Kua uyaoneWanandoa siyo two separate people anymore -- msamiati wa ^mwili ni wake,^ hauna nafasi kwa wanandoa. Hawa ni mwili mmoja. Your body is his body; his body is your body. You're, as it were, one person.
Dunia hii ya leo iliyojaa kila aina ya wanawake, ya nini ning'ang'anie? Yani kiroho safi namruhusu aendelee kuchepuka. Na mimi nikatafute wa kumchepukisha maana maisha ya leo kila mke/mume ni mchepuko wa mke/mume wa mwingine. Ni mwendo wa mzunguko tu, kibaya kufumaniana.
Utamu wenyewe si ndio huo wa kushea na wenzio😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Alfu mnatuambia oooh oeni muone utamu wa Ndoa .
Tena akaweke kabisa kitanda kwenye k ya mchepuko, aiii akiamka yumo sina habari mie,Achepuke tu
Mwili wake maisha yake .why should I bother myself for another person actions?
Binafsi natafuta hela, amani kutoka ndani na furaha yangu mwenyewe.
Ni mambo ya kuchosha akili bila faidatena akaweke kabisa kitanda kwenye k ya mchepuko, aiii akiamka yumo sina habari mie,
Hizo ni theories tuuWanandoa siyo two separate people anymore -- msamiati wa ^mwili ni wake,^ hauna nafasi kwa wanandoa. Hawa ni mwili mmoja. Your body is his body; his body is your body. You're, as it were, one person.
Inaonekana umejua kama wife wako kajiunga jf basi unamtimba biti[emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi ntazingatia yafuatayo:
Je, nimelipa mahali kwao?
Je, mimi ninachepuka?
Je, mahali ni kiasi gani nilizotoa
Je, tumezaa watoto?
Je, tuna mali kiasi gani?
Je, huyo bwana namfahamu?
NB: Baada ya kuzingatia hayo ntaanza mchakato wa kumdanganya tuuze mali kwa kumuaminisha kama kuna inshu kubwa tunataka kufanya akiingia king kaliwa kichwa.
Bwana yake lazima afe wala haitojulikana kilichomuua,tena itachukua muda kulifanya hilo zoezi wala hata mimi hatoniona kwenye tukio. Ni mwendo wa sumu tu.
Watoto ntawaandalia maisha baada ya hilo tukio, mke stamdhuru ila itabidi aende kudanga tu maana ntamkimbia na pesa zote.
Hayo ni mawazo yangu tu ambayo wengi hawatayapenda, anyways mimi nimeoa na nina watoto tena spendi itokee ila ikitokea sina budi kufanya hivo. [emoji120]
Solution mbona simple tu ndugu ,nikuandaa kiberiti na petrol lita 5, usiku unamaliza kazi
Umeambiwa mke/mme siyo mchumba/mpenziNamuacha tu nina malengo mengi sana ya kuyafikia mpenzi/mchumba hana umuhimu wowote kwangu
Kwenye makaratasiWanandoa siyo two separate people anymore -- msamiati wa ^mwili ni wake,^ hauna nafasi kwa wanandoa. Hawa ni mwili mmoja. Your body is his body; his body is your body. You're, as it were, one person.
Mtu kaamua kutumia kifanyio chake kupata testi mpya wewe upate stress inhusu???Huku ni kukuza mambo jamani, mwili ni wake...ni vile tunapendana basi tunatawaliwa na wivu
Si ndio hapo sasa....Mtu kaamua kutumia kifanyio chake kupata testi mpya wewe upate stress inhusu???
Miss u!!