bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Nasisitiza tu, ilikuwa hoja dhaifu kutuaminisha kuwa mngeshinda tano.
Pia ni hoja dhaifu kutuaminisha kuwa Yanga watakwenda body ya ligi kabla ya tarehe thelathini.
Kiufupi hoja zenu zimekuwa dhaifu mno msimu huu mliaza na hoja ya kuwa mtawafunga Kaizer Chiefs Kwao pia ilikuwa ni hoja dhaifu.
Hata ile hoja ya Kuwaita baadhi ya wachambuzi wa mpira kuwa ni "TAKATAKA" nadhani pia ni hoja dhaifu.
Pia ni hoja dhaifu kutuaminisha kuwa Yanga watakwenda body ya ligi kabla ya tarehe thelathini.
Kiufupi hoja zenu zimekuwa dhaifu mno msimu huu mliaza na hoja ya kuwa mtawafunga Kaizer Chiefs Kwao pia ilikuwa ni hoja dhaifu.
Hata ile hoja ya Kuwaita baadhi ya wachambuzi wa mpira kuwa ni "TAKATAKA" nadhani pia ni hoja dhaifu.