Hatma ya Rais mprotestanti Tanzania

Waprotestanti hawana uvumilivu wa kidini.To them Islam and Catholicism is Satanic. So they are not a good fit.

# Only Muslims and Catholics
 
Hell is a place too
 
Kwa hiyo, kwa sababu Magufuli si mdini, hizi habari za Waprotestanti hazina mashiko?
 
Kwa hiyo, kwa sababu Magufuli si mdini, hizi habari za Waprotestanti hazina mashiko?
Zina mashiko makubwa mana zinaonyesha kuwa kuna manung'uniko hayo.
Mleta mada ameeleza vizuri tu jinsi watu wanavyojiimarisha kimikakati kuimarisha nafasi za kutawala.
Hali hiyo Inaonyesha watu wanafuatilia kwa muda mrefu mpaka wanakuja na hisia kama hizo.

Pakiwa na Katiba imara hakuna taasisi au kikundi cha watu kinachoweza kuzungumzia suala la kumpata Rais au waziri wa dini yake mana atakua hana manufaa yoyote kwao zaidi ya Taifa.

Vikundi na makundi na vyama vinatumia udhaifu wa Katiba na nafasi ya kuweza kupata upendeleo na nafasi ya kunufaika kupitia udhaifu wa katiba ndio maana watu wanatamani makundi yao yaingie pale kwenye ufunguo wa kula matamu ya nchi bila kuulizwa au kufungwa breki.
Kama mtu unaweza kuchota mapesa bila kuulizwa ; nani asiyependa pesa hata kama ni waumini nao wanaona huenda akipata wa kwao nao watachotewa mapesa na kupelekewa ,au kupata mavyeo mengi ambayo yana maslahi manono.
Suala ni kukosa kifungu cha kumfunga breki mkubwa na watu wanakitumia kunufaika kivikundi au kibinafsi.
Lakini mtu angekua anamipaka hata asiye na dini kabisa angeongoza tu bila tatizo. Mlokole,ustadhi, shekhe askofu ,mchungaji ,mwinjilist ,Paroko,padri ,sister ,yeyote angeweza kuongoza tu kwa haki sawa kwa wote na uadilifu mkubwa akihofia kupandishwa kwenye kamati maalum na kuhojiwa na kujikuta anaachia ngazi na kuhamia Gerezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…