Kama Madrid tu,makombe ya nje Huwa hatufungwi kirahisiIhefu alikupasua pia. Ya simba hatusemi
Jipe moyo ila time will tellHii Ligi Kuu,kama Madrid tu,la Liga anafungwa ila Kila siku anakiwasha UEFA
Jipe moyo na weweJipe moyo ila time will tell
Sisi hatujipi moyo mana tushazoea pira papatupapatu ila tunashindaJipe moyo na wewe
AahaaaaaSisi hatujipi moyo mana tushazoea pira papatupapatu ila tunashinda
Popoma, zuzu, shoqer, shoga yake babra ulienda nae uturuki kutengeneza shapeππ...Amerithi kwa Mama yako Aliyekuzaa.
Wewe ni msengerema sanaπ€£π€£agiza biaNi vizuri tukakumbushana kuhusu jambo hili muhimu kabla muda haujafika.
[emoji2957][emoji2957]Ni swala la muda tu. Bora mmeshasema mapema huku hakuna vibonde kuna wababe ili tukianza upasuaji msibadilishe maneno. Ni swala la muda tu
Naona mmetaka kumuua Belouzdad leo! Endeleeni kutoa adhabu.Yaan kiufupi hakuna vibonde,sasa makolo ole wenu muanze lawama kwetu yanga pindi tutakapokuwa tunatoa adhabu kwa timu!