Wanajf tunapoelekea sio pazuri! Ktk jukwaa hl hekima na busara vitawale kuliko matusi, kejeli na mizaha isiyo na tija! Majibu ya kipuuzi yatolewayo hapa yatafanya jukwaa hl kukoda tija na kuwa trna sio sehemu sahihi ya
kuelimishana, kutahadhalishana na hata kupata taarifa mu
himu kwa tulio mbali. Swali limeulizwa juu ya sheikh ponda mwenye majibu sahihi basi aelezee kama kashitakiwa kwa makosa yapi n dhamana kapata au kakosa kutokana na sababu zipi za kisheria simple! Tunahitaji elimu zaidi ktk jf coz i believe we are civilized people and not vice versa!