Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

Kwa mujibu wa TCU ni kwamba,,Transfer inafanyika if there is Available Slots(kama hicho chuo kina nafasi ambazo ni bado hazina wanafunzi. Nakupa taarifa kwamba UDOM course za Education zooote zilijaa kabla hata watu waliokosa vyuo kwa mara ya kwanza hayajatoka.. Maana yake Kwa kozi ya Education, nakushauri kitaalamu kabisa kwa UDOM zimeshajaa, hata kama una Division One ya point 6 Availble Slots can never be Uplifted unless proved otherwise bu the university itself.. Unatakiwa kwanza wewe mwenyewe uangalie Cut Off Point mfano TCU GUIDEBOOK YA 2014/2015 ni SEKOMU course yako Cut of point ni 2.0 hii ni Divishen three ya Mwisho kabisa,,ambayo inaaproach kwenye Div 4,, na UDOM cut off ni 2.5 but never ever usijidanganye na vyuo vya serikali kuhusu Cut Off point mara nyingi vinachukua point kubwa mfao dhahili angalia UDSM WALIOCHUKUIWA LAW TCU wanataka 4.5 ila UDSM wamechukua point 11.5 manayake mtu mwenye Divishen One ya Point 7 ameachwa..... ukishaangalia Cut Off point ndipo ujiridhishe kulingana na Divisheni yako au Grading System zako...kwa ushauri zaidi ndugu nitafte kwa 0754485211/0655485211
 

kama hajelewa abaki SEKOMU
 

Cut pont sio ishu, swala ni kwamba ushindani upoje kwenye coz husikka.
Mfano angalia selection za UDSM ambacho ndo chuo kinacho pendwa na kila mtu hpa tz watu wameingia na dvsn four ila iyo coz waliopata utacheka, text engineering! !!

Kam bado haitoshi matokeo ya TCU yali link juma moss kam utakua unakumbuka na kuta watu kam watatu nawafahm wana divsn four na walipangwa UDOM computer science, kam unabisha kunywa sumu ili ukwel ndo huo

Ndo uelew cut point za mtu sio case saaana ishu ni competition ya coz kwenye chuo husika.

Kazi njema @ kam ume mind xana nitafute 0712801265.
 
Hawa jamaa nao wazinguaji,yaan hata sijajua nimepangiwa wapi unaanza kuniambia jins ya kuhama....by the way...shukran kiongoz kwa kutupa info
 
Wadau naomba kuuliza kama tcu wanaruhusu transfer, na kama wanaruhusu unapitia hatua gan, unaenda tcu au chuo unachotaka nafas




BN heshima mbele!!
Nadhani umempata vizuri mdau ie. MAULA.
Hope you, Deborah, Neema and Fred are doing well. And ofcourse, mwalimu is doing well as well.
A very good morning to you, Sir...
 

kuna wenzangu wamepangiwa sua na four zao
 
ok naomba kuuliza je utajuaje kuwa chuo unachataka kuhamia kina nafasi??maana hiyo form haikuonesha kozi zilizowazi bado
 

Kaka mm nataka nihamie udom nursing cjui zitakuwepo
 
Sasa kwa wale wa udom..ambao orientation day ni tar18 mwez wa 10, itakuwaje? wakat died line ni tar 10 mwz wa 10? hahahaa hapo kzaa zaa na majanga.
 
je mi nataka nihame facult moja kwenda nyingne hapahapa ndan ya chuo kmoja, hivi mpk nkabadilishie chuon, au nijaze iyo form ya tcu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…