Hatma ya Ukraine itakuwa mikononi mwa Urusi

Subiri ngoma bado mbichi July hii Putin ataanza kupata majibu yake

Maandalizi ya kivita ya uhakika huchukua muda mrefu .Kuanzia julyl hii Putin lazima ataita maji mma
Hizi kauli kila mwisho wa mwezi mnaziongea "vita Bado mbichi", "ngoja mwezi unaokuja putin atakiona".....blah blah
Hadi mlisema putin amekufa ,hatoboi huu mwezi
kitu unachotakiwa kukumbuka muda wote Russia ni super power country na kuingia nae vita is too much risk ndio maana NATO Bado wanazikoki bunduki zao tu hadi leo
 
Akili sawa? Mauaji ya Waislamu Serbia, Kosovo na Bosnia yalitekelezwa na Waserbia, hasa wale ambao leo wanamwunga mkono Putin na kupokea ahadi zake za urafiki.
Ukraine ilikuwa na nini katika sehemu za Yugoslavia? Wapi? tarehe gani?

Ukitaka kona Putin aliua Waislamu wapi - angalia Chechniya. Alitumia uwongo kuhusu "ugaidi" wa Chechniya kujenga mamlaka yake katika Urusi. Bwana Litvinenko (aliyesumishwa baadaye na Putin) alieleza jinsi gani polisi ya siri ya Putin ililipusha mabomu katika miji ya Urusi ili kumpatia waziri mkuu Putin nafasi kuanzishavita dhidi ya Chechniya na kwa njia hiyo kuonekana kama shujaa ili ashinde uchaguzi wa Urai mwaka 2000. Wachechniya 50,000 waliuawa kwa mafinikio ya Putin.
 
Subiri ngoma bado mbichi July hii Putin ataanza kupata majibu yake

Maandalizi ya kivita ya uhakika huchukua muda mrefu .Kuanzia julyl hii Putin lazima ataita maji mma
Ni kweli. Kwa sasa Ukraine imetumia asilimia kubwa ya grenedi zake; ilhali mizinga mingi ni za Kirusi za mm 152, Ukraine haiwezi kutumia grenedi za NATO 155 mm kwa mizinga hii. Hapa changamoto kupata mizinga ya kutosha kutoka nchi za NATO pamoja na grenedi(ambazo no bora kuliko ile ya Urusi). Na pia kujifunza kuzitumia - kwa zile Panzerhaubitze 2000 kutoka Uholanzi na Ujerumani wanajeshi wa Ukraine walifundishwa mwezi 1 kule Ujerumani.
Urusi ina akiba kubwa sana, hata kama ni silaha za zamani.
Tutaona kama muda unatosha kupata silaha mpya na kufundisha matumizi yake, maana jinsi ilivyo Putin atandelea kusogea mbele polepole akiharibu kila kitu kilichopo njiani.
 
Subiri ngoma bado mbichi July hii Putin ataanza kupata majibu yake

Maandalizi ya kivita ya uhakika huchukua muda mrefu .Kuanzia julyl hii Putin lazima ataita maji mma
hatimaye July imeisha sasahivi ni september tunaingia October mzee baba the Putin anaenda kuikalia rasmi Donbass
 
hatimaye July imeisha sasahivi ni september tunaingia October mzee baba the Putin anaenda kuikalia rasmi Donbass
Anaikalia wakati wanajeshi wake wanakimbia kama wehu kutoka vita kwa kipigo cha makombora ya Himars. Yaliyotolewa na Mmarekani
 
Unakili ujinga huu...Bora ungetoa jina ili kulinda heshima yako
 
Anamlinda au anamuogopa?
Biden ajaribu kutoa agongwe za uso.

Tunaenda kuchukua Oddessa
"Tunaenda kuchukua Oddessa" Alisikia mrusi mmoja kutokea kiwalani bombom

Ambae akisikia Panya road hao na bisibisi anatoka nduki ndala mkononi
 
Wanajeshi 44 wa urusi wauwawa huko Kherson siku ya jana tu🤔
The Ukrainian military said its forces had killed 44 Russian soldiers in the past 24 hours and had destroyed an ammunition depot. Chechen leader Ramzan Kadyrov admitted 23 of his soldiers were killed and 58 wounded in battle field
ukraine-kherson-russia-reinforcements-counteroffensive/32105018
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…