KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 729
Hatma ya Tanzania iko juu ya watanganyika na wazanzibar, lakini athari za kisiasa inaweza kuwa doom day kwa Tanzania.
Lakini kanuni ya asili itaamua mustakabali wa Tanzania,itaacha kiashiria cha hatari juu ya watanganyika na wazanzibar,lakini kanuni ya asili sio matokeo ya kisiasa wala kiuchumi ni kanuni kama maji yanavyofata mkondo,kwa maana ukiyaziba yatatafuta weakness side na yatapita.
Hili sio tsunami la man made lakini natural created,tuonavyo visiwa vya bahari ya java vilivyomezwa na volcano na vikatoweka katika uso wa dunia,vile vile tusisahau hicho mnacho dhani hakiwezekani,kanuni ya asili hupanga na kuamua kwa mtiririko wa kimahesabu pasipo makosa ya kibinadamu.
Ni sawa na natural calamite iliyotokea califonia,issue inakuwa unexpected na well calculated.
Lakini kanuni ya asili itaamua mustakabali wa Tanzania,itaacha kiashiria cha hatari juu ya watanganyika na wazanzibar,lakini kanuni ya asili sio matokeo ya kisiasa wala kiuchumi ni kanuni kama maji yanavyofata mkondo,kwa maana ukiyaziba yatatafuta weakness side na yatapita.
Hili sio tsunami la man made lakini natural created,tuonavyo visiwa vya bahari ya java vilivyomezwa na volcano na vikatoweka katika uso wa dunia,vile vile tusisahau hicho mnacho dhani hakiwezekani,kanuni ya asili hupanga na kuamua kwa mtiririko wa kimahesabu pasipo makosa ya kibinadamu.
Ni sawa na natural calamite iliyotokea califonia,issue inakuwa unexpected na well calculated.