Binafsi ntazingatia yafuatayo:
Je, nimelipa mahali kwao?
Je, mimi ninachepuka?
Je, mahali ni kiasi gani nilizotoa
Je, tumezaa watoto?
Je, tuna mali kiasi gani?
Je, huyo bwana namfahamu?
NB: Baada ya kuzingatia hayo ntaanza mchakato wa kumdanganya tuuze mali kwa kumuaminisha kama kuna inshu kubwa tunataka kufanya akiingia king kaliwa kichwa.
Bwana yake lazima afe wala haitojulikana kilichomuua,tena itachukua muda kulifanya hilo zoezi wala hata mimi hatoniona kwenye tukio. Ni mwendo wa sumu tu.
Watoto ntawaandalia maisha baada ya hilo tukio, mke stamdhuru ila itabidi aende kudanga tu maana ntamkimbia na pesa zote.
Hayo ni mawazo yangu tu ambayo wengi hawatayapenda, anyways mimi nimeoa na nina watoto tena spendi itokee ila ikitokea sina budi kufanya hivo. [emoji120]