Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga anacheza fainali ya CL mwaka huu,jitoe ufahamu tu hapoNi vizuri tukakumbushana kuhusu jambo hili muhimu kabla muda haujafika.
Huyu aliyempasua Al Ahyl!?wala USM Alger
Aahaaaaa,nashukuru Kwa kulinote hiloNi swala la muda tu. Bora mmeshasema mapema huku hakuna vibonde kuna wababe ili tukianza upasuaji msibadilishe maneno. Ni swala la muda tu
mazembe kwa yanga anafungika.Mazembe je?
BORA HUKU WAPO WAWILI ILA KULE KWA WENZETU WOTE NI MBUMBUMBUUkisoma Coment unagundua wenye Akili ni wawili tu.
1.................................
2................................
Kujifunga kupo hadi EPL sembuse ligi zetu huku afrikaNa pia ikumbukwe hakutakuwa tena na yale magoli ya mabeki wa timu pinzani kujifunga wenyewe!!
Hakuna Vipers wala Holoya ni mwendo wa Makiri kiliNi vizuri tukakumbushana kuhusu jambo hili muhimu kabla muda haujafika.
Siku hizi mmelijua hilo kua kujifunga kupo sio bahasha?Kujifunga kupo hadi EPL sembuse ligi zetu huku afrika
Bahasha ni zile mtu anashika nje ya box na bado inakuwa penatiSiku hizi mmelijua hilo kua kujifunga kupo sio bahasha?
Na pia ikumbukwe hakutakuwa tena na yale magoli ya mabeki wa timu pinzani kujifunga wenyewe!!
Atakuambia hakuna ismailia wala zamalek. Na mazembe siyo wale. Nchi ina mazuzu wengi sana hii. Malumo wawepo wakati wameshuka dalaja?Yanga anacheza fainali ya CL mwaka huu,jitoe ufahamu tu hapo