Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Labda nianze kwa kuwatoa wasiwasi wale wanaodhani nitasusa Uzi, Hilo haliwezi kutokea, na sikatazi mtu kutoa maoni yake hata mkinitukana mimi nitayasoma tu na uzuri ni kwamba mimi nikiwa free kama hivi huwa nasoma kila comment, hata aliyecomment nukta huwa napitia comment yake

Iko hivi, nilishindwa kutoa muendelezo jumapili Ile iliyopita kama nilivyoahidi kwasababu jumamosi yake nilisafiri na Mzee nimekuja nae Mwanza, na hadi leo hii tupo huku ila tunategemea kurudi week hii hii kama mambo yataenda sawa kama alivyopanga

Na muda mwingi nipo pamoja na Mzee, muda ambao naacha na Mzee ni ule muda wa kwenda kulala tu, sasa siwezi kuwa na Mzee tumekaa Mahali halafu mimi nipo Busy na simu naandika story, (labda mtasema kwanini nisiandike usiku muda ambao nakuwa peke angu) Huo usiku nao nakuwa nimechoka kwanza natakiwa kuwaza ratiba za siku ya kesho yake, so muda kama huo nautumia kupumzika

Yani ni vile tu hamjui na ndio maana nikiona mtu anatoa maoni yake kwa makasiriko mimi huwa hata sikasiriki wala kumshangaa, kwahiyo nikisema niwaendekeze ili kuwafurahisha naweza kujikuta naharibu sehemu nayopatia ugali kwasababu upande mmoja nita loose focus

Kuandika story (labda kichwa changu ni kizito) huwa inanichukua hata siku nzima, nimemshangaa yule jamaa aliyesema Dakika 20 tu inatosha kuandika episode 1, blaza shida sio kuandika tu kwasababu hii sio story ya kutunga, shida ni kukumbuka matukio, mf mdogo ni zile sehemu Caryn anazotema Yai,

Ivi mnajua kwamba asilimia 90 ya conversations anazofanya Caryn ni za Kingereza, na ili story ivutie inanibidi nipite mule mule lakini ninachokifanya kwa baadhi ya sehemu mimi huwa natafsiri maongezi yake kwasababu nikisema niandike Convo zake kama zilivyo kuna baadhi ya watu hawataelewa, kwanza mm mwenyewe kuna misamiati mingine anayoongea siielewi maana yake, so natumia ujanja wangu kuunganisha maneno

SO nimesema huwa inanichukua siku nzima kwasababu ya kukumbuka matukio na kuyapangilia, na siku zote nikimalizaga kuandika episode huwa naipitia kuisoma zaidi ya mara tano, sometimes naweza nisipost siku hiyo niliyomaliza kuandika nikaja kuipost siku inayofuatia, yote hiyo ni ku make sure hakuna tukio muhimu nililolisahau kwasababu ilishanitokea nimepost episode nikaja kukumbuka Kuna Mahali niliruka

Halafu katika maisha usijilinganishe na mtu mwingine, Mimi kunifananisha na watu wengine wanaoleta story humu ni kunikosea, kwasababu I'm sure tumetofautiana katika kila kitu hadi katika ku priorities mambo

Mimi mwenzenu focus yangu ipo kwenye kazi ambayo inaniweka mjini huku Jamii forum huwa nakuja kuchungulia tu nikiwa free kama hivi, na naamini pia nyie mna kazi zenu zinazowaweka mjini mkishapiga pesa huko mtaani ndio mnakuja kuchungulia humu kama BM kaleta muendelezo

Sasa kama Mimi mwenyewe hii story siipi umuhimu wa hivyo kwanini wewe ujichoshe kwa kuipa kipaumbele namna hiyo, kama ni muhimu sana basi wekeni Dau nikirudi Dar nishushe Episodes back to back kwasababu Mzee kaniambia tukirudi nipumzike siku Saba lakini siwezi kufanya hivyo mimi nina maisha gani ya kupumzika bhana, japokuwa nikipumzika mshahara wangu upo pale pale lakini nikienda job ndio napiga hela zaidi

Narudia tena fanyeni kazi hapa tunakuja kubadilishana mawazo na kuburudishana tu....au inawezekana wenzangu mnapiga pesa huku mmekaa!? kama ndio hivyo wekeni Dau mezani na mimi nipige pesa huku nimekaa kwa kuandika story. Mkifanya hivyo mm nitapumzika hiyo week moja ya Mzee aliyonambia na focus yangu yote nitaihamishia hapa......Deal???

Kwaherini bhana Mzee ni kama anakaribia kutoka lunch time hii

Wale mliokua mnataka episode iyo hapa. Tusubiri inayofata sasa
 
Labda nianze kwa kuwatoa wasiwasi wale wanaodhani nitasusa Uzi, Hilo haliwezi kutokea, na sikatazi mtu kutoa maoni yake hata mkinitukana mimi nitayasoma tu na uzuri ni kwamba mimi nikiwa free kama hivi huwa nasoma kila comment, hata aliyecomment nukta huwa napitia comment yake

Iko hivi, nilishindwa kutoa muendelezo jumapili Ile iliyopita kama nilivyoahidi kwasababu jumamosi yake nilisafiri na Mzee nimekuja nae Mwanza, na hadi leo hii tupo huku ila tunategemea kurudi week hii hii kama mambo yataenda sawa kama alivyopanga

Na muda mwingi nipo pamoja na Mzee, muda ambao naacha na Mzee ni ule muda wa kwenda kulala tu, sasa siwezi kuwa na Mzee tumekaa Mahali halafu mimi nipo Busy na simu naandika story, (labda mtasema kwanini nisiandike usiku muda ambao nakuwa peke angu) Huo usiku nao nakuwa nimechoka kwanza natakiwa kuwaza ratiba za siku ya kesho yake, so muda kama huo nautumia kupumzika

Yani ni vile tu hamjui na ndio maana nikiona mtu anatoa maoni yake kwa makasiriko mimi huwa hata sikasiriki wala kumshangaa, kwahiyo nikisema niwaendekeze ili kuwafurahisha naweza kujikuta naharibu sehemu nayopatia ugali kwasababu upande mmoja nita loose focus

Kuandika story (labda kichwa changu ni kizito) huwa inanichukua hata siku nzima, nimemshangaa yule jamaa aliyesema Dakika 20 tu inatosha kuandika episode 1, blaza shida sio kuandika tu kwasababu hii sio story ya kutunga, shida ni kukumbuka matukio, mf mdogo ni zile sehemu Caryn anazotema Yai,

Ivi mnajua kwamba asilimia 90 ya conversations anazofanya Caryn ni za Kingereza, na ili story ivutie inanibidi nipite mule mule lakini ninachokifanya kwa baadhi ya sehemu mimi huwa natafsiri maongezi yake kwasababu nikisema niandike Convo zake kama zilivyo kuna baadhi ya watu hawataelewa, kwanza mm mwenyewe kuna misamiati mingine anayoongea siielewi maana yake, so natumia ujanja wangu kuunganisha maneno

SO nimesema huwa inanichukua siku nzima kwasababu ya kukumbuka matukio na kuyapangilia, na siku zote nikimalizaga kuandika episode huwa naipitia kuisoma zaidi ya mara tano, sometimes naweza nisipost siku hiyo niliyomaliza kuandika nikaja kuipost siku inayofuatia, yote hiyo ni ku make sure hakuna tukio muhimu nililolisahau kwasababu ilishanitokea nimepost episode nikaja kukumbuka Kuna Mahali niliruka

Halafu katika maisha usijilinganishe na mtu mwingine, Mimi kunifananisha na watu wengine wanaoleta story humu ni kunikosea, kwasababu I'm sure tumetofautiana katika kila kitu hadi katika ku priorities mambo

Mimi mwenzenu focus yangu ipo kwenye kazi ambayo inaniweka mjini huku Jamii forum huwa nakuja kuchungulia tu nikiwa free kama hivi, na naamini pia nyie mna kazi zenu zinazowaweka mjini mkishapiga pesa huko mtaani ndio mnakuja kuchungulia humu kama BM kaleta muendelezo

Sasa kama Mimi mwenyewe hii story siipi umuhimu wa hivyo kwanini wewe ujichoshe kwa kuipa kipaumbele namna hiyo, kama ni muhimu sana basi wekeni Dau nikirudi Dar nishushe Episodes back to back kwasababu Mzee kaniambia tukirudi nipumzike siku Saba lakini siwezi kufanya hivyo mimi nina maisha gani ya kupumzika bhana, japokuwa nikipumzika mshahara wangu upo pale pale lakini nikienda job ndio napiga hela zaidi

Narudia tena fanyeni kazi hapa tunakuja kubadilishana mawazo na kuburudishana tu....au inawezekana wenzangu mnapiga pesa huku mmekaa!? kama ndio hivyo wekeni Dau mezani na mimi nipige pesa huku nimekaa kwa kuandika story. Mkifanya hivyo mm nitapumzika hiyo week moja ya Mzee aliyonambia na focus yangu yote nitaihamishia hapa......Deal???

Kwaherini bhana Mzee ni kama anakaribia kutoka lunch time hii
Stori inakuwa basic needs mie huwa nachungulia nacheka ama nastaajabu namna watu wanavyolia Kama watoto
 
Yaan kama una akil Bm utamuelewa sanaa hyu mwama..kwa tafsir yangu ya kichwa...Bm ana exposure kubwa sna...yaan makuz yake yalikuwa yakishua..afu mbeleni may b wazaz au walez wakayumba..Ingawa mwamba ni mtu wa interaction yaan ukimuweka uswahilin anakaa..ukimweka uchum wa kat ataendana na ww..na ukijileta juu..atakaa saf nq mtaendana..ingawa uwezo wa kusoma mazingira ya ubongo wako anqjua...ni watu wachache sana dunian wana hichi kipaji...MALEZI...ni mmoja wa watu ambao akitaka upotee kwenye raman uwezo huo anao...jamaa akil yake ni kubwa sana...hurusiwi kumuiga...unapotea...lakin kutoa elim kwa jamii uwezo anao mkubwa sana..sasa mnakosoa ya nn...
 
Labda nianze kwa kuwatoa wasiwasi wale wanaodhani nitasusa Uzi, Hilo haliwezi kutokea, na sikatazi mtu kutoa maoni yake hata mkinitukana mimi nitayasoma tu na uzuri ni kwamba mimi nikiwa free kama hivi huwa nasoma kila comment, hata aliyecomment nukta huwa napitia comment yake

Iko hivi, nilishindwa kutoa muendelezo jumapili Ile iliyopita kama nilivyoahidi kwasababu jumamosi yake nilisafiri na Mzee nimekuja nae Mwanza, na hadi leo hii tupo huku ila tunategemea kurudi week hii hii kama mambo yataenda sawa kama alivyopanga

Na muda mwingi nipo pamoja na Mzee, muda ambao naacha na Mzee ni ule muda wa kwenda kulala tu, sasa siwezi kuwa na Mzee tumekaa Mahali halafu mimi nipo Busy na simu naandika story, (labda mtasema kwanini nisiandike usiku muda ambao nakuwa peke angu) Huo usiku nao nakuwa nimechoka kwanza natakiwa kuwaza ratiba za siku ya kesho yake, so muda kama huo nautumia kupumzika

Yani ni vile tu hamjui na ndio maana nikiona mtu anatoa maoni yake kwa makasiriko mimi huwa hata sikasiriki wala kumshangaa, kwahiyo nikisema niwaendekeze ili kuwafurahisha naweza kujikuta naharibu sehemu nayopatia ugali kwasababu upande mmoja nita loose focus

Kuandika story (labda kichwa changu ni kizito) huwa inanichukua hata siku nzima, nimemshangaa yule jamaa aliyesema Dakika 20 tu inatosha kuandika episode 1, blaza shida sio kuandika tu kwasababu hii sio story ya kutunga, shida ni kukumbuka matukio, mf mdogo ni zile sehemu Caryn anazotema Yai,

Ivi mnajua kwamba asilimia 90 ya conversations anazofanya Caryn ni za Kingereza, na ili story ivutie inanibidi nipite mule mule lakini ninachokifanya kwa baadhi ya sehemu mimi huwa natafsiri maongezi yake kwasababu nikisema niandike Convo zake kama zilivyo kuna baadhi ya watu hawataelewa, kwanza mm mwenyewe kuna misamiati mingine anayoongea siielewi maana yake, so natumia ujanja wangu kuunganisha maneno

SO nimesema huwa inanichukua siku nzima kwasababu ya kukumbuka matukio na kuyapangilia, na siku zote nikimalizaga kuandika episode huwa naipitia kuisoma zaidi ya mara tano, sometimes naweza nisipost siku hiyo niliyomaliza kuandika nikaja kuipost siku inayofuatia, yote hiyo ni ku make sure hakuna tukio muhimu nililolisahau kwasababu ilishanitokea nimepost episode nikaja kukumbuka Kuna Mahali niliruka

Halafu katika maisha usijilinganishe na mtu mwingine, Mimi kunifananisha na watu wengine wanaoleta story humu ni kunikosea, kwasababu I'm sure tumetofautiana katika kila kitu hadi katika ku priorities mambo

Mimi mwenzenu focus yangu ipo kwenye kazi ambayo inaniweka mjini huku Jamii forum huwa nakuja kuchungulia tu nikiwa free kama hivi, na naamini pia nyie mna kazi zenu zinazowaweka mjini mkishapiga pesa huko mtaani ndio mnakuja kuchungulia humu kama BM kaleta muendelezo

Sasa kama Mimi mwenyewe hii story siipi umuhimu wa hivyo kwanini wewe ujichoshe kwa kuipa kipaumbele namna hiyo, kama ni muhimu sana basi wekeni Dau nikirudi Dar nishushe Episodes back to back kwasababu Mzee kaniambia tukirudi nipumzike siku Saba lakini siwezi kufanya hivyo mimi nina maisha gani ya kupumzika bhana, japokuwa nikipumzika mshahara wangu upo pale pale lakini nikienda job ndio napiga hela zaidi

Narudia tena fanyeni kazi hapa tunakuja kubadilishana mawazo na kuburudishana tu....au inawezekana wenzangu mnapiga pesa huku mmekaa!? kama ndio hivyo wekeni Dau mezani na mimi nipige pesa huku nimekaa kwa kuandika story. Mkifanya hivyo mm nitapumzika hiyo week moja ya Mzee aliyonambia na focus yangu yote nitaihamishia hapa......Deal???

Kwaherini bhana Mzee ni kama anakaribia kutoka lunch time hii
Achana nao bro hata ukileta muendelezo July sisi tutasoma tu
 
Kuna mzigo wangu umekwama Customs nikamkumbuka Bm mzee wa clearing and forwarding
 
Labda nianze kwa kuwatoa wasiwasi wale wanaodhani nitasusa Uzi, Hilo haliwezi kutokea, na sikatazi mtu kutoa maoni yake hata mkinitukana mimi nitayasoma tu na uzuri ni kwamba mimi nikiwa free kama hivi huwa nasoma kila comment, hata aliyecomment nukta huwa napitia comment yake

Iko hivi, nilishindwa kutoa muendelezo jumapili Ile iliyopita kama nilivyoahidi kwasababu jumamosi yake nilisafiri na Mzee nimekuja nae Mwanza, na hadi leo hii tupo huku ila tunategemea kurudi week hii hii kama mambo yataenda sawa kama alivyopanga

Na muda mwingi nipo pamoja na Mzee, muda ambao naacha na Mzee ni ule muda wa kwenda kulala tu, sasa siwezi kuwa na Mzee tumekaa Mahali halafu mimi nipo Busy na simu naandika story, (labda mtasema kwanini nisiandike usiku muda ambao nakuwa peke angu) Huo usiku nao nakuwa nimechoka kwanza natakiwa kuwaza ratiba za siku ya kesho yake, so muda kama huo nautumia kupumzika

Yani ni vile tu hamjui na ndio maana nikiona mtu anatoa maoni yake kwa makasiriko mimi huwa hata sikasiriki wala kumshangaa, kwahiyo nikisema niwaendekeze ili kuwafurahisha naweza kujikuta naharibu sehemu nayopatia ugali kwasababu upande mmoja nita loose focus

Kuandika story (labda kichwa changu ni kizito) huwa inanichukua hata siku nzima, nimemshangaa yule jamaa aliyesema Dakika 20 tu inatosha kuandika episode 1, blaza shida sio kuandika tu kwasababu hii sio story ya kutunga, shida ni kukumbuka matukio, mf mdogo ni zile sehemu Caryn anazotema Yai,

Ivi mnajua kwamba asilimia 90 ya conversations anazofanya Caryn ni za Kingereza, na ili story ivutie inanibidi nipite mule mule lakini ninachokifanya kwa baadhi ya sehemu mimi huwa natafsiri maongezi yake kwasababu nikisema niandike Convo zake kama zilivyo kuna baadhi ya watu hawataelewa, kwanza mm mwenyewe kuna misamiati mingine anayoongea siielewi maana yake, so natumia ujanja wangu kuunganisha maneno

SO nimesema huwa inanichukua siku nzima kwasababu ya kukumbuka matukio na kuyapangilia, na siku zote nikimalizaga kuandika episode huwa naipitia kuisoma zaidi ya mara tano, sometimes naweza nisipost siku hiyo niliyomaliza kuandika nikaja kuipost siku inayofuatia, yote hiyo ni ku make sure hakuna tukio muhimu nililolisahau kwasababu ilishanitokea nimepost episode nikaja kukumbuka Kuna Mahali niliruka

Halafu katika maisha usijilinganishe na mtu mwingine, Mimi kunifananisha na watu wengine wanaoleta story humu ni kunikosea, kwasababu I'm sure tumetofautiana katika kila kitu hadi katika ku priorities mambo

Mimi mwenzenu focus yangu ipo kwenye kazi ambayo inaniweka mjini huku Jamii forum huwa nakuja kuchungulia tu nikiwa free kama hivi, na naamini pia nyie mna kazi zenu zinazowaweka mjini mkishapiga pesa huko mtaani ndio mnakuja kuchungulia humu kama BM kaleta muendelezo

Sasa kama Mimi mwenyewe hii story siipi umuhimu wa hivyo kwanini wewe ujichoshe kwa kuipa kipaumbele namna hiyo, kama ni muhimu sana basi wekeni Dau nikirudi Dar nishushe Episodes back to back kwasababu Mzee kaniambia tukirudi nipumzike siku Saba lakini siwezi kufanya hivyo mimi nina maisha gani ya kupumzika bhana, japokuwa nikipumzika mshahara wangu upo pale pale lakini nikienda job ndio napiga hela zaidi

Narudia tena fanyeni kazi hapa tunakuja kubadilishana mawazo na kuburudishana tu....au inawezekana wenzangu mnapiga pesa huku mmekaa!? kama ndio hivyo wekeni Dau mezani na mimi nipige pesa huku nimekaa kwa kuandika story. Mkifanya hivyo mm nitapumzika hiyo week moja ya Mzee aliyonambia na focus yangu yote nitaihamishia hapa......Deal???

Kwaherini bhana Mzee ni kama anakaribia kutoka lunch time hii
Mkuu umesomeka vyemaa. Louder and clear
 
Aaaaaah kumbe mkuu swala la kuamua kuleta humu story ni wewe tu na wala sio ubize wala nini.. Maana hapo unasema ulikuwa na MPANGO wa kuleta hiyo story tarehe 5 March ila kwa kuwa umeguswa na comment ya mwamba unasema utaiwahisha.....Safi. Ila hapa chini nina barua yako ya wazi


With all Due respect, siamini kama wewe ni the most busiest person humu ndani. Naheshimu muda wako unaotumia kuandika hii story ila imekuwa too much.

So inaonekana unakaaga nyuma ya keyboard afu unaenjoy vile watu wanakuw craving na story yako. Mnapata raha gani nyie jamaa kuona watu wanahangaika kuingia na kutoka kwenye nyuzi zenu ili kuona kama kuna updates?

Hata kama haulipwi, kwanini uliamua kuanza kuiandika wakati unajua ni ndefu na hauna muda wa kuandika? Najua watakusaidia kunipopoa kuwa sijalazimishwa kuisoma ila inabidi ujue, the first time mtu yeyote anaamua kupublish story humu ndio first time anapoteza umiliki wa ile story...inakuwa ni mali ya wote.

Afu kuandika sio kazi kama hivyo ambavyo huwa mnajaribu kuexaggerate humu ndani. Hakuna episode hata moja kati ya zote ambazo umeziandika humu ndani ambayo ulitumia zaidi ya dakika 20 kuiandika. HAKUNA!!

Kwahiyo kati ya masaa 24 kwa siku unakosa dakika 20 kuwapa watu wako kitu ambacho kitawasaidia kuua addiction yao ambayo umewapatia?....Let's assume we ni mwanamme na unapenda soka, pamoja na kuwa busy sana lakini hukosi dk 90 za kuangalia games za soka....Unataka kuniambia huangalii mechi na kila kitu chako kimestop kisa ubusy?

Sasa kwanini ukose dk 20 tu basi kwa siku 2 kuandika episode ndefu?....

In long run nashauri Moderators waweke condition mtu yeyote anayeanzisha humu story asiipublish hadi awe ameitimiza yote.

Hii tabia ya watu kuona raha wenzao wakimtag tag kwenye uzi wake ni ya ajabu sana.
Ila watoa story daily nyenyenye ubusy ubusy....NONSENSE!!!

Mimi napongeza watoa story wengine kama Kigakoyo.....Jbourne96.....SinganoJr....pamoja na umughaka....wanajitahidi sana sana sana.

Sio nyie wengine ambao kiepisode chenyewe unatumia siku 15 kuandika na hapo umeliliwa sana.

Kuna mwenzako mwingine aliletaga story yake, baada ya kuona attention ya watu imekuwa kubwa...akaanza kuvimba na kuona raha kubembelezwa....matokeo yake kuna siku akalopoka "leo nilipanga niwape episode 3 ila kwakuwa taifa limepata msiba naomba tuendelee kwanza na maombolezo" [emoji1][emoji1]

Najua utasoma hapa. Vyovyote utakavyochukulia na kutafsiri ni sawa tu as long as naelewa nakwambia ukweli na inabidi ubadilike....

1. Ni either usiendelee nayo na uishie hapa hapa maana sio kwamba ni special kiviiiiile kuliko kunata kiasi hiki.

2. Or uendelee nayo na uwe na consistency kuliko kuwakosea watu hivi. Eti hadi sahizi bado hujamaliza matukio ya November mwkaa jana [emoji3][emoji3][emoji3]

Maswala ya kuleta excuse kuwa ooooh kuandika ni kazi sana kuliko kusoma mara sina muda....HATUKUKULAZIMISHA KUILETA.

Wale watakaokusaidia kunipopoa kuwa sikulazimishwa kuifatilia wajue tu kuwa HII STORY HAINIONGEZEI WALA KUNIPUNGUZIA CHOCHOTE. Ila nipo hapa kuwakilisha watu wanaokereka ndani kwa ndani. Mnawapa addiction kwa sababu za kipuuzi.

NB: Hii barua nimeiandika kwa dk 6 tu....Assume ningeandika kwa dk 20 si ingekuwa ndefu kama episodes 4 za nyie masimuliaji....

Afu eti mtu bila aibu anaanza oooooh tatizo muda wa kuandika nakosa....ULILAZIMISHWA KUILETA? au ulitegemea nini wakati ulijua huna muda?


Acheni kutaka umuhimu/trending isio na faida.

Kuna mwamba anaitwa SINGANOJR.....anasimulia story yake ya jamaa naitwa ROMA. Hadithi ni ndefu hadi sahizi kafika episode ya 320....Episode yake moja ni kama episodes 3 za hii story yako lakini jamaa hazingui....Yeye ni Jumanne anakupa episodes 3....Jumamos anatoa episodes 3....Safi kabisa maana anatimiza wajibu wake. Ndiyo, ni wajibu kwasababu yeye ndio aliianzisha. Hakuna mtu aliyejua wala kumuomba. So anatimiza wajibu wake.

BM acha visinvizio. Acha kutafuta trending na cheap popularity....Acha kujifanya uko busy zaidi ya nini sijui. Acha dharau kwa mashabiki zako. Huwezi kukosa dk 10 kila siku za kuandika hii story kwenye kifaa chako. Then baada ya wiki unaituma episode moja ndefu sana iliyotumia dk 70 kuiandika.


Lakini haya maswala ya kuwaweka watu onhold kwa wiki 4 halafu unakuja na kiepisode kimoja cha maneno 950 ni USHAMBA!!!
Umeongea utumbo kama unamlipa kwa kazi hiyo. Nawashangaa hata wanaolazimisha episode zingine haraka haraka. Kazi ya kuandika mpaka kitu kikasomeka kwa usahihi na mpangilio ukaeleweka sio mchezo. Inahitataji utulivu,utimamu wa akili pia,nikimaanisha usiwe na mambo mengine kando.

Sasa mtu unakuja kulazimisha ziletwe episode zingine utafikiri mliziweka wote. Na mwamba tangu mwanzo kule kafunguka anachohadithia ni maisha halisi yanayoendelea.

Kwa hiyo analeta ktk mpangilio wa kinachoendelea. ingekuwa ya kutungwa,angeitunga kwanza then awe anawamegea wastani mnaotaka.

Pia muelewe yuko na kazi inayomuingizia kipato. Anaandika akipata muda mzuri ili iwe ktk mtiririko mzuri. Lakini nimegundua JF kweli kuna kila aina ya watu tofauti. Kuna wengine sio waelewa kabisa. Naona wengine wanazidisha mmea. Vichwa vigumu kuelewa.

Kama hutaki umeona anachelewa si unajikata tu. Humu Jf kuna tred nyingi sana kwa nini ubaki hapa? Nende huko kapite nazo zingine. Acha hii waendelee nayo wanaoisubiri.
 
Sijawah kuona mpuuzi na mshamba kama ww...mwehu kabisaa...na ulaaniwee...yaan mtu anajitolea tuu...hujui hta anapitia nn...na dole lako gumba tena limekomaa kwa kuandika upuuzi kama huu.....yaan umeandika as if umekatwa kichwa...ww ndio mbinafsi kabisaa....hivi inaingia akilin kwel kwel unaandika utumbo kama huo...kupitia tuu story yake kuna watu ana wainspire kimaisha.....kuachana na burudan anayo itoa...tena shukuru Mungu Hii ni jamii forum...ningekushikisha adabu...ww ni mbinafsi sana..

Umeongea utumbo kama unamlipa kwa kazi hiyo. Nawashangaa hata wanaolazimisha episode zingine haraka haraka. Kazi ya kuandika mpaka kitu kikasomeka kwa usahihi na mpangilio ukaeleweka sio mchezo. Inahitataji utulivu,utimamu wa akili pia,nikimaanisha usiwe na mambo mengine kando.

Sasa mtu unakuja kulazimisha ziletwe episode zingine utafikiri mliziweka wote. Na mwamba tangu mwanzo kule kafunguka anachohadithia ni maisha halisi yanayoendelea.

Kwa hiyo analeta ktk mpangilio wa kinachoendelea. ingekuwa ya kutungwa,angeitunga kwanza then awe anawamegea wastani mnaotaka.

Pia muelewe yuko na kazi inayomuingizia kipato. Anaandika akipata muda mzuri ili iwe ktk mtiririko mzuri. Lakini nimegundua JF kweli kuna kila aina ya watu tofauti. Kuna wengine sio waelewa kabisa. Naona wengine wanazidisha mmea. Vichwa vigumu kuelewa.

Kama hutaki umeona anachelewa si unajikata tu. Humu Jf kuna tred nyingi sana kwa nini ubaki hapa? Nende huko kapite nazo zingine. Acha hii waendelee nayo wanaoisubiri.
Tred ndo nini kwanza hujui hata unachoandika....Nimeongea utumbo umesikia sauti yangu humu?

Hujui hata kutofautisha kati ya kuongea na kuandika.....NONSENSE!!!!!
 
Back
Top Bottom