Mkuu, kwema?Najua unayo Jay ila umenifanyia makusudi
Kumbuka kua ni Mbegu yangu na yai lako ndivo vimetupatia binti mrembo sana.
Maisha yanabadilika na vitu vinabadilika, mpaka imefikia wakati wa kukuomba unikopeshe utambue yakwamba nmekwama.
Hata maneno yako yanaonesha huna roho mbayaNingekua nayo ningempa. Mimi sina roho mbaya kama yake
Inaonekana bado unampenda au sio mkuu lady?Ningekua nayo,ningempa.Sipendi kuweka vitu moyoni. Dunia tunapita..
Maisha ni kusameheana,kusaidiana na kurekebishana.Binafsi nakushauri kama unao uwezo mkopeshe tu huyo ni mzazi mwenzio hata kama utamchukia vipi ila mwisho wa siku ni mzazi mwenzio tu..cha msingi mueleze ukweli kuwa anakosea sana anaposhindwa kumlea mwanae,anamnyima haki yake mtoto..Habari za weekend wapendwa,
I hope you are all doing great.Mimi ni single mum ambaye nalea mwanangu mwenyewe toka mjamzito.Babake alikataa mimba na kuomba niitoe but niligoma kuuwa kiumbe kisicho na hatia.
Nikaamua kulea mwenyewe na baada ya kujifungua, bado akakataa mtoto hivyo tukafanya DNA( kwa gharama
Sawa mkuu asante kwa ushauri. Ningekua nayo ningempatia. Sipendi kuona binadamu mwenzangu anapitia wakati ngumuMaisha ni kusameheana,kusaidiana na kurekebishana.Binafsi nakushauri kama unao uwezo mkopeshe tu huyo ni mzazi mwenzio hata kama utamchukia vipi ila mwisho wa siku ni mzazi mwenzio tu..cha msingi mueleze ukweli kuwa anakosea sana anaposhindwa kumlea mwanae,anamnyima haki yake mtoto..
Ok ila nakushauri either mfungie vioo jumla au ukubali akuendeshe hisia. Unadhani ana shida na hiyo hela? Hapo kakutega aone kama bado una upendo juu yake. So jibu sina lina maana ungekua nayo ungempa kitu kinachoashiria kuwa bado ana nafasi kwako.Hapana my dear
Kwema kabisa Jay, vipi Mrembo wetu anaendeleaje?Mkuu, kwema?
Habari za weekend wapendwa,
I hope you are all doing great.Mimi ni single mum ambaye nalea mwanangu mwenyewe toka mjamzito.Babake alikataa mimba na kuomba niitoe but niligoma kuuwa kiumbe kisicho na hatia.
Nikaamua kulea mwenyewe na baada ya kujifungua, bado akakataa mtoto hivyo tukafanya DNA( kwa gharama zangu pia) na mtoto akawa ni wake.
Ilibidi aanze kutoa matumizi ya mtoto ambayo alitoa kwa miezi mitatu tu.So nikawa namkumbusha but anakwepa nikaona isiwe shida nikampotezea nikaamua kuongeza nguvu zaidi katika upambanaji.
Ndugu zake huwa wananipigia na kumjulia hali mtoto,wakiomba picha nawatumia ndo nahisi huwa wanamtumia jamaa pia.
So leo , nimekaa nawaza zangu maisha na kucheza na mrembo wangu,ghafla babake anapiga simu na kutujulia hali na kuomba nimkopeshe laki tano..Nilimjibu tu kistaarabu kuwa sina.
Na huyu jamaa anafanya kazi kwenye taasisi kubwa tu na analipwa vizuri ila amesusia matumizi ya mtoto wake na leo ana uthubutu wa kunikopa pesa. Mtoto ana miaka miwili saiv na alimhudumia kwa miezi mitatu tu baada ya DNA.
Wanaume, nimewainulia mikono.
Jumapili njema wapenzi.
Umejibu kwa hekima kubwa sana dada.. Ni desturi ya wanandoa kutofautiana na tofauti hizo zikawa mlima mkubwa kwa watoto.. Mungu awasaidie sanaNinao madoa mengi mkuuu
Mambo ni mengi mkuu ila isiwe sababu ya mtu kushindwa hata kumletea mtoto sukari ya uji..Wanaume kuna wakati wanajiendekeza sanaaaa...Kulea mtoto siyo lazima uwe na mamilioni pia kila mtu ana matatizo isiwe sababu ya kukimbia majukumu..Anyway I am not complainingPole sana kwa unayo yapitia.
Lakini umeeleza sana upande mmoja wa mapungufu ya huyo jamaa lakini siamini Kama anamabaya tupu tu kwako naamini Kuna mema mingi tu aliyo kufanyia nyakati za mahusiano yenu.
Awabariki pia wanaolea watoto wao wakiwa na baba zao pia.Mungu baba awabariki sana kina mama wote wanaolea watoto wao bila usaidizi wa baba zao..!!
Hilo jibu kavu linajibiwaje mkuu?Ok ila nakushauri either mfungie vioo jumla au ukubali akuendeshe hisia. Unadhani ana shida na hiyo hela? Hapo kakutega aone kama bado una upendo juu yake. So jibu sina lina maana ungekua nayo ungempa kitu kinachoashiria kuwa bado ana nafasi kwako.
Ulipaswa kumjibu kavu tu ili ajue huna mpango nae.
Hata kama huna roho mbaya shoga usimpe..acha apambane tuu na hali yake halafu hawezi barikiwa hata angekuwa anafanya kazi juu ya anga hizo ni laana na ukimpa utageuzwa bank,hiyo laki tano bora umuwekee mwanao kwenye account itawafaa siku mkikwama,.kuna wanaume hawana haya jamanii khaa!!!Ningekua nayo ningempa. Mimi sina roho mbaya kama yake