Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

mm nilishatuma hadi hiyo form nilishindwa kusubr jumatatu, haiwez kuwa shida kaka?
 
mkopo pia una pelekwa chuo utakacho hamia although mara nyingi huwa kuna usumbufu kama wa kucheleweshewa pesa yako lkn ni lazima utapata
 
Nahitaji msaada ndugu zangu naweza kuhama toka chuo cha private kwenda government...nisaidie kuhusu hilo plzz
 
Mimi St. Joseph kipo songea bachelor of technology in hortculture ila kutokana na hii coz haina ajira nataka nihamie bach of techn in agriculture vp hapo? Tatizo jingine nilifanya 2nd application hivyo bado sijajua majina yetu yanatoka lin?
 
tcu wamesema application forms available in tcu website wapi mbona siioni?
 
tcu wamesema application forms available in tcu website wapi mbona siioni?

Ukimaliza yale maelekezo yao pale chini kabisa we print zipo page tatu..... ya mwisho ndo form lazima uwe na point 6.5 nakuendeleaaa
 
Ukimaliza yale maelekezo yao pale chini kabisa we print zipo page tatu..... ya mwisho ndo form lazima uwe na point 6.5 nakuendeleaaa

we kijana, hio sifa ya ziada ya angalau pointi 6.5 umeitoa wapi!
 
Hivi inaruhusiwa kuwatumia tcu form kuomba kuhamia chuo zaid ya kimoja ?
 
we kijana, hio sifa ya ziada ya angalau pointi 6.5 umeitoa wapi!

Kaka soma maelekezo ya kuhama chuo tcu wame toa hayo maelezo na dead line ni tareh 7 co 10 tenaa


Conditions for Transfer

Only those with at least three principal passes (i.e. C and above in new grading system or 6.5 points in old grading system) and meets the requirements of a particular programme, can be considered for transfer. How to Transfer.
 
Inachukua muda gani kipata majibu kwa anaefahamu atujulishe maana muda wa registration vyuoni ndio huo umekaribia..!
 

Laaa!
Mdogoangu mwenye 2Cs atakoma!
 
Ukimaliza yale maelekezo yao pale chini kabisa we print zipo page tatu..... ya mwisho ndo form lazima uwe na point 6.5 nakuendeleaaa

hiyo 6.5 points no kwa wale wanaotaka transfer to medicine
 

hyo ni kwa wale wanaotaka kuhamia kozi za afya kama ckosei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…