bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Siteseki,mliamishwa mkaaminiKwani vepe unateseka mkuu?
Utanielewa tuMkuu mbona hii thd ina ashiria kama vile umekurupuka ghafla kutoka usingizini?
Fact kabisaMbumbumbu fc walikua wakidanganywa na Yule Manara kwakua waliloga na kutoa kafara za kutosha.
Kwa hiyo ulitaka wawe wanyonge wanyonge,wangepata hata hizo goli zilizolinda heshima yao kweli mkuu pamoja na kutolewa,ukweli usemwe wenzetu simba wametuzidi tuache wivu na tujifunze kutoka kwaoSiteseki,mliamishwa mkaamini
Mkuu washauri ndugu zako wanapata tabu Sana.Kwa hiyo ulitaka wawe wanyonge wanyonge,wangepata hata hizo goli zilizolinda heshima yao kweli mkuu pamoja na kutolewa,ukweli usemwe wenzetu simba wametuzidi tuache wivu na tujifunze kutoka kwao
"tuwache wivu" hakuna mtu kawaonewa wivu,they play hard, which is very good ninachojaribu kusema ni kwamba tuliaminishwa 99% they are going to win mkuuKwa hiyo ulitaka wawe wanyonge wanyonge,wangepata hata hizo goli zilizolinda heshima yao kweli mkuu pamoja na kutolewa,ukweli usemwe wenzetu simba wametuzidi tuache wivu na tujifunze kutoka kwao
Hiki kichwa endelea kufugia nywele tu!Nasisitiza tu,ilikuwa hoja dhaifu kutuaminisha kuwa mngeshinda Tano.
Pia ni hoja dhaifu kutuaminisha kuwa Yanga watakwenda body ya ligi kabla ya tarehe thelathini.
Kiufupi hoja zenu zimekuwa dhaifu mno msimu huu mliaza na hoja ya kuwa mtawafunga Kaizer Chiefs Kwao pia ilikuwa ni hoja dhaifu.
Hata ile hoja ya Kuwaita baadhi ya wachambuzi wa mpira kuwa ni "TAKATAKA" nadhani pia ni hoja dhaifu.
Akili zinatafautiana mkuuHiki kichwa endelea kufugia nywele tu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleta mada amepigwa na kitu kizito kichwani [emoji1787]
Mpo wachache sana mkuu...kongoleKwa hiyo ulitaka wawe wanyonge wanyonge,wangepata hata hizo goli zilizolinda heshima yao kweli mkuu pamoja na kutolewa,ukweli usemwe wenzetu simba wametuzidi tuache wivu na tujifunze kutoka kwao
Mdogo mdogo ndo mwendoMpo wachache sana mkuu...kongole