Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Hahaha hahaha
Kila nikichukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hahaha
Nikichoka nalia, ukichelewa kurudi nalia! Nikisikia njaa nalia, mvua ikinyesha kubwa nalia... Nikikumiss nalia... Ukinikwaza nalia... Yaani mie daahTehteh...superstar walilia nini mama?
Gudi lesoni mkuuKila mtu huwa na taswira ya mke/mme amtakaye. Ni kweli kabisa, maisha hayana kanuni lakini nakuhakikishia kanuni zipo, haipo moja zipo nyingi.
Ili maisha yaende kama ulivyopanga lazima uwe na mipango "hii mipango ndiyo kanuni". Moja ya mipango mikubwa ni kuchagua mwenza wa maisha. Nisiandike saana. Unapoamua kutafuta mwenza wa maisha jaribu kumpitisha kwenye hizi hatua anuai.
1. Mahali ulipo.
Hili lipo wazi tunapenda na kuchagua wenza sahihi kwa mahalu tulipo na wakati tunaokuwa nao. Huwezi kumpenda mtu wa Msumbiji ilihali upo Vingunguti otherwise ulishafika Msumbiji. Kwenye hii hatua ya kwanza, mosi uwe na nia ya kutafuta mwenza. Kisha angalia waliopo ulipo na uwaainishe. Wapeleke hatua ya pili.
2. Jamii ya mwenza mtarajiwa.
Kwenye jamii tunazoishi kuna mila na taratibu za mfumo wa kuoana. Bila shaka nawe jamii yako inazo hizo taratibu. Hivyo baada ya kuangalia wanawake/wanaume waliopo katika mazingira uliyopo wachuje kwa taratibu za jamii yako. Je, wanaoendana na taratibu za jamii yako? Hao watakaoendana nazo nenda nao hatua inayofuata.
3. Mvuto hasa wa nje.
Wale uliotoka nao hatua ya pili vipi unavutiwa nao? Kwa mara ya kwanza ulipowaona walikuvutia! Wale ambao hujavutiwa nao waache kwenye hii hatua beba wale uliovutiwa nao. Nenda nao hatua inayofuatia.
4. Utangamano.
Kwa kimombo compatibility. Maana yake je mnaweza kwenda sawia???
Hapa utakao vutiwa nao angalia wanavyopendelea, tabia zao na mipango yao ya maisha. Je, inaendana na yako? Mtaweza kuendana? Yes. If no achana naye chukua waliobaki nenda nao hatua inayofuatia.
5. Nakosa neno sahihi la kuweka hapa. Hii hatua tuiite Returns/ compesation/faida atakayo kuongeza.
Hii hatua imekaa kibiashara zaidi ila ni ya muhimu saana. Sasa wale mlioendana hatua ya 4 walete hapa napo wachuje.
Je, atakuongezea nini kama mwenzi wa maisha? Atakuwa kupe au nyuki? Anao msaada wowote kwako? If exchange is reasonable, then choose her/him.
Kama hana returns zozote tupilia mbali.
NB : kwenye kila ulifanyalo usisahau imani yako.
Mengi yametoka kwa afande google.
Raha sana mkuu, napenda kubembeleza sana😁😁😁Nikichoka nalia, ukichelewa kurudi nalia! Nikisikia njaa nalia, mvua ikinyesha kubwa nalia... Nikikumiss nalia... Ukinikwaza nalia... Yaani mie daah
Nadhani huwa hatusomi vizuri.Faida ya mwanamke ni kukuzalia tu hakuna kingine maana yote unaweza fanya mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda sana wanawake weupe ni wataaaaamSipendi kabisa wanawake weupe tena hawe mwembamba ndio namchukia kabisa.
Napenda mwanamke mweusi tiiiiii awe na shape bila kukosa chura kiasi isiwe kubwa sana sina gobole mimi..
Awe na macho makubwa kubwa hivi,lips nene daahh
Mke au mume kwangu mm lazima awe ata na pungufu 1 au ma2...... Hakuna mtu mbaya kama mkamilifu..... Kwanza hayupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha hahahaSuperstar una mambo.
AiseeeRaha sana mkuu, napenda kubembeleza sana[emoji16][emoji16][emoji16]
Uje huku Tarime nikubembeleze mkuuAiseee
SawasawaKila mtu huwa na taswira ya mke/mme amtakaye. Ni kweli kabisa, maisha hayana kanuni lakini nakuhakikishia kanuni zipo, haipo moja zipo nyingi.
Ili maisha yaende kama ulivyopanga lazima uwe na mipango "hii mipango ndiyo kanuni". Moja ya mipango mikubwa ni kuchagua mwenza wa maisha. Nisiandike saana. Unapoamua kutafuta mwenza wa maisha jaribu kumpitisha kwenye hizi hatua anuai.
1. Mahali ulipo.
Hili lipo wazi tunapenda na kuchagua wenza sahihi kwa mahalu tulipo na wakati tunaokuwa nao. Huwezi kumpenda mtu wa Msumbiji ilihali upo Vingunguti otherwise ulishafika Msumbiji. Kwenye hii hatua ya kwanza, mosi uwe na nia ya kutafuta mwenza. Kisha angalia waliopo ulipo na uwaainishe. Wapeleke hatua ya pili.
2. Jamii ya mwenza mtarajiwa.
Kwenye jamii tunazoishi kuna mila na taratibu za mfumo wa kuoana. Bila shaka nawe jamii yako inazo hizo taratibu. Hivyo baada ya kuangalia wanawake/wanaume waliopo katika mazingira uliyopo wachuje kwa taratibu za jamii yako. Je, wanaoendana na taratibu za jamii yako? Hao watakaoendana nazo nenda nao hatua inayofuata.
3. Mvuto hasa wa nje.
Wale uliotoka nao hatua ya pili vipi unavutiwa nao? Kwa mara ya kwanza ulipowaona walikuvutia! Wale ambao hujavutiwa nao waache kwenye hii hatua beba wale uliovutiwa nao. Nenda nao hatua inayofuatia.
4. Utangamano.
Kwa kimombo compatibility. Maana yake je mnaweza kwenda sawia???
Hapa utakao vutiwa nao angalia wanavyopendelea, tabia zao na mipango yao ya maisha. Je, inaendana na yako? Mtaweza kuendana? Yes. If no achana naye chukua waliobaki nenda nao hatua inayofuatia.
5. Nakosa neno sahihi la kuweka hapa. Hii hatua tuiite Returns/ compesation/faida atakayo kuongeza.
Hii hatua imekaa kibiashara zaidi ila ni ya muhimu saana. Sasa wale mlioendana hatua ya 4 walete hapa napo wachuje.
Je, atakuongezea nini kama mwenzi wa maisha? Atakuwa kupe au nyuki? Anao msaada wowote kwako? If exchange is reasonable, then choose her/him.
Kama hana returns zozote tupilia mbali.
NB : kwenye kila ulifanyalo usisahau imani yako.
Mengi yametoka kwa afande google.
HahahaMvuto una matter sana aisee.. Biashara ya kuja kuogopa kupiga picha na wife kisa havutii haipendez
Sent using Jamii Forums mobile app