kitafanyika majira ya mchana after Lunch time 14:00hrs ambacho kitaongozwa na Caryn, hiki pia kitahusisha staff wote wa Kampuni kasoro Mama yake Accnt tu

Aisee hii siku nikachelewa Nakumbuka mvua ilinyesha hii siku jam huko barabarani si ya kitoto, hadi nafika ofisini ilikuwa ni saa 08:49hrs, hadi muda huu kikao kilitakiwa kiwe kimeenza Wakati nipo njiani Mama Accnt alinipigia simu akanambia "Unajua wewe ndio unasubiriwa" nikashuka kwenye kidala nikadaka Boda

Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza viwango"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Nikamuangalia Caryn nikakuta yupo serious yani anachokiongea anakimaanisha, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna sehemu Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema


Itaendelea
"Binti kaa kimyaaa'
Kama napata picha vile battle linalokuja hapo...acc atapata tabu sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ilipoishia


Nilivyofika ndani Ofisini kwa Mama yake Accountant Cha kwanza akanitolea bahasha yenye pesa

Mama Accnt: "Kwanza pole, najua mzigo wako haukukufikia"

BM: "Asante Mama"

Safari hii sikuleta maringo ya kutaka kuwekewa pesa kwenye account nikazibeba kama zilivyo,

Mama Accnt: "BM kwanini uliamua kuacha Kazi kwasababu za kipuuzi?"

Nikakumbuka muda mfupi Caryn ametoka humu ndani, atakuwa kamuambia nini huyu Mam

Muendelezo

SEASON 2 Episode 8


BM: "Sababu gani za kipuuzi Mama?"

Mama Accnt: "Unajua ulikosea sana ulitakiwa kunieleza ukweli, japo nilihisi kuna kitu hakipo sawa, nimekuja kujua ukweli too late, laiti ningejua huu ukweli kabla ya kile kikao Cha juzi ningefanya Mpango ukarudi lakini tatizo kule ushaongopa"

Kwani nilikuwa hata na Cha kujibu, nimebaki kimya tu nikimsikiliza Bi mkubwa

Kumbe Accountant aliamua kufunguka Kila Kitu kwa Mama yake, kwa mujibu wa mama yake Accountant baada ya kile kikao kule kwa Mzee alivyorudi nyumbani alimfahamisha Mwanaye mtu atakayekuja kumrithi,

Sasa Mama Accnt akawa anamuambia Mwanaye kwamba huyo mtu anayekuja kuchukua hiyo nafasi ni mkorofi hivyo ajue jinsi ya ku behave,

"Mimi mwanzo nilimpendekeza BM kwasababu najua yupo soft kidogo kama mimi so mngeenda sawa lakini huyu anayekuja itabidi mjipange" Mama Accnt alimuambia Mwanaye, ndio Accountant akaamua kufunguka

Tuliongea kwa muda mrefu kidogo hadi Caryn akatuma text ya kunijulisha kuwa ameondoka, basi nikamalizana na Bi Mkubwa tukaagana nikasepa, kidogo stress zikapungua sababu kibunda kipo Cha kutosha,

Nikampigia Caryn alichonijibu sasa, sijui anajikuta nani huyu mtoto We nitafute kesho kwa sasa schedule yangu Iko tight

Sikutia neno nikakata simu nikaenda Bank chap nika uhifadhi mzigo

Ikapita wiki ya kwanza Michelle akanicheki, kumbe nae kapewa kitengo bhana tena yeye alivyopewa tu immediately akaanza kazi

Sasa nilivyofika kwa Michelle baada ya story za hapa na pale akaanza kunipanga

Michelle: "Ila BM najua Ile siku umeongopa japo sijui ukweli ni upi ila umeongopa, and I'm sure Mzee anajua kabisa kama umemuongopea ila ameuchuna tu?"

BM: "Sasa Michelle unadhani mm ningefanyaje"

Michelle: "Inaonekana maelezo uliyoyatoa Caryn ndio amekupa, kuwa makini na yule mtoto Najua hana roho mbaya lakini sio Kila anachokushauri ukifuate"

BM: "Unamuonea Caryn wa watu bure"

Michelle: "Ila usijali kama mambo yataendelea kuwa magumu nipatie mwezi mmoja nitajua nitakuweka wapi hapa ofisini"

BM: "Katika yote tumeongea hili ndilo la msingi, lakini Baba yako ataona na Dankidanki tu kwenye makampuni yake"

Michelle: "Kuhusu Mzee we usijali, akinigomea mm nitamuambia Caryn aongee nae, mbele ya Caryn najua hawezi goma"

BM: "Basi sawa, Wacha tuone vile itakuwa ila hii office yako ina mambo mengi sana tofauti na ile "

Michelle: "Mambo gani tena?"

BM: "Si kama hivyo umeniambia badae unaenda kwenye kikao Cha Board sijui Kuna mambo ya representation, kule hakuna haya mambo labda hivi vikao vya kawaida tu tena ni mwezi hadi mwezi tena vikao vyenyewe vinawahusu sana watu wa sales"

Kwenye Conversation nimetumia neno "Kule" nikimaanisha nilipokuwa nafanya kazi, (kwa Mama Accnt)

Anyway Ila Ofisi anayosimamia Michelle kidogo ina watu wazima nahisi ndio maana Mzee kamuweka Michelle huku, maana unaweza ukawa smart katika kuongoza Kampuni lakini umri ukakuangusha na Nadhani ndicho kilichomfanya Caryn awe Disqualify

Siku zikaenda, Nakumbuka ilikuwa wiki moja kabla kufika October ili Caryn aanze kazi rasmi Mzee akanipigia simu na hapo sijawasiliana na Caryn karibia wiki mbili

Mzee: [emoji338]"Hujambo Kijana wangu"

BM: "Sijambo Mzee Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, hatuonani siku hizi"

BM: "Nipo Mzee ni majukumu tu ya hapa na pale"

Mzee: "Naelewa, ivi ulichukuaga Driving lisence?

BM: "Ndio Mzee Niko nayo"

Mzee: "Sasa kesho mtawasiliana na yule Dereva wangu kuna magari mtaenda kuyachukua mtayaleta nyumbani"

BM: "Sawa Mzee haina shida" [emoji3513]

Ilivyofika kesho yake kweli jamaa akanicheki tukakutana Mnazi Mmoja jamaa alikuja na mshkaji mwingine hata sijawahi kumuona,

Basi tukaenda hadi sehemu husika tukakabidhiwa Gari, Wakati yule Dereva anakabidhiwa funguo (zilikuwa funguo za gari 3) ndio nikajua aina ya magari tuliokuja kuyachukua kasoro funguo moja tu ndio sijaona logo

Funguo moja logo yake ilikuwa VW, yani Volkswagen na nyingine ilikuwa ya BMW, funguo ya 3 kama nilivyosema sikuona logo yake, tukaenda zilipopaki vyuma, jamani vyuma vyuma kweli na zile funguo za gari mbili nilipatia, Alikuwepo BMW X3 na Ile Volkswagen ilikuwa ni Touareg

Gari ya tatu kumbe Ilikuwa ni Audi tena ni Audi Q3 mawazo yangu yalikuwa tofauti kabisa, niliwaza kwenye ma Prado TX, ma Land cruiser V8

Gari ziko 3 na madereva tuko watatu, kiukweli katika Gari zote nilitamani kuendesha Volkswagen kwasababu ndio ilikuwa gari ya maana kuliko zote halafu kingine ni kutaka kupata experience sababu sijawahi kuiendesha zaidi ya VW Tiguan japokuwa brand ya Audi sijawahi kuigusa gari yake hata moja, BMW nimegusa ila sio X3, kwa kifupi ni kwamba siku hiyo gari zote zilizokuwa mbele yangu sikuwahi kuziendesha so nikawa natamani kuziendesha zote ila priority ilikuwa ni VW Touareg

Jamaa alichokifanya akaanza kumpa yule mwenzake funguo ya BMW halafu mm akanipa ya Audi na yeye akabaki na ya Volkswagen ila kwangu ikawa sio mbaya kwasababu kama ningepewa nafasi ya kuchagua kati ya Audi na BMW Bado ningechagua Audi

Gari zilikuwa zishafanyiwa Service na Kila kitu na namba plate inasoma E, tukaanza safari VW ndio ilitangulia ikafuata BMW then wa Audi nikaunga tela, kwenye kisahani Cha speed wote tulikuwa sawa Audi inasoma 260 BMW nayo ina 260 ila Volkswagen ndiye ametuzidi kidogo yeye ana 280, lakini hilo halikumata kwasababu tulikuwa hatuendi mbali

Tukafika Salama nyumbani tukapaki vyuma ila Gari moja tu ikawa imeharibu ambayo ni Toyota Alphard Jeep Wrangler hatukuikuta, wale wenzangu wawili wakaondoka wakaniacha,

Mzee: "Katika maisha yangu yote ya kumiliki magari sijawahi kumiliki wala kuendesha Audi, umeionaje huko barabarani Iko vizuri?"

BM: "Mm mwenyewe Mzee ndio mara ya kwanza naendesha hii Gari, imetulia kiasi chake, ila siwezi kutoa majibu ya uhakika kwasababu Sina uzoefu wa kuendesha magari tofauti tofauti"

Mzee: "Okay, Iko na Body shape Nzuri hata hivyo"

BM: "Inaonesha hukuwahi kuipenda Audi, imekuaje umeiagiza sasa"

Mzee: "Hizi Gari zote sio za kwangu, hiyo Audi ni ya Michelle, BMW ni ya Caryn na Volkswagen ni ya Mama yako"

BM: "Ooh! sasa mbona ww hujajichukulia?"

Mzee: "Si Gari zingine zipo (Jeep & Alphard) nilitaka Kila mtu awe na Gari yake ili kuondoa kero hasa Caryn ni msumbufu sana linapokuja swala la magari"

Mzee: "Unajua Jeep nilijinunulia na Ile Land cruiser ilikuwa kwaajili ya Mama yao halafu wao nikawachukulia Alphard, Cha ajabu wote wakawa hawaitaki, wakiwa na safari zao Caryn atachukua Gari yangu Michelle naye atachukua Gari ya Mama yake"

Wakati huo tunaongea bado tulikuwa Parking, Mama nae akaja akatukuta tunazungumza na Mzee, halafu ni kama vile mama alikuwa anajua Gari zinazokuja ni mbili tu

Mama: "Gari ya Michelle ndio ipi hapa?"

Mzee akamuoneshea Audi Q3 ya Black Metallic

Mama: "Na ya Caryn?"

Mzee akamuoneshea BMW X3 nayo pia ni Black Metallic

Mama: "Ooh, Sasa hiyo gari nyingine ndio ya kwako?

Mzee: "Hapana, mimi ya kwangu si ni Jeep hiyo ni ya kwako"

Mama: "Jamani kulikuwa kuna haja gani ya kununua magari yote haya Wakati magari mengine Bado yapo"

Mzee: "Magari mengine hayo yapi unayoyazungumzia, wewe Gari lako limeharibika (Land Cruiser) ndio maana nimekuchukulia hilo, na hawa watoto nimewachukulia magari yao ili kila mtu ajipange na ratiba zake vizuri"

Mama: "Sawa, acha mimi nikimbie kule msibani japo nikaonekane"

Mzee akawa anampa Mama funguo ya Volkswagen, Mama akakataa

Mama: "Hapana, nitaenda na Toyota (Akimaanisha Alphard) hiyo Gari Bado ni mpya isije ikanisumbua Barabara"

Mzee hakupinga, Mama akatekenya li-Alphard akaondoka, nyumba nzima tukabaki mimi na Mzee pamoja na Mdada wa kazi

Tukahamia Backyard, Tangu Mzee arudi safari hii ndio mara ya kwanza kwenda kukaa Backyard, halafu nilichoki-note leo Mzee anaongea ki friendly zaidi tofauti na Ile siku ya Kikao

Tulivyofika Backyard mada tuliyoanza nayo Mzee aliniuliza kuhusu wale madogo, nikamuelezea ukweli kwamba Dogo hafanyi Biashara kwasasa ila kuna ujuzi anaupata ili kujiandaa kwaajili ya kuja kufanya Biashara hapo badae,

Akauliza wanapoishi nikamuambia wanaishi kwa sister ila nina mpango wa kuchukua nyumba kubwa ili niishi nao

Mzee: "Umenijibu sawa na kile Caryn alichonieleza"

BM; "Ooh kumbe amekuambia?"

Dah! ila huyu Demu miyeyusho kinoma sasa kama ningeongopa ingekuaje na hakunipanga kama amemuambia Mzee

Mzee: "Yeah na pia amesema anataka kukurudisha pale ofisini, sasa sijajua kama utakuwa na muda wa kujigawa"

BM: "Acha tuone kama itawezekana Mzee japo ratiba zangu sio tight sana kwa sasa"

Nikajifanya kuzuga kwamba nina shughuli za kufanya kumbe sina lolote, muda kidogo tukasikia Gate linafunguliwa, Alikuwa ni Caryn

Caryn: "Hi Dad....Mambo BM"

BM: "[emoji1531]"

Mzee: "Hellow, how was your day?"

Caryn: "Great"

Mzee: "Mwenzio yupo wapi"

Caryn: "Nimemuacha ofisini nimeona atanichelewesha, then Dad I saw BMW and others cars, I hope BMW is mine"

Mzee: "Ngoja kwanza....Caryn unajua ww safari zako ni za kibinafsi mwenzako safari zake ni za kiofisi yeye ndiye anapaswa kutumia Gari, kitendo Ulichokifanya sijakipenda hata kidogo"

Caryn: "Lakini Dad yeye mwenyewe kaniruhusu"

Mzee: "Michelle kakuruhusu tu kwasababu anajua hata angekuambia umuachie gari usingekubali"

Caryn: "I swear Dad nilitaka ku request Cab akanambia niondoke tu gari"

Mzee: "Sasa Gari yangu mtaachana nayo, kuanzia kesho Kila mtu atumie Gari yake"

Mzee akampatia Caryn Key ya BMW kisha Caryn akaelekea Parking sijui ndio kaenda kuitest, nikabaki na Mzee

Mzee: "Huyu mtoto anapenda sana Magari utadhani wa kiume, Michelle ndio hana hata time nayo"

BM: "Kweli, mm mwenyewe sijawahi kumuona Michelle akiendesha gari"

Baada ya muda kidogo Caryn akarudi akiwa na furaha akamuambia Baba yake kwamba ameipenda Gari

Mzee: "Sasa hivi wote mnafanya kazi, sitaki kusikia mtu ananiomba Pesa ya mafuta"

Caryn: "But Dad mm bado sijaanza kazi"

Mzee: "Si wiki ijayo tu unaanza kazi, halafu kuhusu kazi naomba usiende huko ukaanza kufukuza watu kazi hovyo"

Caryn: "Dad kama unaona sifai tafuta mtu mwingine wa kufanya hiyo kazi, kama umeamua mm ndio nifanye basi niache na maamuzi nitakayoyafanya"

Mtu mzima nipo pembeni nawasikiliza Baba na Mwana

Caryn: "Mfano kama yule mtu anaye clear mizigo sasa hivi bandari ni mzembe sijapata kuona, ndio maana nataka BM arudi"

Mzee: "Fanya utakavyofanya lakini usiharibu kazi"

BM: "Mzee mm naomba niwaache"

Mzee: "Sawa ww nadhani tutawasiliana sasa "

Nikatoka na Caryn akinisindikiza hadi nje kabisa ya Geti, mm huwaga sina hizi apps za ku request sababu sio mtu wa ku request, usafiri wangu mkubwa ni Boda, Bajaj na daladala, Caryn akani requestia Bolt Wakati tunasubiria Bolt ikabidi nimuulize

BM: "Caryn mbona hukunipanga issue ya kazi hadi Mzee ndio ameniambia"

Caryn: "Kwani sikukuambia?"

BM: "Hujaniambia chochote mimi, Yani Leo ndio Mzee ameniambia na wewe nimekusikia Sasa hivi"

Caryn: "Dah mambo ni mengi kichwani nisamehe Bure"

BM: "Kwahiyo ulivyomwambia Mzee akasemaje"

Caryn: "Dad hawezi nikatalia kitu, na nishaongea Boss wako (Mama Accnt) we jiandae Jumatatu tukutane Kazini"

Dah! ukisikia Second chance ndio hii, kama namuona Accountant na huko ofisini sijui itakuaje yani Caryn na Accountant uwaweke pamoja show yake sijui itakuaje

Bolt ikafika mm nikaondoka, katika zile pesa Milioni 5 nilizopewa na Mama Accnt ilibaki kama 4.5 plus na Ile milioni ya Caryn Jumla inakuwa 5.5 milion sasa kesho ni mwendo wa kucheki na madalali wanitafutie nyumba maana nishapata uhakika wa maisha

Wiki ikaisha sijapata nyumba niliyoipenda halafu nilitaka nihamie kwenye makao mapya kabla sijaanza kazi,

Siku ya kuripoti kazini ikafika hii siku niliambiwa niwahi sana sababu ya vikao ndio siku ambayo Caryn anaenda kuachiwa Ofisi rasmi, ratiba niliyopewa inasoma vikao ni vitatu,

Kikao Cha kwanza kinaanza 08:30hrs ambacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kikao kinawahusu staff wote kwasababu anaenda kutambulishwa MD mpya,

Kikao Cha pili ni After Break time 11:05hrs nacho kitaongozwa na Mama Accnt, hiki kitawahusu vichwa vya Kampuni tu, Yani Mama Accnt mwenyewe Secretary, Caryn, Accountant pamona na Mimi

Kikao Cha tatu na Cha mwisho kitafanyika majira ya mchana after Lunch time 14:00hrs ambacho kitaongozwa na Caryn, hiki pia kitahusisha staff wote wa Kampuni kasoro Mama yake Accnt tu

Aisee hii siku nikachelewa Nakumbuka mvua ilinyesha hii siku jam huko barabarani si ya kitoto, hadi nafika ofisini ilikuwa ni saa 08:49hrs, hadi muda huu kikao kilitakiwa kiwe kimeenza Wakati nipo njiani Mama Accnt alinipigia simu akanambia "Unajua wewe ndio unasubiriwa" nikashuka kwenye kidala nikadaka Boda

Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza viwango"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Nikamuangalia Caryn nikakuta yupo serious yani anachokiongea anakimaanisha, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna sehemu Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema


Itaendelea
Bm unashughuli mzito hapo kwenye hiyo office
 
Back
Top Bottom