gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
hata mandela alinyea debe lakini leo ni shujaa,ndivyo itakavyokuwa kwa sheikh Ponda,serikali onevu ikiondoka madarakani ikija serikali yenye haki atakuwa kama madela alivyoHatma yake ni kunyea debe segerea.
Hatma yake ni kunyea debe segerea.
Waone nini sasa, si mlisema hayo hayo wakati anakamatwa na mkasema hayo hayo mkilazimisha dhamana?
Mbona bado yuko jela na hakuna kinachoonekana?
Anashtakiwa kwa ugaidi na uhaini, na kuna mpango wa kumkabidhi kwa Wamarekani apelekwe Guantanamo!
Maneno ya Ibilisi.Ponda asipo achiwa huru na kufutiwa mashitaka, tutafanya dua, wadhurike woooooooooooooote wanaofanya aendelee kusota lupango. takbir
Gaidi ni wewe na mama yako.Mbona g.bush wamesoma dua hajadhurka mwachen ponda afie jela tu hatufai gaid huyo.sirkal mpeleken kwa wanaume guantanamo
Ponda asipo achiwa huru na kufutiwa mashitaka, tutafanya dua, wadhurike woooooooooooooote wanaofanya aendelee kusota lupango. takbir
Anashtakiwa kwa ugaidi na uhaini, na kuna mpango wa kumkabidhi kwa Wamarekani apelekwe Guantanamo!
Duh !! Mahakama ya arhi ebo!!! basu huyo atakuwa mmeaWamesema anatakiwa ashitakiwe kwenye mahakama ya ardhi...hapo hapo wanasema ana kesi ya kujibu!sijaelewa kabisa!!
wampeleke waone.
Wampeleke waone.
Coments kama hizi ndo zinanifanya nione uislamu ni dini ya visasi. Kwani Ponda kaonewa?Ponda asipo achiwa huru na kufutiwa mashitaka, tutafanya dua, wadhurike woooooooooooooote wanaofanya aendelee kusota lupango. takbir
Ponda asipo achiwa huru na kufutiwa mashitaka, tutafanya dua, wadhurike woooooooooooooote wanaofanya aendelee kusota lupango. takbir
Al badir nayo ilishindwa?salman Rushdi alisomewa dua na kuhukumiwa kifo na Ayatolah Komein, bado anapeta- aliyemhukumu kifo alikufa imediate. ngoja tusubiri kwa ponda.