Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Habari mkuu.
Leo napenda share nanyi mradi simple niliouanzisha mwezi September 2020 na hadi November hii inaanza umeonesha mafanikio endelevu nikipitia hatua 3 muhimu.
Hatua 3 muhimu nilizopitia ni :
1. Nilijiuliza wateja wangu ninaowalenga ni akina nani?
Nikaona ni wanawake walioathirika ngozi zao kwa vipodozi na wanahangaika kurudi ngozi zao asilia. Wengi wametumia gharama kubwa, muda na wengi kufikia hatua ya kukata tamaa.
2. Wapi wanapatikana wateja ninaowalenga?
Mara nyingi nakutana nao wakienda maofisini au biashara. Kwa kifupi ni watu wa kipato kikubwa na cha kati.
3. Nitawafikia kwa njia gani na hali ya kuwa wapo nchi nzima?
Kwa kuwa ni watu wanaomiliki smartphone , online ndiyo njia sahihi. Lakini online wapo wanaume na wanawake, wanafunzi n.k, sikutaka kupoteza muda wa kupost na kuishia likes bila kupata wateja, ili nichuje, nikatumia Adsmanager ya facebook, yaani nawalipa facebook pesa ya tangazo ili walitume kwa wanawake walioathirika ngozi kwa vipodozi, kisha wakigusa link kule facebook wanifuate whatsapp kwa maelezo zaidi. (Naona Video inashindwa upload , piga 0713039875 au whatsapp message utaiona program hii)
Thahamaki ndani ya siku 60 nikawa na group la watu 200 wakiulizia bidhaa. Kisha nikaunda group la ushauri na mrejesho kwa walionunua bidhaa zetu, ambapo robo ya hao 200, wamenunua na kuhamia group la kuleta mrejesho huku wakifurahia ngozi zao.
Hivyo, fanya research yako, Ingia kazini.
Leo napenda share nanyi mradi simple niliouanzisha mwezi September 2020 na hadi November hii inaanza umeonesha mafanikio endelevu nikipitia hatua 3 muhimu.
Hatua 3 muhimu nilizopitia ni :
1. Nilijiuliza wateja wangu ninaowalenga ni akina nani?
Nikaona ni wanawake walioathirika ngozi zao kwa vipodozi na wanahangaika kurudi ngozi zao asilia. Wengi wametumia gharama kubwa, muda na wengi kufikia hatua ya kukata tamaa.
2. Wapi wanapatikana wateja ninaowalenga?
Mara nyingi nakutana nao wakienda maofisini au biashara. Kwa kifupi ni watu wa kipato kikubwa na cha kati.
3. Nitawafikia kwa njia gani na hali ya kuwa wapo nchi nzima?
Kwa kuwa ni watu wanaomiliki smartphone , online ndiyo njia sahihi. Lakini online wapo wanaume na wanawake, wanafunzi n.k, sikutaka kupoteza muda wa kupost na kuishia likes bila kupata wateja, ili nichuje, nikatumia Adsmanager ya facebook, yaani nawalipa facebook pesa ya tangazo ili walitume kwa wanawake walioathirika ngozi kwa vipodozi, kisha wakigusa link kule facebook wanifuate whatsapp kwa maelezo zaidi. (Naona Video inashindwa upload , piga 0713039875 au whatsapp message utaiona program hii)
Thahamaki ndani ya siku 60 nikawa na group la watu 200 wakiulizia bidhaa. Kisha nikaunda group la ushauri na mrejesho kwa walionunua bidhaa zetu, ambapo robo ya hao 200, wamenunua na kuhamia group la kuleta mrejesho huku wakifurahia ngozi zao.
Hivyo, fanya research yako, Ingia kazini.